Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wagalatia

      • Hatuko watumwa tena, lakini tuko wana (1-7)

      • Hangaiko la Paulo juu ya Wagalatia (8-20)

      • Hagari na Sara: maagano mbili (21-31)

        • Yerusalemu la juu, mama yetu, liko huru (26)

Wagalatia 4:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2008, uku. 21

Wagalatia 4:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2008, uku. 21

Wagalatia 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 2:8, 20-22

Wagalatia 4:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14; Ebr 2:14
  • +Mt 5:17

Wagalatia 4:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 7:23; Gal 3:13
  • +Yoh 1:12; Rom. 8:23

Wagalatia 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kiaramu lenye linamaanisha “Ee Baba!”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:26
  • +Rom. 5:5
  • +Rom. 8:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2009, uku. 13

Wagalatia 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:17; Gal 3:29; Efe 1:13, 14

Wagalatia 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:3; Ebr 7:18, 19
  • +Kol 2:20-22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2013,

    uku. 13-14

Wagalatia 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 2:16

Wagalatia 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 1:14

Wagalatia 4:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 89

Wagalatia 4:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kunitemea mate.”

Wagalatia 4:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:5; Gal 6:11

Wagalatia 4:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/6/2001, uku. 32

Wagalatia 4:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “atachukua umbo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 4:15; 1 Tes. 2:11; Flm 10

Wagalatia 4:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 16:15
  • +Mwa 21:2, 3

Wagalatia 4:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kulingana na mwili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 16:1, 2
  • +Mwa 17:15, 16

Wagalatia 4:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:20; 24:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2006,

    uku. 10-12

    “Kila Andiko,” uku. 18

Wagalatia 4:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2006, uku. 11

    “Kila Andiko,”

    uku. 18, 220

Wagalatia 4:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2006, uku. 11

    Unabii wa Isaya 2, uku. 216

    “Kila Andiko,”

    uku. 18, 220

Wagalatia 4:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 54:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2006, uku. 11

Wagalatia 4:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 9:8; Gal 3:29

Wagalatia 4:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kulingana na mwili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 21:9
  • +Gal 5:11; 2 Tim. 3:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2006, uku. 11-12

    15/8/2001, uku. 26

    “Kila Andiko,” uku. 18

Wagalatia 4:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 21:10

Maandiko ingine

Gal. 4:3Kol 2:8, 20-22
Gal. 4:4Yoh 1:14; Ebr 2:14
Gal. 4:4Mt 5:17
Gal. 4:51 Kor. 7:23; Gal 3:13
Gal. 4:5Yoh 1:12; Rom. 8:23
Gal. 4:6Rom. 8:15
Gal. 4:6Yoh 14:26
Gal. 4:6Rom. 5:5
Gal. 4:7Rom. 8:17; Gal 3:29; Efe 1:13, 14
Gal. 4:9Rom. 8:3; Ebr 7:18, 19
Gal. 4:9Kol 2:20-22
Gal. 4:10Kol 2:16
Gal. 4:12Gal 1:14
Gal. 4:15Mdo 23:5; Gal 6:11
Gal. 4:191 Kor. 4:15; 1 Tes. 2:11; Flm 10
Gal. 4:22Mwa 16:15
Gal. 4:22Mwa 21:2, 3
Gal. 4:23Mwa 16:1, 2
Gal. 4:23Mwa 17:15, 16
Gal. 4:24Kut 19:20; 24:12
Gal. 4:25Kut 19:18
Gal. 4:27Isa 54:1
Gal. 4:28Rom. 9:8; Gal 3:29
Gal. 4:29Mwa 21:9
Gal. 4:29Gal 5:11; 2 Tim. 3:12
Gal. 4:30Mwa 21:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wagalatia 4:1-31

Kwa Wagalatia

4 Sasa ninasema kwamba wakati muriti angali mutoto mudogo, haiko tofauti na mutumwa, hata kama yeye ni bwana wa vitu vyote, 2 lakini iko* chini ya wasimamizi na wasimamizi-nyumba mupaka siku yenye baba yake aliweka mbele ya wakati. 3 Vilevile, sisi pia wakati tulikuwa watoto, tulikuwa watumwa wa mambo ya musingi ya ulimwengu.+ 4 Lakini wakati kipindi kamili kilifika, Mungu alimutuma Mwana wake, mwenye alizaliwa na mwanamuke+ na mwenye alikuwa chini ya sheria,+ 5 ili aachilie huru wale wenye kuwa chini ya sheria+ kwa kuwanunua, ili sisi tufanywe kuwa wana.+

6 Sasa kwa sababu ninyi ni wana, Mungu ametuma roho+ ya Mwana wake ndani ya mioyo yetu,+ na inasema kwa sauti kubwa: “Abba,* Baba!”+ 7 Kwa hiyo, wewe hauko mutumwa tena lakini wewe uko mwana; na kama wewe uko mwana, basi wewe uko pia muriti kupitia Mungu.+

8 Hata hivyo, wakati hamukumujua Mungu, mulikuwa watumwa wa ile yenye kwa kweli haiko miungu. 9 Lakini sasa kwa kuwa mumemujua Mungu ao, tofauti na hilo, kwa kuwa Mungu amewajua ninyi, sababu gani munarudilia tena mambo ya musingi yenye kuwa zaifu+ na yenye hayana maana na munataka kuyatumikia tena?+ 10 Munashika kwa uangalifu siku na miezi+ na vipindi na miaka. 11 Ninaogopa kwa ajili yenu, kwamba kwa njia fulani nimepoteza nguvu yangu kwenu.

12 Ndugu, ninawaomba ninyi, mukuwe vile niko, kwa sababu mimi pia nilikuwa vile muko.+ Hamukunitendea kosa lolote. 13 Lakini munajua kwamba ni kwa sababu ya ugonjwa wa kimwili ndiyo nilipata nafasi yangu ya kwanza ya kuwatangazia ninyi habari njema. 14 Na hata kama hali yangu ya kimwili ilikuwa jaribu kwenu, hamukunitendea kwa zarau ao kunichukia;* lakini mulinipokea kama malaika wa Mungu, kama Kristo Yesu. 15 Ile furaha yenye mulikuwa nayo iko wapi? Kwa maana ninawatolea ushahidi kwamba, kama ingewezekana, mungengoa macho yenu na kunipatia.+ 16 Kwa hiyo basi, je, nimekuwa adui yenu kwa sababu ninawaambia ninyi kweli? 17 Wako na bidii ili kuwashawishi ninyi, lakini haiko kwa kusudi la muzuri; wanataka kuwatenganisha na mimi, ili mukuwe tayari kuwafuata wao. 18 Hata hivyo, ni muzuri sikuzote mutu awatafute ninyi kwa bidii kwa kusudi la muzuri na haiko tu wakati niko pamoja na ninyi, 19 watoto wangu wadogo,+ wenye tena ninasikia maumivu ya kuwazaa mupaka wakati Kristo atafanyizwa* ndani yenu. 20 Ningependa kuwa pamoja na ninyi sasa hivi na kusema kwa njia tofauti, kwa sababu nimevurugika juu yenu.

21 Muniambie, ninyi wenye munataka kuwa chini ya sheria, Je, hamusikie Sheria? 22 Kwa mufano, imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mumoja kupitia mutumishi mwanamuke+ na mwingine kupitia mwanamuke mwenye kuwa huru;+ 23 lakini ule wa mutumishi mwanamuke kwa kweli alizaliwa kwa njia ya kawaida*+ na ule mwingine wa mwanamuke mwenye kuwa huru alizaliwa kupitia ahadi.+ 24 Mambo haya yanaweza kuchukuliwa kama tukio la mufano; kwa maana wanamuke hawa wanamaanisha maagano mbili, moja la Mulima Sinai,+ lenye linazaa watoto kwa ajili ya utumwa na ambalo ni Hagari. 25 Basi Hagari anamaanisha Sinai,+ mulima wenye kuwa katika Arabia, na analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa pamoja na watoto wake. 26 Lakini Yerusalemu la juu liko huru, na hilo ni mama yetu.

27 Kwa maana imeandikwa: “Furahi, wewe mwanamuke tasa mwenye hauzae; piga vigelegele vya shangwe, wewe mwanamuke mwenye hauna maumivu ya kuzaa; kwa maana watoto wa mwanamuke mwenye ameachwa peke yake ni wengi kuliko wa ule mwenye kuwa na bwana.”+ 28 Sasa ndugu, ninyi ni watoto wa ahadi kama vile Isaka alikuwa.+ 29 Lakini kama vile ilikuwa wakati huo, ule mwenye alizaliwa kwa njia ya kawaida* alianza kutesa ule mwenye alizaliwa kupitia roho,+ ni vile pia sasa.+ 30 Hata hivyo, andiko linasema nini? “Fukuza mutumishi mwanamuke pamoja na mwana wake, kwa maana mwana wa mutumishi mwanamuke hatakuwa muriti hata kidogo pamoja na mwana wa mwanamuke mwenye kuwa huru.”+ 31 Basi ndugu, sisi hatuko watoto wa mutumishi mwanamuke, lakini wa ule mwanamuke mwenye kuwa huru.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine