Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Wakati mwanadamu mwenye hakamilike anatawala (1-17)

        • Tii maagizo ya mufalme (2-4)

        • Utawala wa mwanadamu ni wenye kuumiza (9)

        • Wakati azabu haitolewe haraka (11)

        • Kula, kunywa, na ufurahi (15)

Muhubiri 8:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufasiria maana ya jambo.”

Muhubiri 8:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 24:21, 22; Rom. 13:1; Tit 3:1; 1 Pe. 2:13
  • +2 Sa. 5:3

Muhubiri 8:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 10:4
  • +1 Fal. 1:5, 7; Mez. 20:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 16

Muhubiri 8:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:24, 25

Muhubiri 8:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakati na hukumu yenye kufaa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 13:5; 1 Pe. 3:13
  • +1 Sa. 24:12, 13; 26:8-10; Zab 37:7

Muhubiri 8:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hukumu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 3:17

Muhubiri 8:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “pumuzi, upepo.”

  • *

    Ao pengine, “uovu wao hauwezi kuokoa waovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:48

Muhubiri 8:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kumutendea mubaya; kumutesa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 1:13, 14; Mik 7:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    Na. 3 2017 uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2002, uku. 4-5

Muhubiri 8:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 10:7

Muhubiri 8:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 10:4, 6
  • +1 Sa. 2:22, 23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2010, uku. 4

Muhubiri 8:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:9; 103:13; 112:1; Isa 3:10; 2 Pe. 2:9

Muhubiri 8:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:10; Isa 57:21
  • +Yob 24:24

Muhubiri 8:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “lenye kuvunja moyo.”

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 7:15
  • +Zab 37:7; 73:12

Muhubiri 8:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 100:2
  • +Mhu. 2:24; 3:12, 13

Muhubiri 8:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “shuguli.”

  • *

    Ao pengine, “kwamba watu hawapate usingizi ikuwe muchana ao usiku.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 1:13; 7:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 16

Muhubiri 8:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 3:11; Rom. 11:33
  • +Yob 28:12; Mhu. 7:24; 11:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 16

Maandiko ingine

Muh. 8:2Mez. 24:21, 22; Rom. 13:1; Tit 3:1; 1 Pe. 2:13
Muh. 8:22 Sa. 5:3
Muh. 8:3Mhu. 10:4
Muh. 8:31 Fal. 1:5, 7; Mez. 20:2
Muh. 8:41 Fal. 2:24, 25
Muh. 8:5Rom. 13:5; 1 Pe. 3:13
Muh. 8:51 Sa. 24:12, 13; 26:8-10; Zab 37:7
Muh. 8:6Mhu. 3:17
Muh. 8:8Zab 89:48
Muh. 8:9Kut 1:13, 14; Mik 7:3
Muh. 8:10Mez. 10:7
Muh. 8:11Zab 10:4, 6
Muh. 8:111 Sa. 2:22, 23
Muh. 8:12Zab 34:9; 103:13; 112:1; Isa 3:10; 2 Pe. 2:9
Muh. 8:13Zab 37:10; Isa 57:21
Muh. 8:13Yob 24:24
Muh. 8:14Mhu. 7:15
Muh. 8:14Zab 37:7; 73:12
Muh. 8:15Zab 100:2
Muh. 8:15Mhu. 2:24; 3:12, 13
Muh. 8:16Mhu. 1:13; 7:25
Muh. 8:17Mhu. 3:11; Rom. 11:33
Muh. 8:17Yob 28:12; Mhu. 7:24; 11:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 8:1-17

Muhubiri

8 Ni nani mwenye kuwa kama mutu mwenye hekima? Ni nani anajua kutatua tatizo?* Hekima ya mutu inafanya uso wake ungae na inatuliza uso wake wenye ukali.

2 Ninasema: “Tii maagizo ya mufalme+ kwa sababu ya kiapo kwa Mungu.+ 3 Usiondoke haraka mbele yake.+ Usiunge mukono jambo lolote la mubaya;+ kwa maana anaweza kufanya kile anapenda, 4 kwa sababu neno la mufalme liko na nguvu;+ ni nani anaweza kumuambia: ‘Unafanya nini?’”

5 Mwenye anashika amri hataumia,+ na moyo wenye hekima utajua wakati na utaratibu wenye kufaa.*+ 6 Kwa maana kila jambo liko na wakati na utaratibu wake,*+ kwa sababu matatizo ya wanadamu ni mengi sana. 7 Kwa kuwa hakuna mwenye anajua mambo yenye yatatokea, ni nani anaweza kumuambia namna yatatokea?

8 Kama vile hakuna mutu mwenye kuwa na uwezo juu ya roho* ao mwenye anaweza kuzuia roho, vilevile hakuna mwenye kuwa na uwezo juu ya siku ya kifo.+ Kama vile hakuna mwenye anaruhusiwa kuondoka wakati wa vita, vilevile uovu hautaruhusu wale wenye wanazoea kuutenda waponyoke.*

9 Nimeona mambo haya yote, na nilichunguza katika moyo wangu kila kazi yenye imefanywa chini ya jua, wakati mwanadamu ametawala mwanadamu mwenzake ili kumuumiza.*+ 10 Na niliona waovu wakizikwa, watu wenye walizoea kuingia na kutoka mahali patakatifu, lakini walisahauliwa haraka katika muji kwenye walitenda vile.+ Jambo hili pia ni bure.*

11 Kwa sababu azabu haikutolewa haraka juu ya tendo la mubaya,+ moyo wa wanadamu hauogope kutenda mabaya.+ 12 Hata kama muovu anaweza kutenda mabaya mara mia moja (100) na kuendelea kuishi wakati murefu, lakini ninajua kwamba mambo yatawaendea muzuri wale wenye kumuogopa Mungu wa kweli, kwa sababu wanamuogopa.+ 13 Lakini mambo hayatamuendea muzuri muovu,+ wala hatarefusha siku zake zenye ziko kama kivuli,+ kwa sababu hamuogope Mungu.

14 Kuko jambo la bure* lenye linatendeka katika dunia: Kuko wenye haki wenye wanatendewa kama vile wamefanya mambo maovu,+ na kuko watu waovu wenye wanatendewa kama vile wametenda kwa haki.+ Ninasema kwamba jambo hili pia ni bure.*

15 Basi nikashauri watu wafurahi,+ kwa sababu chini ya jua hakuna jambo la muzuri zaidi kwa mwanadamu kuliko kula, kunywa, na kufurahi; anapaswa kufanya vile wakati anatumika sana sikuzote za maisha yake,+ zenye Mungu wa kweli amemupatia chini ya jua.

16 Nilijikaza sana katika moyo wangu ili kupata hekima na kuona kazi* yote yenye kufanywa katika dunia,+ hata nilikosa usingizi muchana na usiku.* 17 Basi nikafikiria kazi yote ya Mungu wa kweli, na nikavumbua kwamba wanadamu hawawezi kuelewa mambo yenye kufanyika chini ya jua.+ Hata kama watu wanajaribu kwa bidii namna gani, hawawezi kuyaelewa. Hata wakisema kwamba wako na hekima ya kutosha kuweza kujua, hawawezi kuyaelewa kabisa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine