Zaburi
Wimbo. Muziki wa Asafu.+
3 Kwa udanganyifu wanafanya mupango kwa uficho ili kushambulia watu wako;
Wanafanya mupango ili kushambulia watu wako wenye unapenda sana.*
5 Wanafanya mupango mubaya kwa umoja;*
Wamefanya mapatano* ili kukushambulia+—
6 Mahema ya Edomu na Waishmaeli, Moabu+ na Wahagri,+
9 Uwatendee kama vile ulitendea Midiani,+
Kama vile ulitendea Sisera na Yabini kwenye muto mudogo wa* Kishoni.+
10 Waliharibiwa kule En-dori;+
Wakakuwa mbolea juu ya udongo.
11 Fanya watu wao wenye vyeo wakuwe kama Orebu na Zeebu+
Na wakubwa* wao kama Zeba na Zalmuna,+
12 Kwa maana walisema: “Turiti inchi kwenye Mungu anakaa.”
13 Ee Mungu wangu, uwafanye wakuwe kama muchongoma wenye kupeperushwa,*+
Kama majani yenye kukauka yenye yanapeperushwa huku na huku na upepo.