Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Timoteo 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Timoteo

      • Namna ya kutendea vijana na wazee (1, 2)

      • Kusaidia wajane (3-16)

        • Kutimiza mahitaji ya watu wa nyumba yako mwenyewe (8)

      • Kuheshimia wazee wenye wanafanya kazi kwa bidii (17-25)

        • ‘Divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako’ (23)

1 Timoteo 5:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:32

1 Timoteo 5:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Heshimia.”

  • *

    Ao “wajane wenye kuwa kabisa katika uhitaji”; ni kusema, wenye hawana mutu wa kuwasaidia.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 5:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/5/2001, uku. 6

1 Timoteo 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 5:8
  • +Mt 15:4; Efe 6:2
  • +Yak 1:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2006, uku. 6

    1/5/2001, uku. 5-6

    Furaha ya Familia,

    uku. 149, 173-174

1 Timoteo 5:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 7:34
  • +Lu 2:36, 37

1 Timoteo 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “amri hizi.”

1 Timoteo 5:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 15:4-6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2014, uku. 24

    15/2/2012, uku. 7

    15/5/2011, uku. 7

    1/5/2007, uku. 20-21

    15/6/2005, uku. 18-20

    “Upendo wa Mungu,” uku. 116

    Furaha ya Familia, uku. 160

1 Timoteo 5:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/4/2007, uku. 31

    1/6/2006, uku. 6-7

1 Timoteo 5:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:39
  • +1 Tim. 2:15
  • +Ebr 13:2; 1 Pe. 4:9
  • +Yoh 13:5, 14
  • +1 Tim. 5:16; Yak 1:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2006, uku. 6-7

1 Timoteo 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ahadi yao ya kwanza.”

1 Timoteo 5:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Porojo ni kusema mubaya juu ya watu na maisha yao.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 3:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 18

    15/6/2007, uku. 20

1 Timoteo 5:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 7:8, 9
  • +1 Tim. 2:15

1 Timoteo 5:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 18-19

1 Timoteo 5:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao “wajane wenye kuwa kabisa katika uhitaji”; ni kusema, wenye hawana mutu wa kuwasaidia.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:11; 1 Tim. 5:5; Yak 1:27

1 Timoteo 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 5:2, 3
  • +Mdo 28:10; Ebr 13:17
  • +1 Tes. 5:12; Ebr 13:7

1 Timoteo 5:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 25:4; 1 Kor. 9:7, 9
  • +Law. 19:13; Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Gal 6:6

1 Timoteo 5:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “juu ya muzee.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 19:15; Mt 18:16

1 Timoteo 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ili wengine waogope.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:34; 1 Yo. 3:9
  • +Tit 1:7, 9, 13; Ufu 3:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 139

1 Timoteo 5:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:15; Yak 3:17

1 Timoteo 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, usiweke mutu yeyote haraka-haraka kwenye madaraka.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 6:5, 6; 14:23; 1 Tim. 3:2, 6; 4:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2015, uku. 15

1 Timoteo 5:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Acha kunywa maji tu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2015, uku. 26

    1/11/2015, uku. 15

    1/8/2012, uku. 26

1 Timoteo 5:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 7:11; Ebr 4:13

1 Timoteo 5:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:16
  • +1 Kor. 4:5

Maandiko ingine

1 Timotheo 5:1Law. 19:32
1 Timotheo 5:31 Tim. 5:16
1 Timotheo 5:41 Tim. 5:8
1 Timotheo 5:4Mt 15:4; Efe 6:2
1 Timotheo 5:4Yak 1:27
1 Timotheo 5:51 Kor. 7:34
1 Timotheo 5:5Lu 2:36, 37
1 Timotheo 5:8Mt 15:4-6
1 Timotheo 5:101 Tim. 5:16; Yak 1:27
1 Timotheo 5:10Mdo 9:39
1 Timotheo 5:101 Tim. 2:15
1 Timotheo 5:10Ebr 13:2; 1 Pe. 4:9
1 Timotheo 5:10Yoh 13:5, 14
1 Timotheo 5:132 Tes. 3:11
1 Timotheo 5:141 Kor. 7:8, 9
1 Timotheo 5:141 Tim. 2:15
1 Timotheo 5:16Kum 15:11; 1 Tim. 5:5; Yak 1:27
1 Timotheo 5:171 Pe. 5:2, 3
1 Timotheo 5:17Mdo 28:10; Ebr 13:17
1 Timotheo 5:171 Tes. 5:12; Ebr 13:7
1 Timotheo 5:18Kum 25:4; 1 Kor. 9:7, 9
1 Timotheo 5:18Law. 19:13; Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Gal 6:6
1 Timotheo 5:19Kum 19:15; Mt 18:16
1 Timotheo 5:201 Kor. 15:34; 1 Yo. 3:9
1 Timotheo 5:20Tit 1:7, 9, 13; Ufu 3:19
1 Timotheo 5:21Law. 19:15; Yak 3:17
1 Timotheo 5:22Mdo 6:5, 6; 14:23; 1 Tim. 3:2, 6; 4:14
1 Timotheo 5:24Yosh. 7:11; Ebr 4:13
1 Timotheo 5:25Mt 5:16
1 Timotheo 5:251 Kor. 4:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Timoteo 5:1-25

Ya Kwanza kwa Timoteo

5 Usimukaripie kwa ukali mwanaume mwenye kuzeeka.+ Lakini, umusihi kama baba, na wanaume vijana kama ndugu zako, 2 na wanamuke wenye kukomaa kama mama, na vijana wanamuke kama dada, kwa mwenendo safi kabisa.

3 Hangaikia* wajane wenye kuwa wajane kwelikweli.*+ 4 Lakini kama mujane iko* na watoto ao wajukuu, wajifunze kwanza kutenda kwa ushikamanifu kwa Mungu katika nyumba yao wenyewe+ na walipe wazazi wao na wazazi wa wazazi wao kile chenye wanastahili,+ kwa maana hilo linakubaliwa mbele ya macho ya Mungu.+ 5 Sasa mwanamuke mwenye kuwa mujane kwelikweli na mwenye aliachwa bila kitu ameweka tumaini lake kwa Mungu+ na anaendelea kutoa sala za kumulilia Mungu* na kusali usiku na muchana.+ 6 Lakini ule mwenye anajiingiza katika tamaa za mwili amekufa hata kama yeye ni muzima. 7 Kwa hiyo endelea kutoa maagizo haya,* ili wakuwe bila lawama. 8 Hakika, kama mutu yeyote hatimize mahitaji ya watu wake mwenyewe, na zaidi sana washiriki wa nyumba yake, amekana imani na ni mubaya kuliko mutu mwenye hana imani.+

9 Mujane aandikwe kwenye oroza kama haiko chini ya miaka makumi sita (60), kama alikuwa bibi ya bwana mumoja, 10 anajulikana kwa matendo ya muzuri,+ kama alilea watoto,+ kama alikaribisha wageni,+ kama alinawisha miguu ya watakatifu,+ kama alisaidia watu wenye kuteseka,+ na kama alijitolea kwa ajili ya kila kazi ya muzuri.

11 Kwa upande mwingine, usiandike kwenye oroza majina ya wajane wenye wangali vijana, kwa maana wakati tamaa zao za ngono zinakuja kati yao na Kristo, wanataka kuolewa. 12 Na watapata hukumu kwa sababu wameacha wonyesho wao wa kwanza wa imani.* 13 Wakati uleule wanajifunza pia kuwa wavivu, wakizunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, hawakuwe tu wavivu lakini pia wanapiga porojo* na wanajiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakizungumuza juu ya mambo yenye hawapaswe kuzungumuzia. 14 Kwa hiyo, ninapenda wanamuke wajane wenye wangali vijana waolewe,+ wazae watoto,+ wasimamie nyumba, wasimupatie mupinzani nafasi ya kutuchambua-chambua. 15 Kwa kweli, tayari wamoja wao wamegeuzwa pembeni na kumufuata Shetani. 16 Kama mwanamuke yeyote muamini iko* na wajane katika jamaa yake, awasaidie ili kutaniko lisibebe muzigo huo. Halafu kutaniko linaweza kusaidia wale wenye kuwa wajane kwelikweli.*+

17 Wazee wenye wanasimamia kwa njia ya muzuri+ waonwe kuwa wanastahili heshima mara mbili,+ zaidi sana wale wenye wanafanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+ 18 Kwa maana andiko linasema: “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka,”+ pia, “Mufanyakazi anastahili malipo yake.”+ 19 Usikubali shitaka juu ya mwanaume muzee* isipokuwa kwa ushuhuda wa mashahidi wawili ao watatu (3).+ 20 Wale wenye wanazoea kufanya zambi,+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji wote, ili ikuwe onyo kwa wengine.* 21 Ninakuagiza kwa uzito mbele ya Mungu na Kristo Yesu na malaika wenye walichaguliwa, kwamba ushike maagizo haya bila upendeleo wala ubaguzi wowote.+

22 Usiweke mikono yako juu ya mutu yeyote haraka-haraka;*+ na usishiriki katika zambi za watu wengine; endelea kuwa na mwenendo safi.

23 Usiendelee kunywa maji tu,* lakini ukunywe divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako na ugonjwa wako wa mara kwa mara.

24 Zambi za watu fulani zinajulikana mbele ya watu wote, na zinaongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini zambi za watu wengine zinakuwa wazi kisha wakati fulani.+ 25 Vilevile pia, matendo ya muzuri yanajulikana mbele ya watu wote+ na yale yenye hayajulikane hayawezi kuendelea kufichwa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine