Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Daudi anafanya matayarisho kwa ajili ya hekalu (1-5)

      • Daudi anamupatia Sulemani maagizo (6-16)

      • Wakubwa wanapewa amri wamusaidie Sulemani (17-19)

1 Mambo ya Nyakati 22:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5, 6; 2 Sa. 24:18; 2Nya 3:1

1 Mambo ya Nyakati 22:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:20, 21; 2Nya 2:17, 18
  • +1 Fal. 5:15, 17; 6:7; 7:9

1 Mambo ya Nyakati 22:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:47

1 Mambo ya Nyakati 22:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:11
  • +1 Fal. 5:6, 8
  • +2Nya 2:3

1 Mambo ya Nyakati 22:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hana uwezo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:7
  • +2Nya 2:5
  • +Hag 2:3
  • +Zab 68:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2017, uku. 29

1 Mambo ya Nyakati 22:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5, 6; 2 Sa. 7:2; Zab 132:3-5

1 Mambo ya Nyakati 22:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:4

1 Mambo ya Nyakati 22:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pumuziko.”

  • *

    Jina lenye kutokana na neno la Kiebrania lenye linamaanisha “Amani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:5
  • +2 Sa. 7:12, 13; 1 Fal. 4:25; 5:4
  • +2 Sa. 12:24
  • +Zab 72:7

1 Mambo ya Nyakati 22:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:5
  • +2 Sa. 7:14; Ebr 1:5
  • +1Nya 17:12-14; Zab 89:35, 36

1 Mambo ya Nyakati 22:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:20

1 Mambo ya Nyakati 22:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 1:10; Zab 72:1
  • +Kum 4:6

1 Mambo ya Nyakati 22:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:37; 1Nya 28:7
  • +Kum 12:1; 17:18, 19; Yosh. 1:8; 1 Fal. 2:3; 1Nya 28:7; Zab 19:8, 11
  • +Yosh. 1:6, 9; 1Nya 28:20

1 Mambo ya Nyakati 22:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa sawa na kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:6, 7
  • +1Nya 29:2-4

1 Mambo ya Nyakati 22:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:17; 6:7; 7:9
  • +1 Fal. 7:13, 14

1 Mambo ya Nyakati 22:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 22:3
  • +2Nya 1:1

1 Mambo ya Nyakati 22:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:29; 2Nya 20:3; Da. 9:3
  • +1 Fal. 6:1
  • +1 Fal. 8:6, 21
  • +Kum 12:21; 1 Fal. 8:29; 9:3

Maandiko ingine

1 Nya. 22:1Kum 12:5, 6; 2 Sa. 24:18; 2Nya 3:1
1 Nya. 22:21 Fal. 9:20, 21; 2Nya 2:17, 18
1 Nya. 22:21 Fal. 5:15, 17; 6:7; 7:9
1 Nya. 22:31 Fal. 7:47
1 Nya. 22:42 Sa. 5:11
1 Nya. 22:41 Fal. 5:6, 8
1 Nya. 22:42Nya 2:3
1 Nya. 22:51 Fal. 3:7
1 Nya. 22:52Nya 2:5
1 Nya. 22:5Hag 2:3
1 Nya. 22:5Zab 68:29
1 Nya. 22:7Kum 12:5, 6; 2 Sa. 7:2; Zab 132:3-5
1 Nya. 22:81Nya 17:4
1 Nya. 22:91Nya 28:5
1 Nya. 22:92 Sa. 7:12, 13; 1 Fal. 4:25; 5:4
1 Nya. 22:92 Sa. 12:24
1 Nya. 22:9Zab 72:7
1 Nya. 22:101 Fal. 5:5
1 Nya. 22:102 Sa. 7:14; Ebr 1:5
1 Nya. 22:101Nya 17:12-14; Zab 89:35, 36
1 Nya. 22:111Nya 28:20
1 Nya. 22:122Nya 1:10; Zab 72:1
1 Nya. 22:12Kum 4:6
1 Nya. 22:13Law. 19:37; 1Nya 28:7
1 Nya. 22:13Kum 12:1; 17:18, 19; Yosh. 1:8; 1 Fal. 2:3; 1Nya 28:7; Zab 19:8, 11
1 Nya. 22:13Yosh. 1:6, 9; 1Nya 28:20
1 Nya. 22:141Nya 29:6, 7
1 Nya. 22:141Nya 29:2-4
1 Nya. 22:151 Fal. 5:17; 6:7; 7:9
1 Nya. 22:151 Fal. 7:13, 14
1 Nya. 22:161Nya 22:3
1 Nya. 22:162Nya 1:1
1 Nya. 22:19Kum 4:29; 2Nya 20:3; Da. 9:3
1 Nya. 22:191 Fal. 6:1
1 Nya. 22:191 Fal. 8:6, 21
1 Nya. 22:19Kum 12:21; 1 Fal. 8:29; 9:3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 22:1-19

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

22 Kisha Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba ya Yehova Mungu wa kweli, na hii ndiyo mazabahu ya toleo la kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”+

2 Kisha Daudi akaagiza kwamba wakaaji wageni+ wenye walikuwa katika inchi ya Israeli wakusanywe, na akawaweka kuwa wachongaji wa majiwe ili wakate na kuchonga majiwe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu wa kweli.+ 3 Daudi alitayarisha pia kiasi kikubwa sana cha chuma kwa ajili ya misumari ya milango ya milango mikubwa na kwa ajili ya vibanio, na shaba nyingi sana hivi kwamba haingeweza kupimwa,+ 4 na pia mbao za mierezi+ zenye hazina hesabu, kwa maana Wasidoni+ na Watiro+ walimuletea Daudi mbao nyingi sana za mierezi. 5 Na Daudi akasema: “Mwana wangu Sulemani ni mudogo na hana uzoefu,*+ na nyumba yenye itajengwa kwa ajili ya Yehova inapaswa kuwa na utukufu wa juu sana,+ na hivyo sifa na uzuri wake+ vitajulikana katika inchi zote.+ Kwa hiyo, nitafanya matayarisho kwa ajili yake.” Basi Daudi akatayarisha vifaa vingi sana mbele ya kifo chake.

6 Zaidi ya hayo, akamuita Sulemani mwana wake na akamuagiza ajenge nyumba kwa ajili ya Yehova Mungu wa Israeli. 7 Daudi akamuambia Sulemani mwana wake: “Mimi, ilikuwa tamaa ya moyo wangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu.+ 8 Lakini neno la Yehova lilikuja kwangu, na kusema, ‘Umemwanga damu nyingi sana, na umepigana vita kubwa. Hautajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ kwa maana umemwanga damu nyingi sana katika dunia mbele yangu. 9 Angalia! Utazaa mwana+ mwenye atakuwa mutu wa amani,* na nitamupatia pumuziko kutokana na maadui wake wote wenye kumuzunguka,+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani*+ na nitapatia Israeli amani na utulivu katika siku zake.+ 10 Yeye ndiye atajenga nyumba kwa ajili ya jina langu.+ Atakuwa mwana wangu, na mimi nitakuwa baba yake.+ Nitafanya imara kabisa kiti cha ufalme wake juu ya Israeli milele.’+

11 “Sasa, mwana wangu, Yehova akuwe pamoja na wewe, na upate matokeo ya muzuri na ujenge nyumba ya Yehova Mungu wako, kama vile alisema juu yako.+ 12 Lakini tu, Yehova akupatie busara na uelewaji+ wakati atakupatia mamlaka juu ya Israeli, ili uweze kushika sheria ya Yehova Mungu wako.+ 13 Halafu utapata matokeo ya muzuri kama unashika kwa uangalifu masharti+ na hukumu zenye Yehova alimuamuru Musa apatie Israeli.+ Ukuwe hodari na mwenye nguvu. Usiogope wala kuwa na hofu.+ 14 Angalia, nimejikaza sana kutayarisha kwa ajili ya nyumba ya Yehova talanta* elfu mia moja (100 000) za zahabu na talanta milioni moja (1 000 000) za feza, na shaba nyingi sana na chuma+ hivi kwamba haviwezi kupimwa, na nimetayarisha mbao na majiwe,+ lakini utaongeza kwenye vitu hivyo. 15 Wafanyakazi wengi sana wako pamoja na wewe⁠—wachongaji wa majiwe, mafundi wa kujenga kwa majiwe,+ maseremala, na namna zote za wafanyakazi wenye ufundi.+ 16 Zahabu, feza, shaba, na chuma haviwezi kupimwa.+ Simama na uanze kazi, na Yehova akuwe pamoja na wewe.”+

17 Kisha Daudi akaagiza wakubwa wote wa Israeli wamusaidie Sulemani mwana wake: 18 “Je, Yehova, Mungu wenu haiko pamoja na ninyi, na je, hakuwapatia ninyi pumuziko pande zote? Kwa maana alitia wakaaji wa inchi katika mukono wangu, na inchi imetiishwa mbele ya Yehova na mbele ya watu wake. 19 Sasa muazimie kwa moyo wenu wote na nafsi* yenu yote kumutafuta Yehova Mungu wenu,+ na muanze kujenga patakatifu pa Yehova Mungu wa kweli,+ ili mulete sanduku la agano la Yehova na vyombo vitakatifu vya Mungu wa kweli+ katika nyumba yenye ilijengwa kwa ajili ya jina la Yehova.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine