Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 116
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Wimbo wa shukrani

        • “Nitamulipa Yehova nini?” (12)

        • “Nitainua kikombe cha wokovu” (13)

        • “Nitamutimizia Yehova naziri zangu” (14, 18)

        • Kifo cha washikamanifu ni chenye bei kali (15)

Zaburi 116:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Ninapenda kwa sababu Yehova anasikia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:6

Zaburi 116:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anainama chini ili kunisikiliza.”

  • *

    Tnn., “katika siku zangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:15

Zaburi 116:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Taabu za Sheoli zilinipata.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 38:10
  • +Zab 18:4; 38:6

Zaburi 116:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “okoa nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:6; Rom. 10:13

Zaburi 116:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:4
  • +Kut 34:6; Ne 9:17; Da. 9:9

Zaburi 116:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:7

Zaburi 116:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Zaburi 116:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Umeokoa nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 56:13; 94:18

Zaburi 116:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:13

Zaburi 116:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 3:4

Zaburi 116:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2009, uku. 29-30

Zaburi 116:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wokovu mukubwa.”

Zaburi 116:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:25; Yon 2:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2009, uku. 29-30

Zaburi 116:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “chenye samani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:29; Yob 1:12; Zab 91:14; Zek 2:8; 2 Pe. 2:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 30

    15/5/2012, uku. 22

    1/9/2006, uku. 14

Zaburi 116:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 107:14

Zaburi 116:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:12; Zab 50:23

Zaburi 116:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:25; 76:11
  • +Zab 116:14

Zaburi 116:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 96:8
  • +Ufu 19:1

Maandiko ingine

Zb. 116:1Zab 18:6
Zb. 116:2Zab 34:15
Zb. 116:3Isa 38:10
Zb. 116:3Zab 18:4; 38:6
Zb. 116:4Zab 34:6; Rom. 10:13
Zb. 116:5Kum 32:4
Zb. 116:5Kut 34:6; Ne 9:17; Da. 9:9
Zb. 116:6Zab 19:7
Zb. 116:8Zab 56:13; 94:18
Zb. 116:102 Kor. 4:13
Zb. 116:11Rom. 3:4
Zb. 116:14Zab 22:25; Yon 2:9
Zb. 116:151 Sa. 25:29; Yob 1:12; Zab 91:14; Zek 2:8; 2 Pe. 2:9
Zb. 116:16Zab 107:14
Zb. 116:17Law. 7:12; Zab 50:23
Zb. 116:18Zab 22:25; 76:11
Zb. 116:18Zab 116:14
Zb. 116:19Zab 96:8
Zb. 116:19Ufu 19:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 116:1-19

Zaburi

116 Ninamupenda Yehova

Kwa sababu anasikia* sauti yangu, vilio vyangu vya kuomba musaada.+

 2 Kwa maana ananitegea sikio lake,*+

Na nitamuitia wakati wote wenye nitakuwa muzima.*

 3 Kamba za kifo zilinizunguka;

Kaburi lilinishika kwa nguvu.*+

Nililemewa na taabu na huzuni.+

 4 Lakini niliitia jina la Yehova:+

“Ee, Yehova, niokoe!”*

 5 Yehova ni mwenye huruma* na mwenye haki;+

Mungu wetu ni mwenye rehema.+

 6 Yehova analinda wenye hawana uzoefu.+

Nilishushwa chini, na aliniokoa.

 7 Acha nafsi* yangu ipumuzike tena,

Kwa maana Yehova amenitendea kwa fazili.

 8 Umeniokoa* kutoka katika kifo,

Jicho langu kutokana na machozi, muguu wangu kutokana na kujikwaa.+

 9 Nitatembea mbele ya Yehova katika inchi ya wazima.

10 Nilikuwa na imani, ndio maana nilisema;+

Niliteseka sana.

11 Sasa mimi, niliogopa na kusema:

“Kila mwanadamu ni muongo.”+

12 Nitamulipa Yehova nini

Kwa mema yote yenye amenitendea?

13 Nitainua kikombe cha wokovu,*

Na nitaitia jina la Yehova.

14 Nitamutimizia Yehova naziri zangu

Mbele ya watu wake wote.+

15 Ni chenye bei kali* mbele ya macho ya Yehova

Kifo cha washikamanifu wake.+

16 Ninakulilia, Ee Yehova,

Kwa maana mimi ni mutumishi wako.

Mimi ni mutumishi wako, mwana wa mutumwa wako mwanamuke.

Umenifungua katika vifungo vyangu.+

17 Nitakutolea zabihu ya shukrani;+

Nitaitia jina la Yehova.

18 Nitamutimizia Yehova naziri zangu+

Mbele ya watu wake wote,+

19 Katika viwanja vya nyumba ya Yehova,+

Katikati yako, Ee Yerusalemu.

Mumusifu Yah!*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine