Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Daudi anakula mikate ya wonyesho kule Nobu (1-9)

      • Daudi anajifanya kuwa mwenda-wazimu kule Gati (10-15)

1 Samweli 21:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 22:9, 19
  • +1 Sa. 18:13

1 Samweli 21:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hawakufanya ngono.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:30; Law. 24:5, 9; Mt 12:3, 4
  • +Kut 19:15; Law. 15:16; 2 Sa. 11:11

1 Samweli 21:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 15:18

1 Samweli 21:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 24:7-9; Mk 2:25, 26; Lu 6:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yesu—Ni Njia, uku. 76

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 30

    1/9/2002, uku. 18

1 Samweli 21:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 22:9; Zab 52:utangulizi
  • +Mwa 36:1

1 Samweli 21:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:51, 54
  • +1 Sa. 17:2, 50
  • +Kut 28:6

1 Samweli 21:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 27:1
  • +Yosh. 11:22; 1 Sa. 5:8; 17:4; 27:2; Zab 56:utangulizi

1 Samweli 21:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:6-8; 29:4, 5

1 Samweli 21:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 56:3, 6

1 Samweli 21:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika mukono wao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:utangulizi

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 24

Maandiko ingine

1 Sam. 21:11 Sa. 22:9, 19
1 Sam. 21:11 Sa. 18:13
1 Sam. 21:4Kut 25:30; Law. 24:5, 9; Mt 12:3, 4
1 Sam. 21:4Kut 19:15; Law. 15:16; 2 Sa. 11:11
1 Sam. 21:5Law. 15:18
1 Sam. 21:6Law. 24:7-9; Mk 2:25, 26; Lu 6:3, 4
1 Sam. 21:71 Sa. 22:9; Zab 52:utangulizi
1 Sam. 21:7Mwa 36:1
1 Sam. 21:91 Sa. 17:51, 54
1 Sam. 21:91 Sa. 17:2, 50
1 Sam. 21:9Kut 28:6
1 Sam. 21:101 Sa. 27:1
1 Sam. 21:10Yosh. 11:22; 1 Sa. 5:8; 17:4; 27:2; Zab 56:utangulizi
1 Sam. 21:111 Sa. 18:6-8; 29:4, 5
1 Sam. 21:12Zab 56:3, 6
1 Sam. 21:13Zab 34:utangulizi
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 21:1-15

Cha Kwanza cha Samweli

21 Kisha wakati fulani Daudi akafika Nobu+ kwa kuhani Ahimeleki. Ahimeleki akaanza kutetemeka wakati alikutana na Daudi, na akamuambia: “Sababu gani uko peke yako na hakuna mutu pamoja na wewe?”+ 2 Daudi akamujibu kuhani Ahimeleki: “Mufalme aliniagiza nifanye jambo fulani, lakini alisema, ‘Usimujulishe mutu yeyote kuhusu kazi yenye ninakutuma ufanye na kuhusu maagizo yenye nimekupatia.’ Nilisikilizana na vijana wangu tukutane mahali fulani. 3 Sasa kama uko na mikate tano (5), unipatie tu mikate hiyo, ao kitu chochote chenye kitapatikana.” 4 Lakini kuhani akamuambia Daudi: “Kwa sasa hakuna mikate ya kawaida, lakini kuko mikate mitakatifu+⁠—ikiwa tu vijana wako wamejiepusha* na wanamuke.”+ 5 Daudi akamujibu kuhani: “Hakika tumejiepusha na wanamuke kama vile tulifanya mbele wakati nilienda katika mapambano ya kijeshi.+ Kama miili ya vijana hawa ni mitakatifu hata wakati kazi yenye walitumwa wafanye ni ya kawaida, je, haiko mitakatifu zaidi leo?” 6 Kwa hiyo kuhani akamupatia mikate mitakatifu,+ kwa sababu hapakukuwa mikate ingine isipokuwa mikate ya wonyesho, yenye ilikuwa imeondolewa mbele ya Yehova ili mikate mipya iwekwe pa nafasi yake siku hiyo yenye iliondolewa.

7 Sasa mumoja wa watumishi wa Sauli alikuwa kule siku hiyo, akiwa amezuiliwa mbele ya Yehova. Jina lake lilikuwa Doegi+ Mwedomu,+ mukubwa wa wachungaji wa Sauli.

8 Basi Daudi akamuambia Ahimeleki: “Je, uko na mukuki ao upanga hapa? Sikubeba upanga wangu wala silaha zangu, kwa sababu kazi yenye mufalme alituma ifanywe ilipaswa kufanywa haraka.” 9 Kwa hiyo kuhani akasema: “Upanga wa Goliati+ ule Mufilisti, mwenye ulipiga na kuua katika Bonde* la Ela,+ uko hapa, umefungwa kwa kitambaa nyuma ya efodi.+ Kama unataka kuukamata kwa ajili yako, uukamate, kwa sababu ndio upanga pekee wenye uko hapa.” Daudi akasema: “Hakuna upanga wenye uko kama huo. Unipatie upanga huo.”

10 Siku hiyo Daudi akaondoka na kuendelea kumukimbia Sauli,+ na mwishowe akafika kwa Mufalme Akishi wa Gati.+ 11 Watumishi wa Akishi wakamuambia Akishi: “Je, huyu haiko Daudi mufalme wa ile inchi? Je, haiko yeye ndiye waliimba kumuhusu wakati walicheza dansi, na kusema,

‘Sauli amepiga na kuua maelfu yake,

Na Daudi makumi yake ya maelfu’?”+

12 Daudi akaweka maneno hayo katika moyo wake, na akamuogopa sana+ Mufalme Akishi wa Gati. 13 Kwa hiyo akajifanya kuwa mwenda-wazimu+ mbele yao na akatenda kama mwenda-wazimu kati yao.* Alikuwa anatia alama kwenye milango ya mulango mukubwa na kuacha mate yake yatiririke kwenye ndevu zake. 14 Mwishowe Akishi akaambia watumishi wake: “Munaona kwamba mutu huyu ni mwenda-wazimu! Sababu gani munamuleta kwangu? 15 Je, nimepungukiwa na wenda-wazimu ili nihitaji kuwa na mutu huyu mwenye kutenda kiwazimu mbele yangu? Je, mutu huyu ataingia katika nyumba yangu?”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine