Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Ugonjwa wa Hezekia na kupona kwake (1-11)

      • Wajumbe kutoka Babiloni (12-19)

      • Kifo cha Hezekia (20, 21)

2 Wafalme 20:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:24
  • +Isa 38:1-3

2 Wafalme 20:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 31:20, 21; Zab 25:7; 119:49

2 Wafalme 20:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 38:4-6

2 Wafalme 20:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 39:12
  • +Kum 32:39; Zab 41:3; 103:3; 147:3
  • +Zab 66:13; 116:12-14

2 Wafalme 20:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “siku zako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:22; Isa 10:24
  • +2 Fal. 19:34; Isa 37:35

2 Wafalme 20:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 38:21, 22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2003, uku. 25

2 Wafalme 20:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 6:17; Isa 7:11

2 Wafalme 20:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine ngazi hizo zilitumiwa ili kuhesabia wakati, kama saa ya kivuli.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 38:7, 8

2 Wafalme 20:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 10:12; 2Nya 32:31

2 Wafalme 20:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 39:1, 2

2 Wafalme 20:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akawasikiliza.”

  • *

    Ao “nyumba yake mwenyewe ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:27

2 Wafalme 20:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 39:3, 4

2 Wafalme 20:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba yako ya kifalme.”

  • *

    Ao “nyumba yangu ya kifalme.”

2 Wafalme 20:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 39:5-7

2 Wafalme 20:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba yako ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:12, 13; 25:13; 2Nya 36:7, 18; Yer 27:21, 22; Da. 1:2

2 Wafalme 20:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:12
  • +Da. 1:19; 2:49

2 Wafalme 20:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kweli.”

  • *

    Tnn., “katika siku zangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 141:5
  • +Isa 39:8

2 Wafalme 20:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 9:11
  • +2Nya 32:30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2009, uku. 27

2 Wafalme 20:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:10
  • +2 Fal. 21:16; 23:26; 2Nya 33:11-13
  • +2Nya 32:33

Maandiko ingine

2 Fa. 20:12Nya 32:24
2 Fa. 20:1Isa 38:1-3
2 Fa. 20:32Nya 31:20, 21; Zab 25:7; 119:49
2 Fa. 20:4Isa 38:4-6
2 Fa. 20:5Zab 39:12
2 Fa. 20:5Kum 32:39; Zab 41:3; 103:3; 147:3
2 Fa. 20:5Zab 66:13; 116:12-14
2 Fa. 20:62Nya 32:22; Isa 10:24
2 Fa. 20:62 Fal. 19:34; Isa 37:35
2 Fa. 20:7Isa 38:21, 22
2 Fa. 20:8Amu 6:17; Isa 7:11
2 Fa. 20:9Isa 38:7, 8
2 Fa. 20:11Yosh. 10:12; 2Nya 32:31
2 Fa. 20:12Isa 39:1, 2
2 Fa. 20:132Nya 32:27
2 Fa. 20:14Isa 39:3, 4
2 Fa. 20:16Isa 39:5-7
2 Fa. 20:172 Fal. 24:12, 13; 25:13; 2Nya 36:7, 18; Yer 27:21, 22; Da. 1:2
2 Fa. 20:182 Fal. 24:12
2 Fa. 20:18Da. 1:19; 2:49
2 Fa. 20:19Zab 141:5
2 Fa. 20:19Isa 39:8
2 Fa. 20:20Yoh 9:11
2 Fa. 20:202Nya 32:30
2 Fa. 20:211 Fal. 2:10
2 Fa. 20:212 Fal. 21:16; 23:26; 2Nya 33:11-13
2 Fa. 20:212Nya 32:33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 20:1-21

Cha Pili cha Wafalme

20 Katika siku hizo Hezekia akakuwa mugonjwa na alikuwa karibu kufa.+ Nabii Isaya mwana wa Amozi akakuja na kumuambia, “Yehova anasema hivi: ‘Patia nyumba yako maagizo, kwa maana utakufa; hautapona.’”+ 2 Basi akageuza uso wake kuelekea ukuta na kuanza kusali kwa Yehova: 3 “Ninakuomba, Ee Yehova, kumbuka, tafazali, namna nimetembea mbele yako kwa uaminifu na kwa moyo kamili, na nimetenda mambo ya muzuri mbele ya macho yako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.

4 Isaya alikuwa hajafika katika kiwanja cha katikati wakati neno la Yehova lilikuja kwake, na kusema:+ 5 “Rudia na umuambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako. Nimeona machozi yako.+ Angalia, ninakuponyesha.+ Katika siku ya tatu (3) utapanda kuenda kwenye nyumba ya Yehova.+ 6 Nitaongeza miaka kumi na tano (15) kwenye maisha yako,* na nitakuokoa wewe na muji huu kutoka katika mukono wa mufalme wa Ashuru,+ na nitalinda muji huu kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mutumishi wangu.”’”+

7 Kisha Isaya akasema: “Mulete keki ya tini zenye kukauka zenye zilifinywa-finywa.” Basi wakaileta na kuitia kwenye jipu hilo, kisha akapona pole kwa pole.+

8 Hezekia alikuwa amemuuliza Isaya: “Ni alama gani+ yenye itaonyesha kwamba Yehova ataniponyesha na kwamba katika siku ya tatu (3) nitapanda kuenda kwenye nyumba ya Yehova?” 9 Isaya akajibu: “Hii ndiyo alama kutoka kwa Yehova yenye itakuonyesha kwamba Yehova atatimiza neno lenye amesema: Je, unataka kivuli chenye kuwa kwenye ngazi* kiende mbele hatua kumi (10) ao kirudie nyuma hatua kumi?”+ 10 Hezekia akasema: “Ni jambo jepesi kwa kivuli kuenda mbele hatua kumi (10) lakini hapana kurudia nyuma hatua kumi.” 11 Basi nabii Isaya akamuomba Yehova, na Yeye akafanya kivuli chenye kilikuwa kwenye ngazi ya Ahazi kirudie nyuma hatua kumi (10) hata kama kilikuwa kimekwisha kushuka ngazi.+

12 Wakati huo mufalme wa Babiloni, Berodak-baladani mwana wa Baladani, akamutumia Hezekia barua na zawadi, kwa maana alikuwa amesikia kwamba Hezekia alikuwa mugonjwa.+ 13 Hezekia akawakaribisha* na kuwaonyesha nyumba yake yote ya hazina+⁠—​feza, zahabu, mafuta ya zeri na mafuta mengine yenye samani, depo yake ya silaha, na kila kitu chenye kilikuwa katika hazina zake. Hakuna kitu chenye Hezekia hakuwaonyesha katika nyumba yake mwenyewe* na katika eneo lote la utawala wake.

14 Kisha nabii Isaya akaingia kwa Mufalme Hezekia na kumuuliza: “Watu hawa walisema nini, na walitoka wapi?” Basi Hezekia akasema: “Walitoka katika inchi ya mbali, kule Babiloni.”+ 15 Kisha akauliza: “Waliona nini katika nyumba yako?”* Hezekia akajibu: “Waliona kila kitu katika nyumba yangu.* Hakuna kitu chenye sikuwaonyesha katika hazina zangu.”

16 Sasa Isaya akamuambia Hezekia: “Sikia neno la Yehova,+ 17 ‘Angalia! Siku zinakuja, na vitu vyote vyenye kuwa katika nyumba yako* na vyote vyenye mababu zako wameweka mupaka leo vitapelekwa Babiloni.+ Hakuna kitu chenye kitabakia,’ ni vile Yehova anasema. 18 ‘Na wamoja kati ya wana wako mwenyewe wenye utazaa watakamatwa+ na kuwa maofisa wa makao ya mufalme katika nyumba ya kifalme ya mufalme wa Babiloni.’”+

19 Halafu Hezekia akamuambia Isaya: “Neno la Yehova lenye umesema ni la muzuri.”+ Kisha akaongezea: “Ni muzuri kama kutakuwa amani na utulivu* wakati wa maisha yangu.”*+

20 Na mambo mengine ya historia ya Hezekia, nguvu zake zote, na namna alitengeneza kile kiziwa cha maji+ na ule mufereji na kuleta maji katika muji,+ je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 21 Kisha Hezekia akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake;+ na Manase mwana wake+ akakuwa mufalme pa nafasi yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine