Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (1-8)

      • Senakeribu anamupinga Yehova (9-19)

      • Malaika anaua jeshi la Ashuru (20-23)

      • Ugonjwa wa Hezekia na majivuno yake (24-26)

      • Mambo yenye Hezekia alitimiza na kifo chake (27-33)

2 Mambo ya Nyakati 32:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 31:20
  • +2 Fal. 18:7, 13; Isa 36:1

2 Mambo ya Nyakati 32:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 20:20

2 Mambo ya Nyakati 32:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Milo.” Neno la Kiebrania lenye kumaanisha “jaza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:9; 1 Fal. 9:24; 11:27; 2 Fal. 12:20

2 Mambo ya Nyakati 32:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akasema na moyo wao.”

2 Mambo ya Nyakati 32:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 19:6
  • +Kum 31:6, 8; Yosh. 1:6, 9; 2 Fal. 6:16, 17; 2Nya 20:15

2 Mambo ya Nyakati 32:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuko nguvu ya mwanadamu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:9; Kum 20:1, 4; Yosh. 10:42; Yer 17:5
  • +2Nya 20:20

2 Mambo ya Nyakati 32:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uwezo wake wote wa kijeshi na utukufu wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 37:8
  • +2 Fal. 18:17; Isa 36:2

2 Mambo ya Nyakati 32:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:19; Isa 36:4

2 Mambo ya Nyakati 32:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:29, 30; 19:10

2 Mambo ya Nyakati 32:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pake yeye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:1, 4
  • +2Nya 31:1
  • +2 Fal. 18:22; Isa 36:7

2 Mambo ya Nyakati 32:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:29; 17:5; Isa 37:12
  • +2 Fal. 18:33, 34; 19:17, 18

2 Mambo ya Nyakati 32:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:3; 15:9

2 Mambo ya Nyakati 32:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:29
  • +Kut 5:2; Kum 32:27; Da. 3:14, 15

2 Mambo ya Nyakati 32:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 19:14
  • +Isa 37:29
  • +2 Fal. 17:6; 19:12

2 Mambo ya Nyakati 32:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:26, 28; Isa 36:11, 13

2 Mambo ya Nyakati 32:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 19:2, 20; Isa 37:2
  • +2 Fal. 19:14, 15; 2Nya 14:11

2 Mambo ya Nyakati 32:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hekalu la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 76:5
  • +2 Fal. 19:35-37; Isa 37:37, 38

2 Mambo ya Nyakati 32:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:21; 2Nya 17:1, 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Unabii wa Isaya 1, uku. 396

2 Mambo ya Nyakati 32:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “maajabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 20:1, 2; Isa 38:1, 2
  • +2 Fal. 20:5, 9; 2Nya 32:31; Isa 38:8

2 Mambo ya Nyakati 32:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 26

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2005, uku. 25

2 Mambo ya Nyakati 32:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 26:18, 19
  • +2 Fal. 20:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Unabii wa Isaya 1, uku. 397

2 Mambo ya Nyakati 32:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 1:11, 12; 17:1, 5
  • +1 Fal. 9:17-19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Unabii wa Isaya 1, uku. 396

2 Mambo ya Nyakati 32:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:4
  • +1 Fal. 1:33, 45
  • +2 Sa. 5:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Nchi Nzuri’, uku. 20-21

2 Mambo ya Nyakati 32:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “maajabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 20:8-11; Isa 38:8
  • +2 Fal. 20:12; Isa 39:1
  • +Mwa 22:1
  • +Kum 8:2; Zab 7:9; 139:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 26

2 Mambo ya Nyakati 32:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 31:20, 21
  • +Isa 1:1
  • +2 Fal. 20:20

2 Mambo ya Nyakati 32:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:43

Maandiko ingine

2 Nya. 32:12Nya 31:20
2 Nya. 32:12 Fal. 18:7, 13; Isa 36:1
2 Nya. 32:32 Fal. 20:20
2 Nya. 32:52 Sa. 5:9; 1 Fal. 9:24; 11:27; 2 Fal. 12:20
2 Nya. 32:72 Fal. 19:6
2 Nya. 32:7Kum 31:6, 8; Yosh. 1:6, 9; 2 Fal. 6:16, 17; 2Nya 20:15
2 Nya. 32:8Hes 14:9; Kum 20:1, 4; Yosh. 10:42; Yer 17:5
2 Nya. 32:82Nya 20:20
2 Nya. 32:9Isa 37:8
2 Nya. 32:92 Fal. 18:17; Isa 36:2
2 Nya. 32:102 Fal. 18:19; Isa 36:4
2 Nya. 32:112 Fal. 18:29, 30; 19:10
2 Nya. 32:122 Fal. 18:1, 4
2 Nya. 32:122Nya 31:1
2 Nya. 32:122 Fal. 18:22; Isa 36:7
2 Nya. 32:132 Fal. 15:29; 17:5; Isa 37:12
2 Nya. 32:132 Fal. 18:33, 34; 19:17, 18
2 Nya. 32:14Kut 14:3; 15:9
2 Nya. 32:152 Fal. 18:29
2 Nya. 32:15Kut 5:2; Kum 32:27; Da. 3:14, 15
2 Nya. 32:172 Fal. 19:14
2 Nya. 32:17Isa 37:29
2 Nya. 32:172 Fal. 17:6; 19:12
2 Nya. 32:182 Fal. 18:26, 28; Isa 36:11, 13
2 Nya. 32:202 Fal. 19:2, 20; Isa 37:2
2 Nya. 32:202 Fal. 19:14, 15; 2Nya 14:11
2 Nya. 32:212 Fal. 19:35-37; Isa 37:37, 38
2 Nya. 32:21Zab 76:5
2 Nya. 32:231 Fal. 4:21; 2Nya 17:1, 5
2 Nya. 32:242 Fal. 20:1, 2; Isa 38:1, 2
2 Nya. 32:242 Fal. 20:5, 9; 2Nya 32:31; Isa 38:8
2 Nya. 32:26Yer 26:18, 19
2 Nya. 32:262 Fal. 20:19
2 Nya. 32:272Nya 1:11, 12; 17:1, 5
2 Nya. 32:271 Fal. 9:17-19
2 Nya. 32:302Nya 32:4
2 Nya. 32:301 Fal. 1:33, 45
2 Nya. 32:302 Sa. 5:9
2 Nya. 32:312 Fal. 20:8-11; Isa 38:8
2 Nya. 32:312 Fal. 20:12; Isa 39:1
2 Nya. 32:31Mwa 22:1
2 Nya. 32:31Kum 8:2; Zab 7:9; 139:23
2 Nya. 32:322Nya 31:20, 21
2 Nya. 32:32Isa 1:1
2 Nya. 32:322 Fal. 20:20
2 Nya. 32:331 Fal. 11:43
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 32:1-33

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

32 Kisha mambo hayo na matendo hayo ya uaminifu,+ Mufalme Senakeribu wa Ashuru akakuja na kushambulia Yuda. Akazunguka miji yenye ngome kwa ajili ya vita, akikusudia kuvunja na kuingia ndani na kuikamata.+

2 Wakati Hezekia aliona kwamba Senakeribu alikuwa amekuja na alikusudia kupigana vita na Yerusalemu, 3 aliamua, kisha kufanya shauri pamoja na wakubwa wake na wapiganaji-vita wake, kuzuia maji ya chemchemi za maji zenye kuwa inje ya muji,+ na wakamusaidia. 4 Watu wengi wakakusanywa pamoja, na wakazuia chemchemi zote na muto mudogo wenye kupita katika inchi, wakisema: “Sababu gani wafalme wa Ashuru wakuje na kupata maji mengi?”

5 Zaidi ya hayo, akiwa ameazimia, akajenga upya ukuta wote wenye ulibomolewa na akasimamisha minara juu yake, na inje akajenga ukuta mwingine. Alitengeneza pia Kilima*+ cha Muji wa Daudi, na kutengeneza silaha nyingi na ngao. 6 Kisha akaweka wakubwa wa majeshi juu ya watu na akawakusanya kwenye kiwanja cha mulango mukubwa wa muji na akawatia moyo,* kwa kusema: 7 “Mukuwe hodari na wenye nguvu. Musiogope wala kuwa na hofu kwa sababu ya mufalme wa Ashuru+ na watu wengi wote wenye kuwa pamoja naye, kwa maana wenye kuwa pamoja na sisi ni wengi kuliko wale wenye kuwa pamoja naye.+ 8 Pamoja naye kuko mukono wa nyama,* lakini pamoja na sisi kuko Yehova Mungu wetu ili kutusaidia na kupigana mapigano yetu.”+ Na watu wakatiwa nguvu na maneno ya Mufalme Hezekia wa Yuda.+

9 Kisha, wakati Mufalme Senakeribu wa Ashuru alikuwa Lakishi+ pamoja na uwezo wake wote wa kifalme,* akatuma watumishi wake Yerusalemu, kwa Mufalme Hezekia wa Yuda na kwa Wayudea wote katika Yerusalemu,+ na kusema:

10 “Mufalme Senakeribu wa Ashuru anasema, ‘Ni nini chenye munategemea na hivyo munabakia katika Yerusalemu wakati imezungukwa kwa ajili ya vita?+ 11 Je, Hezekia hawapotoshe na kuwatoa ninyi ili mukufe kwa njaa na kiu, kwa kusema: “Yehova Mungu wetu atatuokoa kutoka katika mukono wa mufalme wa Ashuru”?+ 12 Je, haiko Hezekia huyuhuyu ndiye aliondoa mahali pa juu pa Mungu wenu*+ na mazabahu Zake+ na kisha akaambia Yuda na Yerusalemu: “Munapaswa kuinama mbele ya mazabahu moja na juu yake munapaswa kuchoma zabihu zenu ili zitoe moshi”?+ 13 Je, hamujue mambo yenye mimi na mababu zangu tulitendea watu wote wa inchi mbalimbali?+ Je, miungu ya mataifa ya inchi hizo iliweza kuokoa inchi yao kutoka katika mukono wangu?+ 14 Ni nani kati ya miungu yote ya mataifa haya yenye mababu zangu waliharibu mwenye aliweza kuokoa watu wake kutoka katika mukono wangu, ili Mungu wenu aweze kuwaokoa ninyi kutoka katika mukono wangu?+ 15 Sasa musiache Hezekia awadanganye ninyi ao kuwapotosha vile!+ Musimuamini, kwa maana hakuna mungu yeyote wa taifa lolote ao ufalme mwenye aliweza kuokoa watu wake kutoka katika mukono wangu na kutoka katika mukono wa mababu zangu. Basi, Mungu wenu ataweza namna gani kuwaokoa ninyi kutoka katika mukono wangu!’”+

16 Watumishi wake wakasema mambo mengi zaidi ya mubaya juu ya Yehova Mungu wa kweli na juu ya Hezekia mutumishi wake. 17 Aliandika pia barua+ za kutukana Yehova Mungu wa Israeli+ na kusema mambo ya mubaya juu yake, kwa kusema: “Kama vile miungu ya mataifa ya inchi mbalimbali yenye haikuweza kuokoa watu wake kutoka katika mukono wangu,+ ni vile Mungu wa Hezekia hataokoa watu wake kutoka katika mukono wangu.” 18 Wakaendelea kuita watu wa Yerusalemu wenye walikuwa kwenye ukuta kwa sauti kubwa katika luga ya Wayahudi, ili kuwaogopesha na kuwatia hofu, na hivyo wakamate muji.+ 19 Walisema mambo ya mubaya juu ya Mungu wa Yerusalemu kwa njia ileile kama vile juu ya miungu ya vikundi vya watu wa dunia, yenye ni kazi ya mikono ya mwanadamu. 20 Lakini Mufalme Hezekia na nabii Isaya+ mwana wa Amozi waliendelea kusali juu ya jambo hilo na kulilia mbingu ili kupata musaada.+

21 Kisha Yehova akamutuma malaika na akafuta kila mupiganaji-vita mwenye nguvu,+ kiongozi, na mukubwa katika kambi ya mufalme wa Ashuru, na hivyo akarudia kwenye inchi yake mwenyewe katika haya. Kisha wakati fulani akaingia katika nyumba ya* mungu wake, na pale wamoja kati ya wana wake mwenyewe wakamupiga na kumuua kwa upanga.+ 22 Basi Yehova akamuokoa Hezekia na wakaaji wa Yerusalemu kutoka katika mukono wa Mufalme Senakeribu wa Ashuru na kutoka katika mukono wa wengine wote na kuwapatia pumuziko pande zote. 23 Na watu wengi wakamuletea Yehova zawadi kule Yerusalemu na wakamuleta Mufalme Hezekia wa Yuda vitu vya muzuri,+ na akaheshimiwa sana na mataifa yote kisha mambo hayo.

24 Katika siku hizo Hezekia akakuwa mugonjwa na alikuwa karibu kufa, na akasali kwa Yehova,+ naye akamujibu na kumupatia alama.*+ 25 Lakini Hezekia hakuonyesha kuwa anasamini wema wote wenye alitendewa, kwa maana moyo wake ulikuwa na majivuno, na hilo likaleta kasirani juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu. 26 Hata hivyo, Hezekia akajinyenyekeza na kuacha majivuno ya moyo wake,+ yeye pamoja na wakaaji wa Yerusalemu, na kasirani ya Yehova haikukuja juu yao katika siku za Hezekia.+

27 Na Hezekia akapata utajiri mwingi sana na utukufu;+ na akajifanyia madepo+ kwa ajili ya feza, zahabu, majiwe yenye samani, mafuta ya zeri, ngao, na kwa ajili ya vyombo vyote vyenye kutamanika. 28 Alifanya pia madepo kwa ajili ya mazao ya nafaka na divai mupya na mafuta, na pia vibanda kwa ajili ya mifugo ya kila aina na vibanda kwa ajili ya makundi. 29 Pia akajipatia miji, na wanyama wengi wa kufugwa, makundi, na mifugo, kwa maana Mungu alimupatia mali nyingi sana. 30 Hezekia ndiye alizuia chemchemi ya juu ya maji+ ya Gihoni+ na kuyaelekeza moja kwa moja chini upande wa mangaribi mupaka Muji wa Daudi,+ na Hezekia alipata matokeo ya muzuri katika kila moja ya kazi zake. 31 Hata hivyo, wakati wasemaji wa wakubwa wa Babiloni walitumwa ili wamuulize juu ya alama*+ yenye ilikuwa imetokea katika inchi,+ Mungu wa kweli alimuacha peke yake ili kumujaribu,+ ili ajue mambo yote yenye yalikuwa katika moyo wake.+

32 Na mambo mengine ya historia ya Hezekia na matendo yake ya upendo mushikamanifu,+ yameandikwa katika maono ya Isaya+ nabii, mwana wa Amozi, katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na wa Israeli.+ 33 Kisha Hezekia akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake, na wakamuzika kwenye njia yenye inapanda kuelekea kwenye makaburi ya wana wa Daudi;+ na Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamupatia heshima wakati wa kifo chake. Na Manase mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine