Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Daudi hatajenga hekalu (1-6)

      • Agano pamoja na Daudi kwa ajili ya ufalme (7-15)

      • Sala ya Daudi ya shukrani (16-27)

1 Mambo ya Nyakati 17:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba yake mwenyewe ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:8; 1Nya 29:29
  • +1Nya 14:1
  • +2 Sa. 7:1-3; 1Nya 15:1; 2Nya 1:4

1 Mambo ya Nyakati 17:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

1 Mambo ya Nyakati 17:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:4-7; 1 Fal. 8:17-19; 1Nya 22:7, 8

1 Mambo ya Nyakati 17:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine inamaanisha “kutoka kambi moja ya mahema mupaka kambi ingine ya mahema na kutoka eneo moja la kuishi mupaka eneo lingine la kuishi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:2; Hes 4:24, 25; 2 Sa. 6:17; Zab 78:60

1 Mambo ya Nyakati 17:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:11, 12; 17:15; 25:30; 2 Sa. 7:8-11; Zab 78:70, 71

1 Mambo ya Nyakati 17:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitakatilia mbali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:14; 2 Sa. 8:6
  • +1 Sa. 25:29; 26:10; Zab 89:20, 22
  • +1 Sa. 18:30

1 Mambo ya Nyakati 17:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hawatawachokesha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 2:23

1 Mambo ya Nyakati 17:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “familia ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:16
  • +Zab 18:40

1 Mambo ya Nyakati 17:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:20; Zab 132:11
  • +2 Sa. 7:12-17; 1 Fal. 9:5; 1Nya 28:5; Yer 23:5

1 Mambo ya Nyakati 17:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:5; 1Nya 22:10
  • +Zab 89:3, 4; Isa 9:7; Da. 2:44

1 Mambo ya Nyakati 17:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:14; Lu 9:35; Ebr 1:5
  • +Isa 55:3
  • +1 Sa. 15:24, 28; 1Nya 10:13, 14

1 Mambo ya Nyakati 17:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 2:44; Yoh 1:49; 2 Pe. 1:11
  • +Zab 89:36; Yer 33:20, 21; Lu 1:32, 33; Ebr 1:8; Ufu 3:21

1 Mambo ya Nyakati 17:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:8, 18-20

1 Mambo ya Nyakati 17:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutu mwenye cheo cha juu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 22:42; Mdo 13:34; Ufu 22:16

1 Mambo ya Nyakati 17:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 139:1

1 Mambo ya Nyakati 17:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kulingana na mapenzi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:21-24

1 Mambo ya Nyakati 17:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:11
  • +Isa 43:10

1 Mambo ya Nyakati 17:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:7; Zab 147:20
  • +Kut 19:5; Zab 77:15
  • +Kum 4:34; Ne 9:10; Isa 63:12; Eze 20:9
  • +Kum 7:1; Yosh. 10:42; 21:44

1 Mambo ya Nyakati 17:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 12:22
  • +Mwa 17:7; Kum 7:6, 9

1 Mambo ya Nyakati 17:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:25-29

1 Mambo ya Nyakati 17:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “likuwe la uaminifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:33; Zab 72:19; Mt 6:9; Yoh 12:28
  • +Zab 89:35, 36

1 Mambo ya Nyakati 17:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “familia ya kifalme.”

  • *

    Ao “eko.”

Maandiko ingine

1 Nya. 17:11 Fal. 1:8; 1Nya 29:29
1 Nya. 17:11Nya 14:1
1 Nya. 17:12 Sa. 7:1-3; 1Nya 15:1; 2Nya 1:4
1 Nya. 17:42 Sa. 7:4-7; 1 Fal. 8:17-19; 1Nya 22:7, 8
1 Nya. 17:5Kut 40:2; Hes 4:24, 25; 2 Sa. 6:17; Zab 78:60
1 Nya. 17:71 Sa. 16:11, 12; 17:15; 25:30; 2 Sa. 7:8-11; Zab 78:70, 71
1 Nya. 17:81 Sa. 18:14; 2 Sa. 8:6
1 Nya. 17:81 Sa. 25:29; 26:10; Zab 89:20, 22
1 Nya. 17:81 Sa. 18:30
1 Nya. 17:9Kut 2:23
1 Nya. 17:10Amu 2:16
1 Nya. 17:10Zab 18:40
1 Nya. 17:111 Fal. 8:20; Zab 132:11
1 Nya. 17:112 Sa. 7:12-17; 1 Fal. 9:5; 1Nya 28:5; Yer 23:5
1 Nya. 17:121 Fal. 5:5; 1Nya 22:10
1 Nya. 17:12Zab 89:3, 4; Isa 9:7; Da. 2:44
1 Nya. 17:132 Sa. 7:14; Lu 9:35; Ebr 1:5
1 Nya. 17:13Isa 55:3
1 Nya. 17:131 Sa. 15:24, 28; 1Nya 10:13, 14
1 Nya. 17:14Da. 2:44; Yoh 1:49; 2 Pe. 1:11
1 Nya. 17:14Zab 89:36; Yer 33:20, 21; Lu 1:32, 33; Ebr 1:8; Ufu 3:21
1 Nya. 17:162 Sa. 7:8, 18-20
1 Nya. 17:17Mt 22:42; Mdo 13:34; Ufu 22:16
1 Nya. 17:18Zab 139:1
1 Nya. 17:192 Sa. 7:21-24
1 Nya. 17:20Kut 15:11
1 Nya. 17:20Isa 43:10
1 Nya. 17:21Kum 4:7; Zab 147:20
1 Nya. 17:21Kut 19:5; Zab 77:15
1 Nya. 17:21Kum 4:34; Ne 9:10; Isa 63:12; Eze 20:9
1 Nya. 17:21Kum 7:1; Yosh. 10:42; 21:44
1 Nya. 17:221 Sa. 12:22
1 Nya. 17:22Mwa 17:7; Kum 7:6, 9
1 Nya. 17:232 Sa. 7:25-29
1 Nya. 17:242Nya 6:33; Zab 72:19; Mt 6:9; Yoh 12:28
1 Nya. 17:24Zab 89:35, 36
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 17:1-27

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

17 Wakati tu Daudi alikuwa anaishi katika nyumba yake mwenyewe,* akamuambia Natani+ nabii: “Angalia, mimi ninaishi katika nyumba ya mierezi+ wakati sanduku la agano la Yehova liko chini ya vitambaa vya mahema.”+ 2 Natani akamujibu Daudi: “Ufanye jambo lolote lenye kuwa katika moyo wako, kwa maana Mungu wa kweli iko* pamoja na wewe.”

3 Usiku uleule, neno la Mungu likakuja kwa Natani, na kusema: 4 “Uende na umuambie mutumishi wangu Daudi, ‘Yehova anasema hivi: “Haiko wewe ndiye utanijengea nyumba yenye nitakaa ndani.+ 5 Kwa maana sijakaa ndani ya nyumba tangu siku nilileta Israeli mupaka leo, lakini niliendelea kuenda kutoka hema moja mupaka hema ingine na kutoka tabenakulo moja mupaka tabenakulo ingine.*+ 6 Wakati wote wenye nilienda pamoja na Israeli wote, je, kuko siku nilimuambia neno lolote muamuzi yeyote wa Israeli mwenye niliweka achunge watu wangu, kwa kusema, ‘Sababu gani haukunijengea nyumba ya mierezi?’”’

7 “Sasa umuambie mutumishi wangu Daudi hivi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutosha katika malisho, ili usiendelee kufuata kundi, ili ukuwe kiongozi juu ya watu wangu Israeli.+ 8 Na nitakuwa pamoja na wewe kila mahali kwenye utaenda,+ na nitaharibu* maadui wako wote kutoka mbele yako;+ na nitakufanyia jina kama jina la watu wakubwa wa dunia.+ 9 Nitachagua mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli na kuwakalisha pale, na wataishi pale na hawatasumbuliwa tena; na watu waovu hawatawakandamiza* tena kama vile walifanya zamani,+ 10 tangu siku yenye niliweka waamuzi juu ya watu wangu Israeli.+ Na nitatiisha maadui wako wote.+ Zaidi ya hayo, ninakuambia, ‘Yehova atakujengea nyumba.’*

11 “‘“Wakati siku zako zitafikia mwisho na uende kuwa pamoja na mababu zako, nitainua uzao wako* kisha wewe, mumoja wa wana wako,+ na nitafanya ufalme wake ukuwe imara kabisa.+ 12 Yeye ndiye atanijengea nyumba,+ na nitafanya imara kabisa kiti chake cha ufalme milele.+ 13 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwana wangu.+ Sitaondoa upendo wangu mushikamanifu kwake+ kama vile niliuondoa kwa ule mwenye alikutangulia.+ 14 Nitamufanya asimame katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele,+ na kiti chake cha ufalme kitadumu milele.”’”+

15 Natani alimuambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.

16 Halafu Mufalme Daudi akaingia na kukaa mbele ya Yehova na kusema: “Mimi ni nani, Ee Yehova Mungu? Na nyumba yangu ni nini hivi kwamba umenileta mupaka hapa?+ 17 Na kama vile jambo hilo halitoshe, Ee Mungu, unasema pia juu ya nyumba ya mutumishi wako mupaka wakati murefu wenye unakuja,+ na umeniangalia kama vile mimi ni mutu mwenye anapaswa kuinuliwa zaidi,* Ee Yehova Mungu. 18 Mutumishi wako Daudi anaweza kukuambia nini tena juu ya heshima yenye nimepewa wakati unajua muzuri sana mutumishi wako?+ 19 Ee Yehova, kwa ajili ya mutumishi wako na kupatana na moyo wako* umefanya mambo haya yote makubwa kwa kufunua ukubwa wako.+ 20 Ee Yehova, hakuna mwenye kuwa kama wewe,+ na hakuna Mungu isipokuwa wewe;+ mambo yote yenye tumesikia kwa masikio yetu yanahakikisha jambo hilo. 21 Na ni taifa gani lingine katika dunia lenye kuwa kama watu wako Israeli?+ Mungu wa kweli alienda na kuwakomboa kama watu wake.+ Umejifanyia mwenyewe jina kupitia matendo yako makubwa na yenye kuogopesha sana,+ ukafukuza mataifa kutoka mbele ya watu wako,+ wenye ulikomboa kutoka Misri. 22 Ulifanya watu wako Israeli kuwa watu wako mwenyewe kwa wakati wote;+ na wewe, Ee Yehova, ukakuwa Mungu wao.+ 23 Sasa, Ee Yehova, ahadi yenye umetoa juu ya mutumishi wako na nyumba yake ikuwe ya uaminifu kwa wakati wote, na ufanye kama vile umeahidi.+ 24 Jina lako lidumu* na litukuzwe+ milele, ili watu waseme, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, ni Mungu kwa Israeli,’ na nyumba ya mutumishi wako Daudi ifanywe kuwa imara kabisa mbele yako.+ 25 Kwa maana wewe, Mungu wangu, umemufunulia mutumishi wako kusudi lako la kumujengea nyumba.* Ndiyo sababu mutumishi wako iko* na uhakika wa kukutolea sala hii. 26 Na sasa, Ee Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli, na umeahidi mambo hayo ya muzuri kuhusu mutumishi wako. 27 Basi ikupendeze kubariki nyumba ya mutumishi wako, na iendelee mbele yako milele, kwa maana wewe, Ee Yehova, umebariki, na imebarikiwa milele.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine