Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Maombolezo

      • Yeremia anaonyesha hisia zake na tumaini lake

        • “Nitaonyesha mutazamo wa kungojea” (21)

        • Rehema za Mungu ni mupya kila asubui (22, 23)

        • Mungu ni mwema kwa wale wenye wanamutumainia (25)

        • Ni muzuri kwa vijana kubeba nira (27)

        • Mungu ameweka kizuizi cha wingu ili asifikiwe (43, 44)

Maombolezo 3:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 10

Maombolezo 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 29; Yer 13:16

Maombolezo 3:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 63:10

Maombolezo 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 8:14; 9:15; Omb 3:19

Maombolezo 3:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:7

Maombolezo 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anazuia; anafungia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 80:4; 102:2; Isa 1:15; Mik 3:4

Maombolezo 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 63:17

Maombolezo 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 38:39, 40; Ho 5:14; Amo 5:18, 19

Maombolezo 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kuniachilia nikuwe bure.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 6:8; 32:43

Maombolezo 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Amekanyanga.”

Maombolezo 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

Maombolezo 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 9:15; 23:15

Maombolezo 3:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:9; Yer 6:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 10

Maombolezo 3:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Unaima nafsi yangu.”

Maombolezo 3:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:32; Zab 137:1
  • +Yer 9:15; Omb 3:5

Maombolezo 3:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako itanikumbuka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 113:5-7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 199-200

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 14

    1/6/2007, uku. 11

Maombolezo 3:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 130:6-8; Mik 7:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 14

Maombolezo 3:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 9:8
  • +Ne 9:31; Yer 30:11; Mik 7:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 122-123

Maombolezo 3:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 30:5
  • +Kum 32:4; Zab 36:5

Maombolezo 3:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu imesema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 16:5; 73:26; 142:5
  • +Zab 130:6-8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2011, uku. 8-10

Maombolezo 3:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa nafsi yenye inaendelea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:3; 130:5; Isa 25:9; 30:18; Mik 7:7
  • +1Nya 28:9; Isa 26:9; Sef 2:3

Maombolezo 3:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kungojea kwa uvumilivu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:7
  • +Zab 116:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/3/2007, uku. 18-19

Maombolezo 3:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:71

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 11

Maombolezo 3:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 39:8, 9; Omb 3:39

Maombolezo 3:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 16:63
  • +Yoe 2:12-14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 11

Maombolezo 3:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 3:12; 31:37; 32:40; Mik 7:18

Maombolezo 3:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 30:5; 103:9, 11; Isa 54:7; Yer 31:20

Maombolezo 3:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:7; Eze 33:11; 2 Pe. 3:9

Maombolezo 3:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:19, 20

Maombolezo 3:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 12:5; Mez. 17:15

Maombolezo 3:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 103:10; Mik 7:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 11

Maombolezo 3:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hag 1:5
  • +Kum 4:30; Isa 55:7; Yoe 2:13

Maombolezo 3:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:29; 2Nya 7:14; 34:27

Maombolezo 3:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:26
  • +2 Fal. 24:3, 4; Da. 9:5, 12

Maombolezo 3:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 15:8
  • +Kum 4:26; Omb 2:2; Eze 9:10

Maombolezo 3:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 80:4; Mez. 15:29; 28:9; Isa 1:15; Mik 3:4; Zek 7:13

Maombolezo 3:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 2:16

Maombolezo 3:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:66, 67
  • +Isa 51:19; Yer 4:6

Maombolezo 3:48

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 9:1

Maombolezo 3:49

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 14:17; Omb 1:16

Maombolezo 3:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 80:14; 102:19-21; Isa 63:15

Maombolezo 3:51

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yameletea nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 11:22

Maombolezo 3:55

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 130:1; Yon 2:1, 2

Maombolezo 3:58

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kesi za hukumu za nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 50:34

Maombolezo 3:59

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:36, 37

Maombolezo 3:61

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 74:18

Maandiko ingine

Omb. 3:2Kum 28:15, 29; Yer 13:16
Omb. 3:3Isa 63:10
Omb. 3:5Yer 8:14; 9:15; Omb 3:19
Omb. 3:7Yer 39:7
Omb. 3:8Zab 80:4; 102:2; Isa 1:15; Mik 3:4
Omb. 3:9Isa 63:17
Omb. 3:10Yob 38:39, 40; Ho 5:14; Amo 5:18, 19
Omb. 3:11Yer 6:8; 32:43
Omb. 3:15Yer 9:15; 23:15
Omb. 3:16Zab 102:9; Yer 6:26
Omb. 3:19Ne 9:32; Zab 137:1
Omb. 3:19Yer 9:15; Omb 3:5
Omb. 3:20Zab 113:5-7
Omb. 3:21Zab 130:6-8; Mik 7:7
Omb. 3:22Ezr 9:8
Omb. 3:22Ne 9:31; Yer 30:11; Mik 7:18
Omb. 3:23Zab 30:5
Omb. 3:23Kum 32:4; Zab 36:5
Omb. 3:24Zab 16:5; 73:26; 142:5
Omb. 3:24Zab 130:6-8
Omb. 3:25Zab 25:3; 130:5; Isa 25:9; 30:18; Mik 7:7
Omb. 3:251Nya 28:9; Isa 26:9; Sef 2:3
Omb. 3:26Zab 37:7
Omb. 3:26Zab 116:6
Omb. 3:27Zab 119:71
Omb. 3:28Zab 39:8, 9; Omb 3:39
Omb. 3:29Eze 16:63
Omb. 3:29Yoe 2:12-14
Omb. 3:31Yer 3:12; 31:37; 32:40; Mik 7:18
Omb. 3:32Zab 30:5; 103:9, 11; Isa 54:7; Yer 31:20
Omb. 3:33Isa 55:7; Eze 33:11; 2 Pe. 3:9
Omb. 3:34Zab 102:19, 20
Omb. 3:35Zab 12:5; Mez. 17:15
Omb. 3:39Zab 103:10; Mik 7:9
Omb. 3:40Hag 1:5
Omb. 3:40Kum 4:30; Isa 55:7; Yoe 2:13
Omb. 3:41Kum 4:29; 2Nya 7:14; 34:27
Omb. 3:42Ne 9:26
Omb. 3:422 Fal. 24:3, 4; Da. 9:5, 12
Omb. 3:43Mez. 15:8
Omb. 3:43Kum 4:26; Omb 2:2; Eze 9:10
Omb. 3:44Zab 80:4; Mez. 15:29; 28:9; Isa 1:15; Mik 3:4; Zek 7:13
Omb. 3:46Omb 2:16
Omb. 3:47Kum 28:66, 67
Omb. 3:47Isa 51:19; Yer 4:6
Omb. 3:48Yer 9:1
Omb. 3:49Yer 14:17; Omb 1:16
Omb. 3:50Zab 80:14; 102:19-21; Isa 63:15
Omb. 3:51Yer 11:22
Omb. 3:55Zab 130:1; Yon 2:1, 2
Omb. 3:58Yer 50:34
Omb. 3:59Yer 51:36, 37
Omb. 3:61Zab 74:18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Maombolezo 3:1-66

Maombolezo

א [Aleph]

3 Mimi ndiye mutu mwenye ameona mateso kwa sababu ya fimbo ya kasirani yake kali.

 2 Amenifukuza inje na ananitembeza katika giza, hapana katika mwangaza.+

 3 Kwa kweli, analeta mukono wake tena na tena juu yangu siku nzima.+

ב [Beth]

 4 Ameharibisha nyama na ngozi yangu;

Amevunja mifupa yangu.

 5 Amenizunguka kwa ajili ya vita; amenizungusha sumu yenye uchungu,+ na magumu.

 6 Amenilazimisha nikae mahali kwenye giza, kama watu wenye walikufa zamani.

ג [Gimel]

 7 Amenizungushia ukuta, ili nisiweze kutoroka;

Amenifunga kwa pingu nzito za shaba.+

 8 Na wakati ninalia kwa sauti kubwa ili kuomba musaada bila tumaini, anakataa* sala yangu.+

 9 Amefunga njia zangu kwa majiwe yenye kuchongwa;

Amefanya njia zangu zikuwe zenye kujikunja.+

ד [Daleth]

10 Anavizia ili kunishambulia kama dubu, kama simba katika mahali pa kujificha.+

11 Amenitosha kinguvu katika njia na kunikata vipande-vipande;*

Amenifanya nibakie ukiwa.+

12 Amekunja* upinde wake, na ananifanya nikuwe shabaha ya mushale wake.

ה [He]

13 Ametoboa figo zangu kwa mishale* ya mufuko wake wa mishale.

14 Nimekuwa kitu cha kuchekwa kwa vikundi vyote vya watu, nimekuwa kichwa cha wimbo wao siku nzima.

15 Amenishibisha vitu vichungu na kunijaza pakanga.+

ו [Waw]

16 Anavunja meno yangu kwa majiwe ya kidogo-kidogo;

Ananifanya nijikunje katika majivu.+

17 Unaniima* amani; nimesahau mambo ya muzuri.

18 Kwa hiyo ninasema: “Utukufu wangu umeangamia, na pia tazamio langu katika Yehova.”

ז [Zayin]

19 Kumbuka mateso yangu na hali yangu ya kukosa makao,+ pakanga na sumu yenye uchungu.+

20 Hakika wewe utanikumbuka* na kuinama juu yangu.+

21 Ninakumbuka hili katika moyo wangu; ndiyo sababu nitaonyesha mutazamo wa kungojea.+

ח [Heth]

22 Ni kwa sababu ya upendo mushikamanifu wa Yehova ndiyo maana hatukuisha,+

Kwa maana hakuna siku rehema zake zitafikia mwisho.+

23 Ni za mupya kila asubui;+ uaminifu wako ni mwingi.+

24 “Yehova ni fungu langu,”+ ni vile nimesema,* “ndiyo sababu nitaonyesha mutazamo wa kumungojea.”+

ט [Teth]

25 Yehova ni mwema kwa ule mwenye anamutumainia,+ kwa mutu mwenye anaendelea* kumutafuta.+

26 Ni muzuri kungojea kimya-kimya*+ wokovu wa Yehova.+

27 Ni muzuri kwa mwanaume kubeba nira wakati wa ujana wake.+

י [Yod]

28 Akae peke yake na abakie kimya wakati Yeye anaiweka juu yake.+

29 Atie kinywa chake katika mavumbi;+ pengine kungali tumaini.+

30 Apatie shavu lake mutu mwenye kumupiga; na apate kipimo chake kamili cha matusi.

כ [Kaph]

31 Kwa maana Yehova hatatutupa milele.+

32 Hata kama ameleta huzuni, ataonyesha pia rehema kulingana na wingi wa upendo wake mushikamanifu.+

33 Kwa maana haiko kutoka katika moyo wake kwamba atese ao ahuzunishe wana wa binadamu.+

ל [Lamed]

34 Kuponda chini ya miguu ya mutu wafungwa wote wa dunia,+

35 Kuima mutu haki mbele ya Mwenye Kuwa Juu Zaidi,+

36 Kutendea mutu kwa udanganyifu katika kesi yake ya hukumu

—Yehova havumilie mambo hayo.

מ [Mem]

37 Basi, ni nani mwenye anaweza kusema, na jambo hilo litendeke isipokuwa Yehova analiamuru?

38 Kutoka katika kinywa cha Mwenye Kuwa Juu Zaidi,

Mambo ya mubaya na mambo ya muzuri hayatoke pamoja.

39 Sababu gani mutu mwenye uzima atoe malalamiko kuhusu matokeo ya zambi yake?+

נ [Nun]

40 Tuchunguze njia zetu na kuzichunguza kwa uangalifu,+ na tumurudilie Yehova.+

41 Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu mwenye kuwa mbinguni:+

42 “Tumekosea na kuasi,+ na haukusamehe.+

ס [Samekh]

43 Kwa kasirani umetuzuia tusikukaribie;+

Umetufuatilia na kutuua bila huruma.+

44 Umeweka kizuizi cha wingu ili usiweze kufikiwa, ili sala yetu isipite ndani.+

45 Unatufanya kuwa takataka na uchafu kati ya vikundi vya watu.”

פ [Pe]

46 Maadui wetu wote wanafungua vinywa vyao juu yetu.+

47 Woga na mashimo vimekuwa fungu letu,+ ukiwa na kuvunjika.+

48 Mito midogo ya maji inatiririka kutoka kwenye macho yangu juu ya kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+

ע [Ayin]

49 Macho yangu yanalia bila kuacha, bila kupumuzika,+

50 Mupaka Yehova aangalie chini na aone kutoka mbinguni.+

51 Macho yangu yameniletea* huzuni kwa sababu ya mabinti wote wa muji wangu.+

צ [Tsade]

52 Maadui wangu wameniwinda bila sababu kama ndege.

53 Wamenyamazisha uzima wangu katika shimo; waliendelea kunitupia majiwe.

54 Maji yalitiririka juu ya kichwa changu, na nikasema: “Nimeisha!”

ק [Qoph]

55 Niliita jina lako, Ee Yehova, kutoka sehemu za chini kabisa za shimo.+

56 Sikiliza sauti yangu; usifunge sikio lako kwa kilio changu cha kuomba musaada, cha kuomba kitulizo.

57 Ulikaribia katika siku yenye nilikuita. Ulisema: “Usiogope.”

ר [Resh]

58 Umetetea kesi zangu za hukumu,* Ee Yehova, umekomboa uzima wangu.+

59 Umeona, Ee Yehova, kosa lenye nilitendewa; tafazali unipatie haki.+

60 Umeona kisasi chao chote, mipango yote ya mubaya yenye walifanya juu yangu.

ש [Sin] ao [Shin]

61 Umesikia zihaka zao, Ee Yehova, mipango yote ya mubaya yenye walifanya juu yangu,+

62 Midomo ya wapinzani wangu na namna wananisema kwa sauti ya chini-chini siku nzima.

63 Uwaangalie; kama wanakaa ao wanasimama, wananichekelea katika nyimbo zao!

ת [Taw]

64 Utawalipa, Ee Yehova, kulingana na matendo yao.

65 Utafanya mioyo yao kuwa migumu, na hiyo ikuwe laana yako kwao.

66 Utawafuatilia katika kasirani yako na kuwaharibu kutoka chini ya mbingu za Yehova.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine