Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Mataifa jirani yanaogopesha Yuda (1-4)

      • Yehoshafati anasali ili apate musaada (5-13)

      • Jibu kutoka kwa Yehova (14-19)

      • Yuda wanaokolewa kwa njia ya muujiza (20-30)

      • Mwisho wa utawala wa Yehoshafati (31-37)

2 Mambo ya Nyakati 20:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Wameuni.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:14; 2 Sa. 8:2; Zab 83:2, 6
  • +Mwa 19:36-38

2 Mambo ya Nyakati 20:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni Bahari ya Chumvi.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:1
  • +Yosh. 15:20, 62

2 Mambo ya Nyakati 20:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akaelekeza uso wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 19:1, 3

2 Mambo ya Nyakati 20:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:29-31

2 Mambo ya Nyakati 20:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:23; Mt 6:9
  • +1Nya 29:11; Da. 4:17
  • +1Nya 29:12; Isa 40:15, 17; Da. 4:35

2 Mambo ya Nyakati 20:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 12:7; Ne 9:7, 8; Isa 41:8; Yak 2:23

2 Mambo ya Nyakati 20:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 2:4

2 Mambo ya Nyakati 20:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:20
  • +1 Fal. 8:33, 34; 2Nya 6:28-30

2 Mambo ya Nyakati 20:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:8
  • +Hes 20:17, 18; Kum 2:5, 9, 19

2 Mambo ya Nyakati 20:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:23, 24; Zab 83:2, 4

2 Mambo ya Nyakati 20:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:27, 28; Zab 7:6
  • +2 Fal. 6:15, 16
  • +2Nya 14:11; Zab 25:15; 62:1

2 Mambo ya Nyakati 20:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

2 Mambo ya Nyakati 20:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:29, 30; Yosh. 11:4, 6; 2Nya 32:7, 8

2 Mambo ya Nyakati 20:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bonde la muto.”

2 Mambo ya Nyakati 20:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muone namna Yehova atawaokoa ninyi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:15
  • +Kut 14:13, 14; 15:2; 1 Sa. 2:1; 1Nya 16:23; Omb 3:26
  • +Kum 31:8; Yosh. 10:25
  • +Hes 14:9; 2Nya 15:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 21

    1/6/2003,

    uku. 21-22

2 Mambo ya Nyakati 20:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:12
  • +1Nya 15:16

2 Mambo ya Nyakati 20:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muweze kuvumilia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:5, 6
  • +Kut 14:31; 19:9

2 Mambo ya Nyakati 20:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:16
  • +Kut 34:6

2 Mambo ya Nyakati 20:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 7:22; 1 Sa. 14:20

2 Mambo ya Nyakati 20:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:5
  • +Kut 14:25; Eze 38:21

2 Mambo ya Nyakati 20:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 20:16
  • +Kut 14:30; Zab 110:5, 6; Isa 37:36

2 Mambo ya Nyakati 20:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:35; 2 Fal. 7:15, 16

2 Mambo ya Nyakati 20:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

  • *

    Tnn., “walibariki.”

  • *

    Maana yake “Baraka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:14, 15; 1 Sa. 7:12

2 Mambo ya Nyakati 20:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:1; Zab 20:5; 30:1

2 Mambo ya Nyakati 20:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:5; 1Nya 16:5
  • +Hes 10:8; 1Nya 13:8; 2Nya 29:26
  • +Zab 116:19

2 Mambo ya Nyakati 20:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:13, 14; Yosh. 9:3, 9; 2Nya 17:10

2 Mambo ya Nyakati 20:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 23:1; 2 Sa. 7:1; 2Nya 15:15

2 Mambo ya Nyakati 20:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:41, 42

2 Mambo ya Nyakati 20:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:11
  • +2Nya 17:3, 4; 19:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 20

2 Mambo ya Nyakati 20:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:14; 22:43; 2Nya 17:1, 6
  • +1 Fal. 18:21

2 Mambo ya Nyakati 20:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:1; 2Nya 19:2
  • +2Nya 16:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 32

2 Mambo ya Nyakati 20:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 1:2, 16

2 Mambo ya Nyakati 20:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:22, 23
  • +Hes 33:1, 35; Kum 2:8; 1 Fal. 9:26

2 Mambo ya Nyakati 20:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 19:2; Zab 127:1
  • +1 Fal. 22:48

Maandiko ingine

2 Nya. 20:1Amu 3:14; 2 Sa. 8:2; Zab 83:2, 6
2 Nya. 20:1Mwa 19:36-38
2 Nya. 20:2Yosh. 15:1
2 Nya. 20:2Yosh. 15:20, 62
2 Nya. 20:32Nya 19:1, 3
2 Nya. 20:4Kum 4:29-31
2 Nya. 20:61 Fal. 8:23; Mt 6:9
2 Nya. 20:61Nya 29:11; Da. 4:17
2 Nya. 20:61Nya 29:12; Isa 40:15, 17; Da. 4:35
2 Nya. 20:7Mwa 12:7; Ne 9:7, 8; Isa 41:8; Yak 2:23
2 Nya. 20:82Nya 2:4
2 Nya. 20:92Nya 6:20
2 Nya. 20:91 Fal. 8:33, 34; 2Nya 6:28-30
2 Nya. 20:10Mwa 36:8
2 Nya. 20:10Hes 20:17, 18; Kum 2:5, 9, 19
2 Nya. 20:11Amu 11:23, 24; Zab 83:2, 4
2 Nya. 20:12Amu 11:27, 28; Zab 7:6
2 Nya. 20:122 Fal. 6:15, 16
2 Nya. 20:122Nya 14:11; Zab 25:15; 62:1
2 Nya. 20:15Kum 1:29, 30; Yosh. 11:4, 6; 2Nya 32:7, 8
2 Nya. 20:17Isa 30:15
2 Nya. 20:17Kut 14:13, 14; 15:2; 1 Sa. 2:1; 1Nya 16:23; Omb 3:26
2 Nya. 20:17Kum 31:8; Yosh. 10:25
2 Nya. 20:17Hes 14:9; 2Nya 15:2
2 Nya. 20:191Nya 23:12
2 Nya. 20:191Nya 15:16
2 Nya. 20:202Nya 11:5, 6
2 Nya. 20:20Kut 14:31; 19:9
2 Nya. 20:211Nya 15:16
2 Nya. 20:21Kut 34:6
2 Nya. 20:22Amu 7:22; 1 Sa. 14:20
2 Nya. 20:23Kum 2:5
2 Nya. 20:23Kut 14:25; Eze 38:21
2 Nya. 20:242Nya 20:16
2 Nya. 20:24Kut 14:30; Zab 110:5, 6; Isa 37:36
2 Nya. 20:25Kut 12:35; 2 Fal. 7:15, 16
2 Nya. 20:26Kut 17:14, 15; 1 Sa. 7:12
2 Nya. 20:271 Sa. 2:1; Zab 20:5; 30:1
2 Nya. 20:282 Sa. 6:5; 1Nya 16:5
2 Nya. 20:28Hes 10:8; 1Nya 13:8; 2Nya 29:26
2 Nya. 20:28Zab 116:19
2 Nya. 20:29Kut 15:13, 14; Yosh. 9:3, 9; 2Nya 17:10
2 Nya. 20:30Yosh. 23:1; 2 Sa. 7:1; 2Nya 15:15
2 Nya. 20:311 Fal. 22:41, 42
2 Nya. 20:321 Fal. 15:11
2 Nya. 20:322Nya 17:3, 4; 19:2, 3
2 Nya. 20:331 Fal. 15:14; 22:43; 2Nya 17:1, 6
2 Nya. 20:331 Fal. 18:21
2 Nya. 20:341 Fal. 16:1; 2Nya 19:2
2 Nya. 20:342Nya 16:7
2 Nya. 20:352 Fal. 1:2, 16
2 Nya. 20:361 Fal. 10:22, 23
2 Nya. 20:36Hes 33:1, 35; Kum 2:8; 1 Fal. 9:26
2 Nya. 20:372Nya 19:2; Zab 127:1
2 Nya. 20:371 Fal. 22:48
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 20:1-37

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

20 Kisha mambo hayo Wamoabu+ na Waamoni,+ pamoja na Waamonimu* fulani, wakakuja ili kupigana vita na Yehoshafati. 2 Basi Yehoshafati akaambiwa: “Watu wengi sana wamekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari,* kutoka Edomu,+ na wako katika Hasason-tamari, ni kusema, En-gedi.”+ 3 Halafu Yehoshafati akaogopa, na akaazimia* kumutafuta Yehova.+ Basi akatangaza kwamba Yuda wote wafunge. 4 Kisha watu wa Yuda wakakusanyika pamoja ili kumuuliza Yehova;+ walikuja kutoka katika miji yote ya Yuda ili kutafuta shauri kwa Yehova.

5 Kisha Yehoshafati akasimama katika kutaniko la Yuda na Yerusalemu ndani ya nyumba ya Yehova mbele ya kile kiwanja kipya, 6 na akasema:

“Ee Yehova Mungu wa mababu zetu, je, wewe hauko Mungu mbinguni;+ je, hauna mamlaka juu ya falme zote za mataifa?+ Katika mukono wako kuko nguvu na uwezo, na hakuna mwenye anaweza kusimama ili kupingana na wewe.+ 7 Ee Mungu wetu, je, haukufukuza wakaaji wa inchi hii kutoka mbele ya watu wako Israeli na kisha ukaitoa kama mali ya kudumu kwa uzao wa* Abrahamu rafiki yako?+ 8 Na wakakaa ndani yake, na pale wakakujengea patakatifu kwa ajili ya jina lako,+ na kusema, 9 ‘Kama musiba unakuja juu yetu, ikuwe kwa upanga, hukumu ya mubaya, ugonjwa wa kuambukiza, ao njaa, acha tusimame mbele ya nyumba hii na mbele yako (kwa maana jina lako liko katika nyumba hii)+ na tukuite ili utusaidie kutoka katika taabu yetu, na usikie na utuokoe.’+ 10 Sasa ndio hawa watu wa Amoni, Moabu, na eneo lenye milima la Seiri,+ wenye haukuruhusu Israeli washambulie wakati walitoka katika inchi ya Misri. Waligeuka na kuenda mbali nao na hawakuwaharibu.+ 11 Sasa wanatulipa kwa kuja kutufukuza kutoka katika mali yako yenye ulitupatia kuwa uriti.+ 12 Ee Mungu wetu, je, hautafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hatuna nguvu mbele ya watu hawa wengi sana wenye wanakuja kutushambulia; na hatujue jambo lenye tunapaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+

13 Wakati huo, watu wote wa Yuda walikuwa wamesimama mbele ya Yehova, pamoja na watoto wao wadogo, bibi zao, na watoto* wao.

14 Kisha katikati ya kutaniko, roho ya Yehova ikakuja juu ya Yahazieli mwana wa Zekaria mwana wa Benaya mwana wa Yeieli mwana wa Matania Mulawi wa wana wa Asafu. 15 Akasema: “Musikilize kwa uangalifu, ninyi Yuda wote na ninyi wakaaji wa Yerusalemu na Mufalme Yehoshafati! Yehova anawaambia ninyi hivi: ‘Musiogope wala kuwa na hofu kwa sababu ya watu hawa wengi sana, kwa maana pigano haliko lenu lakini ni la Mungu.+ 16 Kesho mushuke ili kupigana nao. Watakuwa wakipanda kupitia njia nyembamba ya Sisi, na ninyi mutawakuta kwenye mwisho wa bonde* mbele ya jangwa la Yerueli. 17 Hamutakuwa na lazima ya kupigana pigano hili. Musimame mahali penu, musimame bila kutikisika,+ na muone wokovu wa Yehova kwa ajili yenu.*+ Ee Yuda na Yerusalemu, musiogope wala kuwa na hofu.+ Kesho muende kupigana nao, na Yehova atakuwa pamoja na ninyi.’”+

18 Mara moja Yehoshafati akapiga magoti na kuinama mupaka chini, na Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka chini mbele ya Yehova ili kumuabudu Yehova. 19 Kisha Walawi wenye walikuwa wazao wa Wakohati+ na Wakora wakasimama ili kusifu Yehova Mungu wa Israeli kwa sauti kubwa sana.+

20 Wakaamuka asubui sana siku yenye ilifuata na kuenda kwenye jangwa la Tekoa.+ Wakati walikuwa wanaenda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Munisikilize, Ee Yuda na ninyi wakaaji wa Yerusalemu! Mukuwe na imani katika Yehova Mungu wenu ili muweze kusimama imara.* Mukuwe na imani katika manabii wake,+ na mutakuwa na matokeo ya muzuri.”

21 Kisha kufanya shauri pamoja na watu, akaweka wanaume ili kumuimbia+ Yehova na kutoa sifa wakiwa wamevaa nguo takatifu wakati walikuwa wanaenda mbele ya wanaume wenye silaha, na kusema: “Mumushukuru Yehova, kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.”+

22 Wakati walianza kuimba kwa furaha nyimbo za sifa, Yehova akaweka watu wa kuvizia watu wa Amoni, Moabu, na eneo lenye milima la Seiri wenye walikuwa wanashambulia Yuda, na wakapigana na kuuana wenyewe kwa wenyewe.+ 23 Na Waamoni na Wamoabu wakageuka na kushambulia wakaaji wa eneo lenye milima la Seiri+ ili kuwaangamiza na kuwaharibu; na wakati walimaliza wakaaji wa Seiri, wakasaidia ili kuuana wao kwa wao.+

24 Lakini wakati Yuda walifika kwenye munara wa mulinzi wa jangwa+ na kuangalia kuelekea watu hao wengi, waliona mizoga yao ikiwa imeanguka chini;+ hakuna mwenye aliokoka. 25 Basi Yehoshafati na watu wake wakakuja kukamata kutoka kwao vitu vyenye vilichukuliwa katika vita, na wakapata kati yao vitu vingi, nguo, na vitu vyenye kutamanika, vyenye walivua kwa ajili yao wenyewe mupaka wakati hawakuweza kubeba zaidi.+ Ilichukua siku tatu (3) kubeba vitu hivyo vyenye vilichukuliwa katika vita, kwa maana vilikuwa vingi. 26 Katika siku ya ine (4) walikusanyika pamoja kwenye Bonde* la Beraka, kwa maana walimusifu* Yehova pale. Ndiyo sababu waliita mahali pale Bonde la Beraka*+⁠—​mupaka leo.

27 Kisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu, wakiongozwa na Yehoshafati, wakarudia Yerusalemu kwa furaha, kwa maana Yehova alikuwa amewafanya wafurahi juu ya maadui wao.+ 28 Basi wakaingia Yerusalemu wakiwa na vyombo vya kamba, vinubi,+ na tarumbeta+ na wakaenda kwenye nyumba ya Yehova.+ 29 Na woga wa Mungu ukakuja juu ya falme zote za inchi mbalimbali wakati walisikia kwamba Yehova alikuwa amepigana na maadui wa Israeli.+ 30 Basi ufalme wa Yehoshafati haukukuwa na usumbufu wowote, na Mungu wake akaendelea kumupatia pumuziko pande zote.+

31 Na Yehoshafati akaendelea kutawala Yuda. Alikuwa na miaka makumi tatu na tano (35) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi mbili na tano (25) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Azuba binti ya Shilhi.+ 32 Aliendelea kutembea katika njia ya Asa baba yake.+ Hakugeuka kutoka katika njia hiyo, na alifanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova.+ 33 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa,+ na bado watu hawakukuwa wametayarisha moyo wao kwa ajili ya Mungu wa mababu zao.+

34 Na mambo mengine ya historia ya Yehoshafati, kuanzia mwanzo mupaka mwisho, yameandikwa katika maneno ya Yehu+ mwana wa Hanani,+ yenye yalitiwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli. 35 Kisha mambo hayo Mufalme Yehoshafati wa Yuda akafanya mapatano pamoja na Mufalme Ahazia wa Israeli, mwenye alitenda kwa uovu.+ 36 Kwa hiyo akamufanya kuwa mushirika wake katika kutengeneza mashua* za kuenda Tarshishi,+ na walijenga mashua hizo kule Esion-geberi.+ 37 Hata hivyo, Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii juu ya Yehoshafati, kwa kusema: “Kwa sababu umefanya mapatano pamoja na Ahazia, Yehova ataharibu kazi zako.”+ Basi mashua* hizo zikavunjika,+ na hazikuweza kuenda Tarshishi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine