Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Kuondoka kwenye Mulima Horebu (1-8)

      • Wakubwa na waamuzi wanawekwa (9-18)

      • Watu wanakosa kutii kule Kadesh-barnea (19-46)

        • Israeli anakataa kuingia katika ile inchi (26-33)

        • Hawaweze kukamata Kanaani (41-46)

Kumbukumbu la Torati 1:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2004, uku. 25

Kumbukumbu la Torati 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:13; 33:38

Kumbukumbu la Torati 1:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:23, 24; Yosh. 12:1, 2
  • +Hes 21:33-35
  • +Yosh. 13:8, 12

Kumbukumbu la Torati 1:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:8; 17:18; Ne 8:7

Kumbukumbu la Torati 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:1; Hes 10:11, 12

Kumbukumbu la Torati 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni mustari wa milima ya Lebanoni.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:16
  • +Yosh. 12:2, 3
  • +Yosh. 9:1, 2
  • +Yosh. 13:1, 5; 1 Fal. 9:19
  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 28:13
  • +Mwa 12:7; 13:14, 15; 17:1, 7

Kumbukumbu la Torati 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:17, 18

Kumbukumbu la Torati 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:1, 5; Kut 32:13; Hes 26:51; Kum 10:22

Kumbukumbu la Torati 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:8
  • +Mwa 12:1-3; 22:15, 17; 26:3, 4; Kut 23:25

Kumbukumbu la Torati 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:17, 18; Hes 11:11; 20:3

Kumbukumbu la Torati 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2000, uku. 32

Kumbukumbu la Torati 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 20

Kumbukumbu la Torati 1:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:8; Kum 16:18; Yoh 7:24
  • +Kut 22:21; Law. 19:34; 24:22

Kumbukumbu la Torati 1:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:15; Rom. 2:11
  • +Kut 23:3
  • +Mez. 29:25
  • +2Nya 19:6
  • +Kut 18:25, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2004, uku. 25

Kumbukumbu la Torati 1:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 10:12; Kum 8:14, 15; Yer 2:6
  • +Hes 13:29
  • +Hes 13:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Nchi Nzuri’, uku. 8-9

    “Kila Andiko,” uku. 31

Kumbukumbu la Torati 1:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:27; Kum 1:8

Kumbukumbu la Torati 1:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:1, 2

Kumbukumbu la Torati 1:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:3

Kumbukumbu la Torati 1:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:17

Kumbukumbu la Torati 1:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:23-27

Kumbukumbu la Torati 1:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:1-4

Kumbukumbu la Torati 1:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “walifanya mioyo yetu iyeyuke.”

  • *

    Ni kusema, yenye kuta za murefu sana.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:9; Yosh. 14:7, 8
  • +Hes 13:28, 33
  • +Hes 13:22; Yosh. 11:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 11

Kumbukumbu la Torati 1:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:9

Kumbukumbu la Torati 1:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:14; Yosh. 10:42
  • +Hes 14:22

Kumbukumbu la Torati 1:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:22; 106:24; Ebr 3:16, 19; Yud 5

Kumbukumbu la Torati 1:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:21; 40:36; Hes 10:33, 34; Zab 78:14

Kumbukumbu la Torati 1:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:28, 35; 32:10-12; Kum 2:14; Zab 95:11; Ebr 3:11

Kumbukumbu la Torati 1:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:29, 35; 1 Kor. 10:1, 5; Ebr 3:17

Kumbukumbu la Torati 1:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa ukamilifu; kabisa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:24; Yosh. 14:9

Kumbukumbu la Torati 1:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:12; 27:13, 14; Kum 3:26; Zab 106:32

Kumbukumbu la Torati 1:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Mungu amemutia nguvu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 33:11; Hes 11:28
  • +Hes 14:38
  • +Hes 27:18; Kum 31:7; Yosh. 1:6, 9

Kumbukumbu la Torati 1:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:3
  • +Hes 14:30, 31

Kumbukumbu la Torati 1:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:25

Kumbukumbu la Torati 1:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:39-45

Kumbukumbu la Torati 1:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:14, 17

Maandiko ingine

Kum. 1:2Kum 9:23
Kum. 1:3Hes 32:13; 33:38
Kum. 1:4Hes 21:23, 24; Yosh. 12:1, 2
Kum. 1:4Hes 21:33-35
Kum. 1:4Yosh. 13:8, 12
Kum. 1:5Kum 4:8; 17:18; Ne 8:7
Kum. 1:6Kut 19:1; Hes 10:11, 12
Kum. 1:7Yosh. 13:1, 5; 1 Fal. 9:19
Kum. 1:7Mwa 15:18
Kum. 1:7Mwa 15:16
Kum. 1:7Yosh. 12:2, 3
Kum. 1:7Yosh. 9:1, 2
Kum. 1:8Mwa 26:3
Kum. 1:8Mwa 28:13
Kum. 1:8Mwa 12:7; 13:14, 15; 17:1, 7
Kum. 1:9Kut 18:17, 18
Kum. 1:10Mwa 15:1, 5; Kut 32:13; Hes 26:51; Kum 10:22
Kum. 1:111 Fal. 3:8
Kum. 1:11Mwa 12:1-3; 22:15, 17; 26:3, 4; Kut 23:25
Kum. 1:12Kut 18:17, 18; Hes 11:11; 20:3
Kum. 1:13Kut 18:21
Kum. 1:15Kut 18:25
Kum. 1:16Kut 23:8; Kum 16:18; Yoh 7:24
Kum. 1:16Kut 22:21; Law. 19:34; 24:22
Kum. 1:17Law. 19:15; Rom. 2:11
Kum. 1:17Kut 23:3
Kum. 1:17Mez. 29:25
Kum. 1:172Nya 19:6
Kum. 1:17Kut 18:25, 26
Kum. 1:19Hes 10:12; Kum 8:14, 15; Yer 2:6
Kum. 1:19Hes 13:29
Kum. 1:19Hes 13:26
Kum. 1:21Kut 23:27; Kum 1:8
Kum. 1:22Hes 13:1, 2
Kum. 1:23Hes 13:3
Kum. 1:24Hes 13:17
Kum. 1:25Hes 13:23-27
Kum. 1:26Hes 14:1-4
Kum. 1:28Hes 32:9; Yosh. 14:7, 8
Kum. 1:28Hes 13:28, 33
Kum. 1:28Hes 13:22; Yosh. 11:21
Kum. 1:29Hes 14:9
Kum. 1:30Kut 14:14; Yosh. 10:42
Kum. 1:30Hes 14:22
Kum. 1:32Zab 78:22; 106:24; Ebr 3:16, 19; Yud 5
Kum. 1:33Kut 13:21; 40:36; Hes 10:33, 34; Zab 78:14
Kum. 1:34Hes 14:28, 35; 32:10-12; Kum 2:14; Zab 95:11; Ebr 3:11
Kum. 1:35Hes 14:29, 35; 1 Kor. 10:1, 5; Ebr 3:17
Kum. 1:36Hes 14:24; Yosh. 14:9
Kum. 1:37Hes 20:12; 27:13, 14; Kum 3:26; Zab 106:32
Kum. 1:38Kut 33:11; Hes 11:28
Kum. 1:38Hes 14:38
Kum. 1:38Hes 27:18; Kum 31:7; Yosh. 1:6, 9
Kum. 1:39Hes 14:3
Kum. 1:39Hes 14:30, 31
Kum. 1:40Hes 14:25
Kum. 1:41Hes 14:39-45
Kum. 1:42Law. 26:14, 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 1:1-46

Kumbukumbu la Torati

1 Haya ndiyo maneno yenye Musa aliambia Israeli wote katika eneo la Yordani katika jangwa, katika maeneo tambarare ya jangwa mbele ya Sufi, katikati ya Parani, Tofeli, Labani, Haseroti, na Dizahabu. 2 Ni safari ya siku kumi na moja (11) kutoka Horebu mupaka Kadesh-barnea+ kupitia njia ya Mulima Seiri. 3 Katika mwaka wa makumi ine (40),+ mwezi wa kumi na moja (11), siku ya kwanza ya mwezi huo, Musa akasema na Waisraeli* kulingana na mambo yote yenye Yehova alikuwa amemuagiza awaambie. 4 Hii ilikuwa kisha yeye kumushinda Sihoni+ mufalme wa Waamori, mwenye alikuwa anakaa Heshboni, na Ogu+ mufalme wa Bashani, mwenye alikuwa anakaa Ashtaroti, kule Edrei.+ 5 Katika eneo la Yordani katika inchi ya Moabu, Musa akaanza kufasiria Sheria hii,+ na kusema:

6 “Yehova Mungu wetu alituambia kule Horebu, ‘Mumekaa wakati murefu sana katika eneo hili lenye milima.+ 7 Mugeuke na kuenda katika eneo lenye milima la Waamori+ na kuelekea majirani wao wote kule Araba,+ eneo la milima, Shefela, Negebu, na eneo la pembeni ya bahari,+ inchi ya Wakanaani, na Lebanoni,*+ mupaka kwenye ule muto mukubwa, muto Efrati.+ 8 Angalia, nimeweka inchi hii mbele yenu. Muingie na kuriti inchi yenye Yehova aliapa kwamba atapatia baba zenu, Abrahamu, Isaka,+ na Yakobo,+ wao pamoja na uzao wao* kisha wao.’+

9 “Na niliwaambia ninyi wakati huo, ‘Siwezi kuwabeba peke yangu.+ 10 Yehova Mungu wenu amewafanya muongezeke, na ninyi leo muko wengi kama nyota za mbinguni.+ 11 Yehova Mungu wa mababu zenu awafanye muongezeke+ mara elfu moja (1 000) kuliko namna muko sasa, na awabariki kama vile amewaahidi.+ 12 Namna gani mimi peke yangu ninaweza kubeba uzito wenu na mizigo yenu na ugomvi wenu?+ 13 Muchague wanaume wenye hekima, busara, na wenye uzoefu katika makabila yenu, na mimi nitawaweka kuwa vichwa juu yenu.’+ 14 Mukanijibu, ‘Jambo lenye ulituambia tufanye ni la muzuri.’ 15 Kwa hiyo nikachukua vichwa vya makabila yenu, wanaume wenye hekima na uzoefu, na nikawaweka kuwa vichwa juu yenu, wakubwa wa maelfu, wakubwa wa mamia, wakubwa wa makumi tano, wakubwa wa makumi, na maofisa wa makabila yenu.+

16 “Wakati huo niliwaagiza waamuzi wenu, ‘Wakati munasikia kesi ya hukumu kati ya ndugu zenu, munapaswa kuhukumu kwa haki+ kati ya mutu na ndugu yake ao mukaaji mugeni.+ 17 Hamupaswe kuhukumu kwa upendeleo.+ Munapaswa kusikia mudogo kama vile munasikia mukubwa.+ Musiogopeshwe na wanadamu,+ kwa sababu hukumu ni ya Mungu;+ na kama kesi ya hukumu iko nguvu sana kwenu, muilete kwangu, na nitaisikia.’+ 18 Wakati huo niliwapatia maagizo juu ya mambo yote yenye munapaswa kufanya.

19 “Kisha tukaondoka Horebu na kupita katika lile jangwa lote kubwa na lenye kuogopesha+ lenye muliona katika njia ya kuenda kwenye eneo lenye milima la Waamori,+ kama vile Yehova Mungu wetu alikuwa ametuamuru, na mwishowe tukafika Kadesh-barnea.+ 20 Halafu nikawaambia, ‘Mumefika kwenye eneo lenye milima la Waamori, lenye Yehova Mungu wetu anatupatia. 21 Angalia, Yehova Mungu wako amekupatia inchi hii. Panda, uiriti, kama vile Yehova, Mungu wa mababu zako amekuambia.+ Usiogope wala usikuwe na hofu.’

22 “Lakini, ninyi wote mulinikaribia na kusema, ‘Tutume wanaume watutangulie ili kupeleleza inchi kwa ajili yetu na watuletee habari kuhusu njia yenye tunapaswa kufuata na ni miji ya namna gani tutakuta.’+ 23 Pendekezo hilo lilionekana kuwa la muzuri kwangu, kwa hiyo nikachagua wanaume kumi na mbili (12) katikati ya wanaume wenu, mwanaume mumoja kwa ajili ya kila kabila.+ 24 Wakaondoka na kupanda kwenye eneo lenye milima,+ na wakafika kwenye Bonde* la Eshkoli na kupeleleza inchi. 25 Wakakamata matunda fulani ya inchi hiyo na kutuletea, na wakatuletea habari hii, ‘Inchi yenye Yehova Mungu wetu anatupatia ni ya muzuri.’+ 26 Lakini mulikataa kupanda, na mukaasi agizo la Yehova Mungu wenu.+ 27 Muliendelea kunungunika katika mahema yenu na mulikuwa munasema, ‘Yehova alituchukia ndiyo sababu alitutosha katika inchi ya Misri ili atutie katika mikono ya Waamori kusudi watumalize. 28 Tunaenda mahali pa namna gani? Ndugu zetu walituvunja moyo*+ kwa kusema, “Watu hao wako na nguvu na ni warefu kuliko sisi, na miji yao ni mikubwa na yenye ngome mupaka mbinguni,*+ na tuliona wana wa Anaki+ kule.”’

29 “Kwa hiyo nikawaambia, ‘Musikuwe na hofu wala musiogope kwa sababu yao.+ 30 Yehova Mungu wenu atawatangulia na kuwapigania,+ kama vile alifanya kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe.+ 31 Na uliona katika jangwa namna Yehova Mungu wako alikubeba kama vile mutu anabeba mwana wake, kila mahali kwenye mulienda mupaka wakati mulifika mahali hapa.’ 32 Lakini ijapokuwa mambo hayo yote, hamukukuwa na imani katika Yehova Mungu wenu,+ 33 mwenye alikuwa anawatangulia katika njia, ili apeleleze mahali kwenye mutapiga kambi. Alitokea kwa moto wakati wa usiku na kwa wingu wakati wa muchana ili awaonyeshe njia yenye munapaswa kufuata.+

34 “Wakati huo wote Yehova alisikia mambo yenye mulikuwa munasema, na akakasirika na kuapa kwa uzito,+ 35 ‘Hakuna mutu hata mumoja wa kizazi hiki kiovu mwenye ataona inchi ya muzuri yenye niliapa kwamba nitapatia baba zenu,+ 36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune. Yeye ataiona, na nitamupatia yeye na wana wake inchi hiyo yenye alitembea juu yake, kwa sababu amemufuata Yehova kwa moyo wote.*+ 37 (Yehova alinikasirikia mimi pia kwa sababu yenu, na alisema, “Wewe pia hautaingia ndani.+ 38 Yoshua mwana wa Nuni, mwenye anasimama mbele yako,+ ndiye ataingia katika inchi hiyo.+ Umutie nguvu,*+ kwa maana atafanya Israeli ariti inchi hiyo.”) 39 Zaidi ya hayo, watoto wenu wenye mulisema watakuwa vitu vyenye vinanyanganywa katika vita+ na wana wenu wenye leo hawajue jambo la muzuri ao la mubaya, hao ndio wataingia, na nitawapatia inchi hiyo ili wairiti.+ 40 Lakini ninyi, mugeuke na kuenda katika jangwa kupitia njia ya Bahari Nyekundu.’+

41 “Basi muliniambia, ‘Tumemutendea Yehova zambi. Sasa tutapanda na kupigana, kama vile Yehova Mungu wetu ametuamuru!’ Kwa hiyo kila mumoja wenu akavaa silaha zake za vita, na mulifikiri itakuwa mwepesi kupanda katika mulima.+ 42 Lakini Yehova akaniambia, ‘Uwaambie: “Musipande na kupigana, kwa sababu sitakuwa pamoja na ninyi.+ Mukienda, mutashindwa na maadui wenu.”’ 43 Kwa hiyo nikaongea na ninyi, lakini hamukusikiliza. Lakini, muliasi agizo la Yehova na mukajaribu kwa kimbelembele kupanda katika mulima. 44 Kisha Waamori wenye walikuwa wanakaa kwenye mulima huo wakatoka ili kukutana na ninyi na wakawakimbiza ninyi kama vile nyuki wanafanya, na wakawasambaza ninyi kuanzia Seiri mupaka Horma. 45 Kwa hiyo mukarudia na kuanza kulia mbele ya Yehova, lakini Yehova hakuwasikiliza wala kuwakazia uangalifu. 46 Ndiyo sababu muliendelea kukaa Kadeshi wakati wote wenye mulikaa kule.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine