Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 108
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sala ya kuomba ushindi juu ya maadui

        • Wokovu kutoka kwa wanadamu hauna mafaa yoyote (12)

        • “Kwa musaada wa Mungu tutapata nguvu” (13)

Zaburi 108:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hata utukufu wangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 57:7-11; 104:33

Zaburi 108:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Mapambazuko ni wakati mwangaza wa asubui unaanza kutokea.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 81:2

Zaburi 108:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitakupigia muziki.”

Zaburi 108:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 36:5; 103:11

Zaburi 108:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:1; 57:5, 11

Zaburi 108:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 20:6; 60:5

Zaburi 108:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “katika mahali pake patakatifu.”

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 17:7
  • +Mwa 33:17; Zab 60:6-8

Zaburi 108:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ngome.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 13:8, 11
  • +Kum 33:17
  • +Mwa 49:10

Zaburi 108:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:2
  • +Hes 24:18; 2 Sa. 8:14
  • +2 Sa. 8:1

Zaburi 108:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 60:9-12

Zaburi 108:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:14

Zaburi 108:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:6
  • +Zab 118:8; 146:3, 4

Zaburi 108:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:4; 2 Sa. 22:40; Isa 40:29-31
  • +Zab 44:5

Maandiko ingine

Zb. 108:1Zab 57:7-11; 104:33
Zb. 108:2Zab 81:2
Zb. 108:4Zab 36:5; 103:11
Zb. 108:5Zab 8:1; 57:5, 11
Zb. 108:6Zab 20:6; 60:5
Zb. 108:7Yosh. 17:7
Zb. 108:7Mwa 33:17; Zab 60:6-8
Zb. 108:8Yosh. 13:8, 11
Zb. 108:8Kum 33:17
Zb. 108:8Mwa 49:10
Zb. 108:92 Sa. 8:2
Zb. 108:9Hes 24:18; 2 Sa. 8:14
Zb. 108:92 Sa. 8:1
Zb. 108:10Zab 60:9-12
Zb. 108:11Kum 23:14
Zb. 108:12Zab 18:6
Zb. 108:12Zab 118:8; 146:3, 4
Zb. 108:131 Sa. 2:4; 2 Sa. 22:40; Isa 40:29-31
Zb. 108:13Zab 44:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 108:1-13

Zaburi

Wimbo. Muziki wa Daudi.

108 Moyo wangu uko imara, Ee Mungu.

Nitaimba na kupiga muziki kwa nafsi yangu yote.*+

 2 Amuka, Ee chombo cha kamba; na wewe pia, Ee kinubi.+

Nitaamusha mapambazuko.*

 3 Nitakusifu kati ya vikundi vya watu, Ee Yehova,

Na nitakuimbia sifa* kati ya mataifa.

 4 Kwa maana upendo wako mushikamanifu ni mwingi, uko juu kama mbingu,+

Na uaminifu wako, unafika mupaka kwenye anga.

 5 Uinuliwe juu ya mbingu, Ee Mungu;

Utukufu wako ukuwe juu ya dunia yote.+

 6 Ili wapendwa wako waokolewe,

Utuokoe kupitia mukono wako wa kuume na unijibu.+

 7 Mungu amesema katika utakatifu wake:*

“Nitashangilia, nitatoa Shekemu+ kuwa uriti,

Na nitapima Bonde* la Sukoti.+

 8 Gileadi+ ni yangu, na Manase ni yangu,

Na Efraimu ni kofia ya chuma* ya kichwa changu;+

Yuda ni fimbo yangu ya kamanda.+

 9 Moabu ni beseni yangu ya kunawia.+

Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+

Nitapiga vigelegele vya ushindi juu ya Ufilisti.”+

10 Ni nani atanipeleka katika muji wenye ngome?

Ni nani ataniongoza mupaka Edomu?+

11 Je, haiko wewe, Ee Mungu, mwenye umetukataa,

Mungu wetu, mwenye haende tena na majeshi yetu?+

12 Utusaidie katika taabu yetu,+

Kwa maana wokovu kutoka kwa wanadamu hauna mafaa yoyote.+

13 Kwa musaada wa Mungu tutapata nguvu,+

Na atakanyangia chini wapinzani wetu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine