Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wakolosai 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wakolosai

      • Mashauri kwa mabwana (1)

      • “Mudumu katika sala” (2-4)

      • Kutembea kwa hekima kuelekea wenye kuwa inje (5, 6)

      • Salamu za mwisho (7-18)

Wakolosai 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:9

Wakolosai 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 18:1; Rom. 12:12; Efe 6:18
  • +Kol 3:15; 1 Tes. 5:18

Wakolosai 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:30
  • +Efe 6:19, 20; Flp 1:7

Wakolosai 4:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mukinunua wakati wenye uliwekwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:15, 16

Wakolosai 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:13; Mk 9:50
  • +1 Pe. 3:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2010, uku. 20-24

    Huduma ya Ufalme,

    1/2008, uku. 8

    Shule ya Huduma, uku. 66, 69

    Furaha ya Familia,

    uku. 36, 186

    “Kila Andiko,” uku. 228

Wakolosai 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:21, 22

Wakolosai 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flm 10

Wakolosai 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:29; 20:4; 27:2
  • +Mdo 12:12; 15:37; Flm 23, 24
  • +Rom. 15:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2010, uku. 8

    15/12/2000, uku. 17

    Kutoa Ushahidi, uku. 118

Wakolosai 4:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wamekuwa musaada wenye kutia nguvu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2004, uku. 13

    1/5/2004, uku. 18-21

    15/12/2000,

    uku. 17-19

Wakolosai 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 1:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2008, uku. 3-4

    15/12/2000,

    uku. 15-16, 19-24

Wakolosai 4:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2008, uku. 3-4

Wakolosai 4:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 1:3; Mdo 1:1
  • +Flm 23, 24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2015, uku. 25-26

Wakolosai 4:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:5; 1 Kor. 16:19

Wakolosai 4:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 5:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 28

Wakolosai 4:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flm 1, 2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2008, uku. 6-7

Wakolosai 4:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 3:17
  • +Flp 1:7; Flm 9

Maandiko ingine

Kol. 4:1Efe 6:9
Kol. 4:2Lu 18:1; Rom. 12:12; Efe 6:18
Kol. 4:2Kol 3:15; 1 Tes. 5:18
Kol. 4:3Rom. 15:30
Kol. 4:3Efe 6:19, 20; Flp 1:7
Kol. 4:5Efe 5:15, 16
Kol. 4:6Mt 5:13; Mk 9:50
Kol. 4:61 Pe. 3:15
Kol. 4:7Efe 6:21, 22
Kol. 4:9Flm 10
Kol. 4:10Mdo 19:29; 20:4; 27:2
Kol. 4:10Mdo 12:12; 15:37; Flm 23, 24
Kol. 4:10Rom. 15:7
Kol. 4:12Kol 1:7, 8
Kol. 4:14Lu 1:3; Mdo 1:1
Kol. 4:14Flm 23, 24
Kol. 4:15Rom. 16:5; 1 Kor. 16:19
Kol. 4:161 Tes. 5:27
Kol. 4:17Flm 1, 2
Kol. 4:182 Tes. 3:17
Kol. 4:18Flp 1:7; Flm 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wakolosai 4:1-18

Barua kwa Wakolosai

4 Ninyi mabwana, mutendee watumwa wenu kwa njia ya uadilifu* na ya haki, mukijua kwamba ninyi pia muko na Bwana mbinguni.+

2 Mudumu katika sala,+ mukikaa macho katika sala pamoja na kutoa shukrani.+ 3 Wakati uleule, musali pia kwa ajili yetu,+ kwamba Mungu afungue mulango kwa ajili ya neno ili tutangaze siri takatifu juu ya Kristo, yenye kwa ajili yake niko katika vifungo vya gereza,+ 4 na kwamba niitangaze waziwazi kama vile ninapaswa kufanya.

5 Muendelee kutembea kwa hekima kuelekea wale wenye kuwa inje, mukitumia muzuri zaidi wakati wenu.*+ 6 Maneno yenu yakuwe yenye kupendeza sikuzote, yenye kukolezwa chumvi,+ ili mujue namna munapaswa kumujibu kila mutu.+

7 Tikiko,+ ndugu yangu mupendwa na mutumishi muaminifu na mutumwa mwenzangu katika Bwana, atawaambia ninyi habari zote juu yangu. 8 Ninamutuma kwenu ili mujue hali yetu na ili afariji mioyo yenu. 9 Anakuja pamoja na Onesimo,+ ndugu yangu muaminifu na mupendwa, mwenye ni wa kwenu; watawaambia mambo yote yenye yanatendeka hapa.

10 Aristarko+ mwenzangu wa utekwa anawatumia salamu zake, na pia Marko,+ binamu ya Barnaba (mwenye mulipokea maagizo ya kumukaribisha+ ikiwa atakuja kwenu), 11 na Yesu mwenye kuitwa Yusto; hao ni kati ya wale wenye walitahiriwa. Ni hawa tu ndio wafanyakazi wenzangu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, na wamekuwa chanzo cha faraja nyingi* kwangu. 12 Epafra,+ mutumwa wa Kristo Yesu mwenye ni wa kwenu, anawatumia salamu zake. Sikuzote anajikaza kwa ajili yenu katika sala zake, ili mwishowe musimame mukiwa kamili na mukiwa na usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu. 13 Kwa maana ninamutolea ushahidi kwamba anajikaza sana kwa ajili yenu na kwa ajili ya wale wenye kuwa Laodikia na Hierapoli.

14 Luka,+ munganga mupendwa anawatumia salamu zake, na pia Dema.+ 15 Mupatie salamu zangu ndugu wenye kuwa Laodikia na pia kwa Nimfa na kutaniko lenye kuwa katika nyumba yake.+ 16 Na wakati barua hii itakuwa imekwisha kusomwa katikati yenu, mufanye mipango ili isomwe pia+ katika kutaniko la Walaodikia, na ninyi pia musome ile ya kutoka Laodikia. 17 Pia, mumuambie Arkipo:+ “Ukuwe muangalifu juu ya utumishi wenye ulikubali katika Bwana, ili uutimize.”

18 Hii hapa ni salamu yangu, Paulo, kwa mukono wangu mimi mwenyewe.+ Muendelee kukumbuka vifungo vyangu vya gereza.+ Fazili zenye hazistahiliwe zikuwe pamoja na ninyi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine