Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Hatari ya kukosa kuingia katika pumuziko la Mungu (1-10)

      • Kitia-moyo cha kuingia katika pumuziko la Mungu (11-13)

        • Neno la Mungu liko na uzima (12)

      • Yesu, kuhani mukubwa zaidi (14-16)

Waebrania 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tukuwe na woga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 3:12, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 27

Waebrania 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 4:23; Mdo 15:7; Kol 1:23

Waebrania 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 95:11; Ebr 3:11
  • +Kut 31:17

Waebrania 4:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 18

Waebrania 4:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 95:11

Waebrania 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:30; Kum 31:27

Waebrania 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 95:7, 8

Waebrania 4:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:13; Kum 1:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 26

Waebrania 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mk 2:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 26

    1/10/2001, uku. 30

Waebrania 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 27

    15/10/2008, uku. 32

    1/10/2001, uku. 30-31

Waebrania 4:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 95:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 25

    1/10/2001, uku. 30-31

Waebrania 4:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:29; 1 Tes. 2:13
  • +Efe 6:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    9/2017, uku. 23-27

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    9/2016, uku. 32

    Biblia Inafundisha, uku. 25-26

    Mkaribie Yehova,

    uku. 41-42, 185-186

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 22-23

    15/12/2012, uku. 3

    15/7/2011, uku. 29, 32

    15/2/2010, uku. 10-11

    1/6/2009, uku. 6

    15/5/2009, uku. 10

    15/11/2008, uku. 4

    15/7/2005, uku. 22

    15/11/2003, uku. 11

    Huduma ya Ufalme,

    5/2001, uku. 1

Waebrania 4:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 7:9; 90:8; Mez. 15:11
  • +Mdo 17:31; Rom. 2:16; 14:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/6/2001, uku. 21-22

Waebrania 4:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mk 1:11
  • +Ebr 10:23

Waebrania 4:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:4; Ebr 2:17
  • +Ebr 7:26; 1 Pe. 2:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2000, uku. 11-12

Waebrania 4:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 3:11, 12; Ebr 10:19-22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2016, uku. 19-20

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2000, uku. 7-8

Maandiko ingine

Ebr. 4:1Ebr 3:12, 13
Ebr. 4:2Mt 4:23; Mdo 15:7; Kol 1:23
Ebr. 4:3Zab 95:11; Ebr 3:11
Ebr. 4:3Kut 31:17
Ebr. 4:4Mwa 2:2, 3
Ebr. 4:5Zab 95:11
Ebr. 4:6Hes 14:30; Kum 31:27
Ebr. 4:7Zab 95:7, 8
Ebr. 4:8Kut 24:13; Kum 1:38
Ebr. 4:9Mk 2:28
Ebr. 4:10Mwa 2:2, 3
Ebr. 4:11Zab 95:11
Ebr. 4:12Yer 23:29; 1 Tes. 2:13
Ebr. 4:12Efe 6:17
Ebr. 4:13Zab 7:9; 90:8; Mez. 15:11
Ebr. 4:13Mdo 17:31; Rom. 2:16; 14:12
Ebr. 4:14Mk 1:11
Ebr. 4:14Ebr 10:23
Ebr. 4:15Isa 53:4; Ebr 2:17
Ebr. 4:15Ebr 7:26; 1 Pe. 2:22
Ebr. 4:16Efe 3:11, 12; Ebr 10:19-22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 4:1-16

Kwa Waebrania

4 Kwa hiyo, kwa kuwa ahadi ya kuingia katika pumuziko lake inabakia, tukuwe macho* ili mutu yeyote kati yenu asionekane amepungukiwa.+ 2 Kwa maana sisi pia tumetangaziwa habari njema,+ kama vile walitangaziwa; lakini neno lenye walisikia halikuwaletea faida, kwa sababu hawakuunganishwa kwa imani pamoja na wale wenye walisikiliza. 3 Kwa maana sisi wenye tumeonyesha imani tunaingia katika pumuziko, kama vile alisema: “Kwa hiyo niliapa katika kasirani yangu, ‘Hawataingia katika pumuziko langu,’”+ hata kama kazi zake zilimalizwa tangu kuwekwa musingi wa ulimwengu.+ 4 Kwa maana mahali fulani amesema hivi juu ya siku ya saba (7): “Na Mungu akapumuzika siku ya saba kutokana na kazi zake zote,”+ 5 na hapa tena anasema: “Hawataingia katika pumuziko langu.”+

6 Basi, kwa kuwa kunabakia watu fulani waingie katika pumuziko hilo, na wale wenye walitangaziwa kwanza habari njema hawakuingia kwa sababu ya kukosa kutii,+ 7 yeye tena anaweka siku fulani kwa kusema hivi kisha wakati murefu katika zaburi ya Daudi, “Leo”; kama vile ilisemwa pale juu, “Leo kama munasikiliza sauti yake, musifanye mioyo yenu kuwa migumu.”+ 8 Kwa maana kama Yoshua+ aliwaingiza mahali pa pumuziko, Mungu hangesema baadaye juu ya siku ingine. 9 Kwa hiyo kunabakia pumuziko la sabato kwa ajili ya watu wa Mungu.+ 10 Kwa maana mutu mwenye ameingia katika pumuziko la Mungu, amepumuzika pia kisha kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alipumuzika pia kutoka kwenye kazi zake mwenyewe.+

11 Kwa hiyo tufanye nguvu yetu yote ili tuingie katika pumuziko hilo, ili mutu yeyote asianguke katika mufano uleule wa kukosa kutii.+ 12 Kwa maana neno la Mungu liko na uzima na liko na nguvu+ na liko makali kuliko upanga wowote wenye makali pande mbili+ na linaingia hata kufikia kugawanya nafsi* na roho,* na viungo kutoka kwa mafuta ya ndani ya mifupa, na linaweza kutambua mawazo na makusudio ya moyo. 13 Na hakuna kiumbe chenye kufichwa mbele ya macho yake,+ lakini vitu vyote viko uchi na vyenye kufunuliwa wazi mbele ya macho ya ule mwenye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+

14 Basi, kwa kuwa tuko na kuhani mukubwa sana mwenye amepita katikati ya mbingu, Yesu Mwana wa Mungu,+ tuendelee kumutangaza mbele ya watu wote.+ 15 Kwa maana hatuna kuhani mukubwa mwenye hawezi kusikilia uzaifu wetu huruma,+ lakini tuko naye mwenye amejaribiwa katika mambo yote kama vile sisi, lakini bila kufanya zambi.+ 16 Basi, tukaribie kiti cha ufalme cha fazili zenye hazistahiliwe tukiwa na uhuru wa kusema,+ kusudi tupokee rehema na tupate fazili zenye hazistahiliwe ili zitusaidie wakati wenye kufaa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine