Zaburi
Nililemewa na taabu na huzuni.+
4 Lakini niliitia jina la Yehova:+
“Ee, Yehova, niokoe!”*
6 Yehova analinda wenye hawana uzoefu.+
Nilishushwa chini, na aliniokoa.
7 Acha nafsi* yangu ipumuzike tena,
Kwa maana Yehova amenitendea kwa fazili.
9 Nitatembea mbele ya Yehova katika inchi ya wazima.
10 Nilikuwa na imani, ndio maana nilisema;+
Niliteseka sana.
11 Sasa mimi, niliogopa na kusema:
“Kila mwanadamu ni muongo.”+
12 Nitamulipa Yehova nini
Kwa mema yote yenye amenitendea?
13 Nitainua kikombe cha wokovu,*
Na nitaitia jina la Yehova.
16 Ninakulilia, Ee Yehova,
Kwa maana mimi ni mutumishi wako.
Mimi ni mutumishi wako, mwana wa mutumwa wako mwanamuke.
Umenifungua katika vifungo vyangu.+
17 Nitakutolea zabihu ya shukrani;+
Nitaitia jina la Yehova.