Mezali
31 Maneno ya Mufalme Lemueli, ujumbe muzito wenye mama yake alimupatia ili kumufundisha:+
2 Nikuambie nini, Ee mwana wangu,
Nikuambie nini, Ee mwana wa tumbo langu la uzazi,
Na nikuambie nini, Ee mwana wa naziri zangu?+
4 Haiko muzuri kwa wafalme, Ee Lemueli,
Haiko muzuri kwa wafalme kunywa divai
Wala watawala kusema, “Kinywaji changu kiko wapi?”+
5 Ili wasikunywe na kusahau mambo yenye yameagizwa
Na kupotosha haki za watu wa hali ya chini.
7 Acha wakunywe na kusahau umaskini wao;
Na wasikumbuke tena taabu yao.
8 Semea wale wenye hawana uwezo wa kusema;
Tetea haki za wote wenye kuangamia.+
א [Aleph]
10 Ni nani anaweza kupata bibi mwenye uwezo?*+
Samani yake inapita sana samani ya marijani.*
ב [Beth]
11 Bwana yake anamutumainia katika moyo wake,
Na hakose kitu chochote chenye samani.
ג [Gimel]
12 Anamupatia bwana yake zawabu ya mema, hapana mabaya,
Siku zote za maisha yake.
ד [Daleth]
13 Anapata manyoya ya kondoo na kitani;
Anafurahia sana kufanya kazi kwa mikono yake.+
ה [He]
ו [Waw]
15 Tena, anaamuka wakati ingali usiku,
Na kupatia watu wa nyumba yake chakula
Na kupatia mafungu watumishi wake wanamuke.+
ז [Zayin]
ח [Heth]
ט [Teth]
18 Anahakikisha kwamba biashara yake iko na faida;
Taa yake haizimike usiku.
י [Yod]
19 Mikono yake inashika kipande cha muti cha kufungia uzi,
Na mikono yake inashika kipande cha muti cha kusukia uzi.+
כ [Kaph]
20 Ananyooshea mukono mutu wa hali ya chini,
Anafungulia maskini mikono yake.+
ל [Lamed]
21 Hana wasiwasi kuhusu watu wa nyumba yake kwa sababu ya teluji,*
Kwa sababu watu wote wa nyumba yake wamevaa nguo za kuleta joto.*
מ [Mem]
22 Anajitengenezea matandiko ya kufunika kitanda.
Nguo zake ni za kitani na manyoya ya kondoo ya rangi ya zambarau.
נ [Nun]
23 Bwana yake anajulikana sana katika milango mikubwa ya muji,+
Kwenye anakaa kati ya wazee wa inchi.
ס [Samekh]
ע [Ayin]
פ [Pe]
צ [Tsade]
ק [Qoph]
28 Watoto wake wanasimama na kumutangaza kuwa mwenye furaha;
Bwana yake anasimama na kumusifu.
ר [Resh]
ש [Shin]
30 Uvutio unaweza kudanganya, na uzuri unaweza kupita haraka,*+
Lakini bibi mwenye anamuogopa Yehova atasifiwa.+
ת [Taw]