Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Bishano katika Antiokia juu ya kutahiriwa (1, 2)

      • Jambo hilo linapelekwa Yerusalemu (3-5)

      • Wazee na mitume wanakutana pamoja (6-21)

      • Barua kutoka kwa baraza lenye kuongoza (22-29)

        • Kujiepusha na damu (28, 29)

      • Makutaniko yanatiwa moyo kupitia barua (30-35)

      • Paulo na Barnaba wanatengana (36-41)

Matendo 15:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 17:9, 10; Kut 12:48; Law. 12:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 101-102

Matendo 15:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bishano.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 102-104

Matendo 15:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 104-105

Matendo 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:48; Mdo 11:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 105, 107

Matendo 15:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 105-106

Matendo 15:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:34, 35; 11:16, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 106

Matendo 15:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:9; Yer 11:20
  • +Mdo 10:44, 45; 11:15

Matendo 15:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 3:28
  • +Gal 2:15, 16; 1 Pe. 1:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 106

Matendo 15:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 5:1
  • +Gal 3:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 106

Matendo 15:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:11; Yoh 1:17
  • +Mt 20:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 106

Matendo 15:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 106

Matendo 15:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:2; Mdo 11:13; 2 Pe. 1:1
  • +1 Pe. 2:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 150

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2014, uku. 16

    15/11/2014, uku. 24-25

    15/3/2013, uku. 27-28

    Kutoa Ushahidi, uku. 108-109

    “Kila Andiko,” uku. 150

Matendo 15:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 108-109

Matendo 15:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kibanda cha Daudi chenye kimeanguka; nyumba ya Daudi yenye imeanguka.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 8-9

    Kutoa Ushahidi, uku. 109

Matendo 15:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 9:11, 12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2012, uku. 5

    Kutoa Ushahidi, uku. 109

    “Kila Andiko,” uku. 150

Matendo 15:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 45:21

Matendo 15:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wazo langu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 109-111

Matendo 15:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “vitu vyenye viliuawa bila kutoshwa damu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:2; Kut 20:3; 1 Kor. 10:14
  • +1 Kor. 6:9, 10; Kol 3:5; 1 Tes. 4:3
  • +Mwa 9:4; Law. 3:17; 7:26; 17:10, 13; 19:26; Kum 12:23; 15:23; 1 Sa. 14:32, 33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 18

Matendo 15:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:15; 2 Kor. 3:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 109, 111

Matendo 15:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 1:1; 1 Pe. 5:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 113

Matendo 15:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 11:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 26

Matendo 15:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuvuruga nafsi zenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:1

Matendo 15:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi zao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:50; 1 Kor. 15:30, 31; 2 Kor. 11:23-26

Matendo 15:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:4

Matendo 15:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 16:13; Mdo 5:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 202

Matendo 15:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vitu vyenye viliuawa bila kutoshwa damu.”

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “Kwaheri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:2; Kut 20:3; 34:15; 1 Kor. 10:14
  • +Mwa 9:4; Law. 3:17; 7:26; 17:10; Kum 12:16, 23; 1 Sa. 14:32, 33
  • +Law. 17:13
  • +Mwa 39:7-9; 1 Kor. 6:9, 10; Efe 5:5; Kol 3:5; 1 Tes. 4:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2015, uku. 28

    15/6/2004,

    uku. 20-21, 29

    15/6/2000, uku. 29

    Biblia Inafundisha, uku. 129-130

    “Upendo wa Mungu,” uku. 77

    “Kila Andiko,”

    uku. 18, 205

Matendo 15:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 114

Matendo 15:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 115

Matendo 15:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A3.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 115

Matendo 15:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Matendo 15:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Tufanye yetu yote ili turudie.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 11:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 117-119

Matendo 15:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:4, 5; Kol 4:10; 2 Tim. 4:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 119-120

Matendo 15:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2010, uku. 7-8

    Kutoa Ushahidi, uku. 120

Matendo 15:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 4:36, 37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2011, uku. 23-24

    15/3/2010, uku. 6-8

    15/1/2003, uku. 19-20

    Kutoa Ushahidi, uku. 120

Matendo 15:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 14:26

Maandiko ingine

Mdo. 15:1Mwa 17:9, 10; Kut 12:48; Law. 12:2, 3
Mdo. 15:2Gal 2:1
Mdo. 15:5Kut 12:48; Mdo 11:2, 3
Mdo. 15:7Mdo 10:34, 35; 11:16, 17
Mdo. 15:81Nya 28:9; Yer 11:20
Mdo. 15:8Mdo 10:44, 45; 11:15
Mdo. 15:9Gal 3:28
Mdo. 15:9Gal 2:15, 16; 1 Pe. 1:22
Mdo. 15:10Gal 5:1
Mdo. 15:10Gal 3:10
Mdo. 15:11Isa 53:11; Yoh 1:17
Mdo. 15:11Mt 20:28
Mdo. 15:14Mt 10:2; Mdo 11:13; 2 Pe. 1:1
Mdo. 15:141 Pe. 2:9, 10
Mdo. 15:17Amo 9:11, 12
Mdo. 15:18Isa 45:21
Mdo. 15:19Mdo 15:10
Mdo. 15:20Mwa 35:2; Kut 20:3; 1 Kor. 10:14
Mdo. 15:201 Kor. 6:9, 10; Kol 3:5; 1 Tes. 4:3
Mdo. 15:20Mwa 9:4; Law. 3:17; 7:26; 17:10, 13; 19:26; Kum 12:23; 15:23; 1 Sa. 14:32, 33
Mdo. 15:21Mdo 13:15; 2 Kor. 3:15
Mdo. 15:221 Tes. 1:1; 1 Pe. 5:12
Mdo. 15:23Mdo 11:26
Mdo. 15:24Mdo 15:1
Mdo. 15:26Mdo 13:50; 1 Kor. 15:30, 31; 2 Kor. 11:23-26
Mdo. 15:27Mdo 16:4
Mdo. 15:28Yoh 16:13; Mdo 5:32
Mdo. 15:29Mwa 35:2; Kut 20:3; 34:15; 1 Kor. 10:14
Mdo. 15:29Mwa 9:4; Law. 3:17; 7:26; 17:10; Kum 12:16, 23; 1 Sa. 14:32, 33
Mdo. 15:29Law. 17:13
Mdo. 15:29Mwa 39:7-9; 1 Kor. 6:9, 10; Efe 5:5; Kol 3:5; 1 Tes. 4:3
Mdo. 15:32Mdo 18:23
Mdo. 15:362 Kor. 11:28
Mdo. 15:37Mdo 13:4, 5; Kol 4:10; 2 Tim. 4:11
Mdo. 15:38Mdo 13:13
Mdo. 15:39Mdo 4:36, 37
Mdo. 15:40Mdo 14:26
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 15:1-41

Matendo ya Mitume

15 Sasa watu fulani wakashuka kutoka Yudea na wakaanza kufundisha ndugu: “Kama hamutahiriwe kulingana na desturi ya Musa,+ hamuwezi kuokolewa.” 2 Lakini kisha Paulo na Barnaba kukosa kupatana na kubishana sana na watu hao, ikapangwa kuwa Paulo, Barnaba, na wamoja kati ya wale wengine wapande kuenda kwa mitume na wazee kule Yerusalemu+ juu ya jambo* hilo.

3 Basi, kisha kutaniko kuwasindikiza umbali fulani, watu hao wakaendelea na safari, wakapitia Foinike na Samaria, wakieleza kwa urefu juu ya kugeuka kwa watu wa mataifa na kuletea ndugu wote furaha kubwa. 4 Wakati walifika Yerusalemu, kutaniko na mitume na wazee wakawakaribisha kwa fazili, na wakaeleza mambo mengi yenye Mungu alifanya kupitia wao. 5 Lakini wamoja kati ya wale wa zehebu* la Wafarisayo wenye walikuwa wameamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima kuwatahiri na kuwaamuru washike Sheria ya Musa.”+

6 Basi, mitume na wazee wakakusanyika pamoja ili kuchunguza jambo hilo. 7 Kisha mabishano makali kufanyika, Petro akasimama na kuwaambia: “Wanaume, ndugu, munajua muzuri kwamba tangu siku za zamani Mungu alinichagua kati yenu ili kupitia kinywa changu watu wa mataifa wasikie neno la habari njema na waamini.+ 8 Na Mungu, mwenye anajua moyo,+ alitoa ushahidi kwa kuwapatia roho takatifu,+ kama vile alitupatia sisi pia. 9 Na hakufanya tofauti yoyote kati yetu nao,+ lakini alitakasa mioyo yao kwa imani.+ 10 Basi sababu gani sasa munamujaribu Mungu kwa kuweka kwenye shingo za wanafunzi nira+ yenye mababu zetu na sisi wenyewe hatukuweza kubeba?+ 11 Tofauti na hilo, sisi tunaamini kwamba tunaokolewa kupitia fazili zenye hazistahiliwe za Bwana Yesu+ sawasawa na watu hao.”+

12 Halafu kikundi chote kikanyamaza, na wakaanza kumusikiliza Barnaba na Paulo wakati walikuwa wanaeleza alama nyingi na maajabu yenye Mungu alifanya kupitia wao kati ya mataifa. 13 Wakati walimaliza kusema, Yakobo akajibu: “Wanaume, ndugu, munisikilize. 14 Simioni+ ameeleza kikamili namna Mungu kwa mara ya kwanza alielekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kati yao watu kwa ajili ya jina lake.+ 15 Na maneno ya Manabii yanakubaliana na jambo hili, kama vile imeandikwa: 16 ‘Kisha mambo hayo nitarudia na kusimamisha tena hema ya Daudi yenye imeanguka;* na nitajenga upya mabomoko yake na kulirudisha tena, 17 ili watu wenye wanabakia wamutafute Yehova* kwa bidii, pamoja na watu wa mataifa yote, watu wenye wanaitwa kwa jina langu, ni vile Yehova* anasema, yeye mwenye kufanya mambo haya,+ 18 yenye yanajulikana tangu zamani.’+ 19 Kwa hiyo, uamuzi wangu* ni tusisumbue watu wa mataifa wenye wanageuka na kuwa upande wa Mungu,+ 20 lakini kuwaandikia wajiepushe na vitu vyenye vilichafuliwa na sanamu,+ na uasherati,*+ na vitu vyenye vilinyongwa,* na damu.+ 21 Kwa maana tangu zamani Musa iko* na watu wenye wanamuhubiri katika muji mumoja kisha muji mwingine, kwa sababu anasomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila sabato.”+

22 Kisha mitume na wazee, pamoja na kutaniko lote, wakaamua kutuma wanaume wenye walichaguliwa kutoka kati yao waende Antiokia, pamoja na Paulo na Barnaba; walituma Yuda mwenye aliitwa Barsaba pamoja na Sila,+ wanaume wenye walikuwa wanaongoza kati ya ndugu. 23 Wakaandika maneno haya na kuyatuma kupitia kwao:

“Mitume na wazee, ndugu zenu, kwa wale ndugu wa Antiokia,+ Siria, na Kilikia wenye wametoka kwa mataifa: Jambo! 24 Kwa kuwa tumesikia kwamba watu fulani walitoka kati yetu na waliwasumbua ninyi kwa maneno yenye walisema,+ wakijaribu kuwavuruga,* hata kama hatukuwapatia maagizo yoyote, 25 sisi tumefikia uamuzi mumoja wa kuchagua wanaume ili tuwatume kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo, 26 wanaume wenye wametoa uzima wao* kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.+ 27 Kwa hiyo, tunatuma Yuda na Sila, ili wao pia waeleze mambo yaleyale kwa maneno ya kinywa.+ 28 Kwa maana roho takatifu+ na sisi wenyewe tumeona ni muzuri tusiwaongezee ninyi muzigo zaidi, isipokuwa mambo haya ya lazima: 29 kuendelea kujiepusha na vitu vyenye vilitolewa zabihu kwa sanamu,+ na damu,+ na vitu vyenye vilinyongwa,*+ na uasherati.*+ Kama munajiepusha kwa uangalifu na mambo haya, mambo yatakuwa muzuri kwenu. Afya njema kwenu!”*

30 Basi, wakati watu hao waliondoka, walishuka kuenda Antiokia, na wakakusanya kikundi chote pamoja na kuwapatia barua hiyo. 31 Kisha kuisoma, wakafurahi sana juu ya kitia-moyo hicho. 32 Na Yuda na Sila, kwa sababu wao pia walikuwa manabii, wakatia ndugu moyo kwa hotuba nyingi na wakawatia nguvu.+ 33 Kisha kupitisha wakati fulani kule, ndugu hao wakawaacha warudie kwa amani kwa wale wenye walikuwa wamewatuma. 34*⁠ —— 35 Lakini Paulo na Barnaba wakabakia Antiokia, wakifundisha na kutangaza habari njema ya neno la Yehova* pamoja na wengine wengi.

36 Kisha siku fulani, Paulo akamuambia Barnaba: “Turudie sasa* na tutembelee ndugu katika kila muji kwenye tulitangaza neno la Yehova,* tuone wako namna gani.”+ 37 Barnaba alikuwa ameamua kabisa waende pamoja na Yohana, mwenye aliitwa Marko.+ 38 Lakini Paulo hakutaka waende pamoja naye, kwa sababu aliwaacha kule Pamfilia na hakuenda pamoja nao kwenye kazi.+ 39 Halafu kukatokea mulipuko mukali wa kasirani, na hivyo wakaachana; na Barnaba+ akamuchukua Marko na wakasafiri kwa mashua* kuenda Kipro. 40 Paulo akamuchagua Sila na kuondoka kisha ndugu kumuweka katika fazili zenye hazistahiliwe za Yehova.*+ 41 Akapitia Siria na Kilikia, akitia makutaniko nguvu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine