Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wagalatia

      • Paulo anakutana na mitume Yerusalemu (1-10)

      • Paulo anamurekebisha Petro (Kefa) (11-14)

      • Kutangazwa kuwa wenye haki kupitia tu imani (15-21)

Wagalatia 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:27
  • +Mdo 15:1, 2

Wagalatia 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 2:13
  • +Mdo 16:3

Wagalatia 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:1, 24
  • +2 Kor. 3:17; Gal 5:1
  • +Gal 4:9

Wagalatia 2:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa saa moja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:14

Wagalatia 2:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:9

Wagalatia 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 22:21; Rom. 11:13; 1 Tim. 2:7

Wagalatia 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15

Wagalatia 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Petro.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 3:8
  • +Mdo 15:13
  • +Mdo 13:2; 15:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 112

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2005,

    uku. 12-14

    “Kila Andiko,”

    uku. 250, 252

Wagalatia 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 11:29, 30; 1 Kor. 16:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2012, uku. 8

    1/5/2006, uku. 5

Wagalatia 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Petro.

  • *

    Ao “nilipingana naye.”

  • *

    Ao “alikuwa amehukumiwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:42
  • +Mdo 11:25, 26; 15:35

Wagalatia 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 12:17
  • +Mdo 10:26, 28; 11:2, 3
  • +Mdo 21:20, 21

Wagalatia 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Petro.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:34, 35
  • +Mdo 15:10, 28, 29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 7

Wagalatia 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwili wenye utatangazwa kuwa wenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 1:17; Yak 2:23
  • +Mdo 13:39; Rom. 5:17; 1 Kor. 6:11
  • +Rom. 3:20-22

Wagalatia 2:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 7:9

Wagalatia 2:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:6; Gal 5:24
  • +1 Pe. 4:1, 2
  • +2 Kor. 5:15
  • +1 Tim. 2:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 247

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 26

    1/8/2005, uku. 29

Wagalatia 2:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “situpe pembeni.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:17
  • +Gal 3:21; Ebr 7:11

Maandiko ingine

Gal. 2:1Mdo 9:27
Gal. 2:1Mdo 15:1, 2
Gal. 2:32 Kor. 2:13
Gal. 2:3Mdo 16:3
Gal. 2:4Mdo 15:1, 24
Gal. 2:42 Kor. 3:17; Gal 5:1
Gal. 2:4Gal 4:9
Gal. 2:5Gal 2:14
Gal. 2:6Gal 2:9
Gal. 2:7Mdo 22:21; Rom. 11:13; 1 Tim. 2:7
Gal. 2:8Mdo 9:15
Gal. 2:9Efe 3:8
Gal. 2:9Mdo 15:13
Gal. 2:9Mdo 13:2; 15:25
Gal. 2:10Mdo 11:29, 30; 1 Kor. 16:1
Gal. 2:11Yoh 1:42
Gal. 2:11Mdo 11:25, 26; 15:35
Gal. 2:12Mdo 12:17
Gal. 2:12Mdo 10:26, 28; 11:2, 3
Gal. 2:12Mdo 21:20, 21
Gal. 2:14Mdo 10:34, 35
Gal. 2:14Mdo 15:10, 28, 29
Gal. 2:16Rom. 1:17; Yak 2:23
Gal. 2:16Mdo 13:39; Rom. 5:17; 1 Kor. 6:11
Gal. 2:16Rom. 3:20-22
Gal. 2:19Rom. 7:9
Gal. 2:20Rom. 6:6; Gal 5:24
Gal. 2:201 Pe. 4:1, 2
Gal. 2:202 Kor. 5:15
Gal. 2:201 Tim. 2:5, 6
Gal. 2:21Yoh 1:17
Gal. 2:21Gal 3:21; Ebr 7:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wagalatia 2:1-21

Kwa Wagalatia

2 Halafu, kisha miaka kumi na ine (14) nilipanda tena kuenda Yerusalemu pamoja na Barnaba,+ na nilienda pia pamoja na Tito.+ 2 Nilipanda kuenda kule kwa sababu nilipewa ufunuo, na nikawajulisha habari njema yenye ninahubiri katikati ya mataifa. Hata hivyo, nilifanya vile mbele tu ya wanaume wenye kuheshimiwa sana, ili kuhakikisha kwamba sikukuwa ninakimbia bure ao sikukimbia bure. 3 Lakini, hata Tito,+ mwenye alikuwa pamoja na mimi, hakulazimishwa kutahiriwa,+ hata kama alikuwa Mugiriki. 4 Lakini jambo hilo lilitokea kwa sababu ya ndugu wa uongo wenye waliingizwa kimya-kimya,+ wenye waliingia kisirisiri ili kupeleleza uhuru+ wenye tunafurahia katika umoja na Kristo Yesu, ili watufanye kuwa watumwa kabisa;+ 5 hatukukubaliana nao ao kujitiisha kwao,+ hapana, hata kwa wakati kidogo,* ili kweli ya habari njema iendelee kuwa pamoja na ninyi.

6 Lakini juu ya wale wenye walionekana kuwa wa maana+​—⁠hata kama walikuwa watu wa namna gani, mimi sione tofauti, kwa maana Mungu haangalie namna mutu anaonekana kwa inje⁠—⁠wale wenye kuheshimiwa sana hawakuniongezea kitu chochote kipya. 7 Tofauti na hilo, wakati waliona kwamba nilikuwa nimepewa habari njema kwa ajili ya wale wenye hawatahiriwe,+ kama vile Petro alikuwa amepewa habari njema kwa ajili ya wale wenye kutahiriwa⁠— 8 kwa maana ule mwenye alimutia Petro nguvu kwa ajili ya utume kwa wale wenye kutahiriwa, alinitia mimi pia nguvu kwa ajili ya wale wenye kuwa wa mataifa+⁠— 9 na wakati walitambua fazili zenye hazistahiliwe zenye nilipewa,+ Yakobo+ na Kefa* na Yohana, wenye walionekana kuwa nguzo, walitupatia mimi na Barnaba+ mukono wa kuume wa ushirikiano, ili tuende kwa mataifa lakini wao waende kwa watu wenye kutahiriwa. 10 Walituomba tu kwamba tukumbuke maskini, na mimi nimejikaza sana kufanya vile.+

11 Hata hivyo, wakati Kefa*+ alikuja Antiokia,+ nilimupinga* uso kwa uso, kwa sababu ilikuwa wazi kwamba amekosea.* 12 Kwa maana mbele watu fulani kutoka kwa Yakobo+ wafike, alikuwa anakula chakula pamoja na watu wa mataifa;+ lakini wakati walifika, akaacha kufanya vile na akajitenga, kwa kuogopa wale wa kikundi cha wenye kutahiriwa.+ 13 Wayahudi wengine pia walijiunga naye katika unafiki huo, na hata Barnaba akashawishiwa nao katika unafiki wao. 14 Lakini wakati niliona kwamba hawakukuwa wanatembea kulingana na kweli ya habari njema,+ nilimuambia Kefa* mbele yao wote: “Ikiwa wewe, hata kama uko Muyahudi, unaishi kama vile watu wa mataifa wanaishi, na hapana kama vile Wayahudi wanaishi, unaweza namna gani kulazimisha watu wa mataifa waishi kulingana na desturi za Kiyahudi?”+

15 Sisi wenye tuko Wayahudi wa kizalikio, na hapana watenda-zambi kutoka kwa mataifa, 16 tunatambua kwamba mutu anatangazwa kuwa mwenye haki, hapana kupitia matendo ya sheria, lakini kupitia tu imani+ katika Yesu Kristo.+ Basi sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa wenye haki kupitia imani katika Kristo na hapana kupitia matendo ya sheria, kwa maana hakuna mutu mwenye atatangazwa kuwa mwenye* haki kupitia matendo ya sheria.+ 17 Sasa kama sisi pia tumepatikana kuwa watenda-zambi wakati tulikuwa tunatafuta kutangazwa kuwa wenye haki kupitia Kristo, basi je, Kristo ni mutumishi wa zambi? Hapana kabisa! 18 Kama ninajenga tena mambo yenye wakati fulani nilibomoa, ninaonyesha kwamba niko mukosaji. 19 Kwa maana kupitia sheria nilikufa kuelekea sheria,+ ili nikuwe muzima kuelekea Mungu. 20 Nimepigiliwa misumari kwenye muti pamoja na Kristo.+ Haiko mimi tena ndiye ninaishi,+ lakini Kristo ndiye anaishi katika umoja na mimi. Kwa kweli, uzima wenye ninaishi sasa katika mwili ninaishi kwa imani katika Mwana wa Mungu,+ mwenye alinipenda na kujitoa mwenyewe kwa ajili yangu.+ 21 Mimi sikatae* fazili zenye hazistahiliwe za Mungu,+ kwa maana kama haki ni kupitia sheria, kwa kweli Kristo alikufa bure.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine