Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Utumishi mutakatifu katika hekalu la duniani (1-10)

      • Kristo anaingia mbinguni akiwa na damu yake (11-28)

        • Mupatanishi wa agano jipya (15)

Waebrania 9:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:8

Waebrania 9:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mikate ya wonyesho.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 4:9
  • +Kut 40:22-24
  • +Kut 26:33

Waebrania 9:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 36:35
  • +Kut 26:31, 33

Waebrania 9:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tumba ni jicho la mumea lenye linageuka kuwa ua, jani, ao tawi.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:12; Ufu 8:3
  • +Kut 40:21
  • +Kut 25:10, 11
  • +Kut 16:33
  • +Hes 17:10
  • +Kut 32:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1970

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2006, uku. 31

Waebrania 9:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mahali pa kufunika zambi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:18, 22; Hes 7:89

Waebrania 9:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 24:3, 4

Waebrania 9:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:2
  • +Kut 30:10; Law. 16:14
  • +Law. 16:6, 11
  • +Law. 16:15

Waebrania 9:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 10:19, 20

Waebrania 9:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 2:16, 17; Ebr 8:5; 10:1
  • +Law. 23:37, 38
  • +Gal 3:21; Ebr 7:11, 19

Waebrania 9:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maubatizo mbalimbali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:17-19
  • +Hes 19:13

Waebrania 9:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “bei ya ukombozi ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 12:24; 13:20
  • +Da. 9:24; Mt 20:28; 1 Tim. 2:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Mfuasi Wangu’,

    uku. 183-184

Waebrania 9:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:6, 15
  • +Hes 19:9, 17, 19

Waebrania 9:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:18, 19
  • +1 Yo. 1:7
  • +Rom. 12:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2006, uku. 28

Waebrania 9:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 22:20; 1 Tim. 2:5; Ebr 12:22, 24
  • +Mt 20:28
  • +Rom. 8:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 13-14

Waebrania 9:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2008, uku. 32

Waebrania 9:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “halikuzinduliwa.”

Waebrania 9:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

  • *

    Ao “kitabu cha kukunjwa.”

Waebrania 9:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:6-8

Waebrania 9:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

  • *

    Ao “utumishi wa watu wote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:12; Law. 8:15

Waebrania 9:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 17:11
  • +Law. 9:7-9

Waebrania 9:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 8:5; 9:9
  • +Law. 16:19, 20

Waebrania 9:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele ya uso wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 8:1, 2
  • +Kol 2:16, 17
  • +Ebr 6:19, 20; 9:12
  • +Law. 16:15; Rom. 8:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 27

    15/1/2000, uku. 15-16

    ‘Mfuasi Wangu’,

    uku. 183-184

Waebrania 9:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:2, 34

Waebrania 9:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mifumo ya mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 9:24; Ebr 7:27; 1 Pe. 3:18

Waebrania 9:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “haitakuwa ili kushugulikia zambi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:12; Rom. 6:10; 1 Pe. 2:24
  • +2 Tim. 4:8; Tit 2:13

Maandiko ingine

Ebr. 9:1Kut 25:8
Ebr. 9:2Hes 4:9
Ebr. 9:2Kut 40:22-24
Ebr. 9:2Kut 26:33
Ebr. 9:3Kut 36:35
Ebr. 9:3Kut 26:31, 33
Ebr. 9:4Law. 16:12; Ufu 8:3
Ebr. 9:4Kut 40:21
Ebr. 9:4Kut 25:10, 11
Ebr. 9:4Kut 16:33
Ebr. 9:4Hes 17:10
Ebr. 9:4Kut 32:15
Ebr. 9:5Kut 25:18, 22; Hes 7:89
Ebr. 9:6Law. 24:3, 4
Ebr. 9:7Law. 16:2
Ebr. 9:7Kut 30:10; Law. 16:14
Ebr. 9:7Law. 16:6, 11
Ebr. 9:7Law. 16:15
Ebr. 9:8Ebr 10:19, 20
Ebr. 9:9Kol 2:16, 17; Ebr 8:5; 10:1
Ebr. 9:9Law. 23:37, 38
Ebr. 9:9Gal 3:21; Ebr 7:11, 19
Ebr. 9:10Kut 30:17-19
Ebr. 9:10Hes 19:13
Ebr. 9:12Ebr 12:24; 13:20
Ebr. 9:12Da. 9:24; Mt 20:28; 1 Tim. 2:5, 6
Ebr. 9:13Law. 16:6, 15
Ebr. 9:13Hes 19:9, 17, 19
Ebr. 9:141 Pe. 1:18, 19
Ebr. 9:141 Yo. 1:7
Ebr. 9:14Rom. 12:1
Ebr. 9:15Lu 22:20; 1 Tim. 2:5; Ebr 12:22, 24
Ebr. 9:15Mt 20:28
Ebr. 9:15Rom. 8:17
Ebr. 9:20Kut 24:6-8
Ebr. 9:21Kut 29:12; Law. 8:15
Ebr. 9:22Law. 17:11
Ebr. 9:22Law. 9:7-9
Ebr. 9:23Ebr 8:5; 9:9
Ebr. 9:23Law. 16:19, 20
Ebr. 9:24Ebr 8:1, 2
Ebr. 9:24Kol 2:16, 17
Ebr. 9:24Ebr 6:19, 20; 9:12
Ebr. 9:24Law. 16:15; Rom. 8:34
Ebr. 9:25Law. 16:2, 34
Ebr. 9:26Da. 9:24; Ebr 7:27; 1 Pe. 3:18
Ebr. 9:28Isa 53:12; Rom. 6:10; 1 Pe. 2:24
Ebr. 9:282 Tim. 4:8; Tit 2:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 9:1-28

Kwa Waebrania

9 Basi, kwa upande wake, lile agano la zamani lilikuwa na mambo yenye sheria inaomba kwa ajili ya utumishi mutakatifu na mahali pake patakatifu+ katika dunia. 2 Kwa maana chumba cha kwanza cha hema kilijengwa, na ndani yake mulikuwa kinara cha taa+ na meza na mikate ya toleo;*+ na kinaitwa Mahali Patakatifu.+ 3 Lakini nyuma ya pazia la pili+ kulikuwa chumba cha hema chenye kiliitwa Patakatifu Zaidi.+ 4 Hicho kilikuwa na chetezo cha zahabu+ na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kabisa kwa zahabu,+ lenye ndani yake mulikuwa ule mutungi wa zahabu wenye mana+ na fimbo ya Haruni yenye ilitokeza matumba*+ na yale mabamba+ ya agano; 5 na juu yake kulikuwa wale makerubi wenye utukufu wenye kufunika kile kifuniko cha kufunika zambi* kwa kivuli chao.+ Lakini sasa haiko wakati wa kuzungumuzia mambo hayo kirefu.

6 Kisha vitu hivyo kujengwa kwa njia hiyo, makuhani wanaingia kwa ukawaida katika chumba cha kwanza cha hema ili kutoa utumishi mutakatifu;+ 7 lakini kuhani mukubwa anaingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ hapana bila kuwa na damu,+ yenye anatoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya zambi zenye watu+ walifanya bila kujua. 8 Kwa njia hiyo roho takatifu inafanya ikuwe wazi kwamba njia ya kuingia mahali patakatifu ilikuwa haijafunuliwa wakati ile hema ya zamani ilikuwa yenye kusimama.+ 9 Hema hii ni mufano kwa ajili ya wakati wa sasa,+ na kulingana na mupango huu, zawadi na pia zabihu zinatolewa.+ Hata hivyo, hizo haziwezi kufanya zamiri ya mutu mwenye anafanya utumishi mutakatifu ikuwe kamilifu.+ 10 Zinahusu tu vyakula na vinywaji na njia mbalimbali za kujisafisha kulingana na desturi.*+ Hayo yalikuwa mambo yenye sheria inaomba juu ya mwili+ na yalifuatwa mupaka wakati wenye uliwekwa wa kunyoosha mambo.

11 Lakini, wakati Kristo alikuja akiwa kuhani mukubwa wa mambo ya muzuri yenye yamekwisha kufanyika, alipita katika hema kubwa na kamilifu zaidi yenye haikutengenezwa kwa mikono, ni kusema, hapana ya uumbaji huu. 12 Aliingia mahali patakatifu, hapana akiwa na damu ya mbuzi na ya ngombe-dume wadogo, lakini akiwa na damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote, na kupata ukombozi wa* milele kwa ajili yetu.+ 13 Kwa maana kama damu ya mbuzi na ya ngombe-dume+ na majivu ya kitoto-dike cha ngombe yenye yananyunyizwa* juu ya wale wenye wametiwa uchafu yanatakasa ili kusafisha mwili,+ 14 je, damu ya Kristo,+ mwenye kupitia roho yenye inadumu milele alijitoa yeye mwenyewe kwa Mungu bila kasoro, haitasafisha hata zaidi zamiri zetu kutoka katika matendo yenye yalikufa+ ili tumutolee Mungu mwenye kuishi utumishi mutakatifu?+

15 Ndiyo sababu yeye ni mupatanishi wa agano jipya,+ hivi kwamba kwa sababu kifo kimetokea kwa ajili ya kuachiliwa kwao huru kupitia bei ya ukombozi+ kutoka kwenye makosa chini ya agano la zamani, wale wenye wameitwa wapokee ahadi ya uriti wenye unadumu milele.+ 16 Kwa maana mahali kwenye kuko agano, kifo cha mwanadamu mwenye kufanya agano kinahitajiwa, 17 kwa sababu agano linakubaliwa wakati wa kifo, kwa kuwa halitumike wakati mwanadamu mwenye kufanya agano angali muzima. 18 Kwa hiyo, hata lile agano la zamani halikutumika* bila damu. 19 Kwa maana wakati Musa alikuwa ameambia watu wote kila amri ya Sheria, alikamata damu ya wale ngombe-dume wadogo na ya wale mbuzi, pamoja na maji, manyoya ya kondoo ya rangi nyekundu yenye kungaa, na hisopo, na akanyunyizia* kile kitabu* na watu wote, 20 na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano lenye Mungu amewaamuru ninyi mushike.”+ 21 Vilevile alinyunyiza* damu+ kwenye ile hema na vyombo vyote vya utumishi mutakatifu.* 22 Ndiyo, kulingana na Sheria karibu vitu vyote vinatakaswa kupitia damu,+ na kama damu haimwangwe hakuna musamaha wenye unatokea.+

23 Kwa hiyo, ilikuwa lazima mifano+ ya vitu vyenye kuwa mbinguni itakaswe kwa njia hizo,+ lakini vitu vya mbinguni viko na lazima ya zabihu za muzuri zaidi. 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu kwenye kulitengenezwa kwa mikono,+ kwenye ni mufano wa uhalisi,+ lakini aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele ya* Mungu kwa ajili yetu.+ 25 Hilo halikufanywa ili ajitoe yeye mwenyewe mara nyingi, kama vile wakati kuhani mukubwa anaingia mahali patakatifu kila mwaka+ akiwa na damu yenye haiko yake mwenyewe. 26 Tofauti na hilo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa musingi wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua yeye mwenyewe mara moja kwa wakati wote kwenye umalizio wa mipangilio ya mambo* ili kuondoa zambi kupitia zabihu yake mwenyewe.+ 27 Na kama vile watu wamewekewa kufa mara moja kwa wakati wote, lakini kisha pale wapokee hukumu, 28 vilevile pia Kristo alitolewa mara moja kwa wakati wote ili kubeba zambi za watu wengi;+ na mara ya pili wakati atatokea itakuwa ni bila zambi,* na ataonwa na wale wenye wanamutafuta kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine