Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Udongo katika mukono wa mufinyanzi (1-12)

      • Yehova anageuzia Israeli mugongo wake (13-17)

      • Mupango mubaya juu ya Yeremia; ombi lake (18-23)

Yeremia 18:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 19:1

Yeremia 18:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “mipeto; pneus.”

Yeremia 18:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Tnn., “kama vile ilikuwa sawa katika macho ya mufinyanzi kutengeneza.”

Yeremia 18:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 9:20, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    4/2017, uku. 3

Yeremia 18:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:10; 12:14; 25:9; 45:4

Yeremia 18:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitasikitika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:33, 34; Zab 106:45; Yer 7:3; 26:3; Eze 18:21; Yoe 2:13; Yon 3:5, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    4/2017, uku. 3

    Yeremia,

    uku. 148-151

Yeremia 18:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitasikitika.”

Yeremia 18:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ninafanya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:16; Eze 18:23

Yeremia 18:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:25
  • +Kum 29:19, 20; Yer 7:24

Yeremia 18:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:13

Yeremia 18:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neige.”

Yeremia 18:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wanachoma zabihu ili zitoe moshi kwa ajili ya.”

  • *

    Ao “zenye hazikutengenezwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:19; 3:21
  • +Yer 10:14, 15
  • +Yer 6:16

Yeremia 18:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:33; Eze 6:14
  • +1 Fal. 9:8; Yer 19:8; Omb 2:15; Mik 6:16
  • +Kum 28:37

Yeremia 18:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:17

Yeremia 18:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “agizo halitaangamia.”

  • *

    Tnn., “tumupige kwa ulimi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 11:19

Yeremia 18:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 35:7

Yeremia 18:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 12:3
  • +Omb 5:3
  • +2Nya 36:17

Yeremia 18:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 38:12

Yeremia 18:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 11:19, 20
  • +Zab 35:4
  • +Yer 15:15

Maandiko ingine

Yer. 18:2Yer 19:1
Yer. 18:6Rom. 9:20, 21
Yer. 18:7Yer 1:10; 12:14; 25:9; 45:4
Yer. 18:81 Fal. 8:33, 34; Zab 106:45; Yer 7:3; 26:3; Eze 18:21; Yoe 2:13; Yon 3:5, 10
Yer. 18:11Isa 1:16; Eze 18:23
Yer. 18:12Yer 2:25
Yer. 18:12Kum 29:19, 20; Yer 7:24
Yer. 18:13Yer 2:13
Yer. 18:15Yer 2:19; 3:21
Yer. 18:15Yer 10:14, 15
Yer. 18:15Yer 6:16
Yer. 18:16Law. 26:33; Eze 6:14
Yer. 18:161 Fal. 9:8; Yer 19:8; Omb 2:15; Mik 6:16
Yer. 18:16Kum 28:37
Yer. 18:17Kum 31:17
Yer. 18:18Yer 11:19
Yer. 18:20Zab 35:7
Yer. 18:21Yer 12:3
Yer. 18:21Omb 5:3
Yer. 18:212Nya 36:17
Yer. 18:22Zab 38:12
Yer. 18:23Yer 11:19, 20
Yer. 18:23Zab 35:4
Yer. 18:23Yer 15:15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 18:1-23

Yeremia

18 Hili ndilo neno lenye lilikuja kwa Yeremia kutoka kwa Yehova: 2 “Simama na ushuke mupaka kwenye nyumba ya mufinyanzi,*+ na pale nitakufanya usikie maneno yangu.”

3 Basi nikashuka mupaka kwenye nyumba ya mufinyanzi,* na alikuwa anafanya kazi kwenye magurudumu* ya mufinyanzi. 4 Lakini chombo chenye mufinyanzi* alikuwa anatengeneza kwa udongo kikaharibika katika mukono wake. Basi mufinyanzi akakitengeneza upya kuwa chombo kingine, kama vile aliona inafaa.*

5 Kisha neno la Yehova likakuja kwangu, na kusema: 6 “‘Je, siwezi kuwatendea ninyi kama vile mufinyanzi* huyu alitenda, Ee nyumba ya Israeli?’ ni vile Yehova anasema. ‘Muangalie! Kama udongo katika mukono wa mufinyanzi, ni vile ninyi muko katika mukono wangu, Ee nyumba ya Israeli.+ 7 Wakati wowote nikisema juu ya kungoa na kubomoa na kuharibu taifa ao ufalme,+ 8 na taifa hilo liache uovu wake wenye nilisema juu yake, mimi pia nitabadilisha mawazo yangu* juu ya musiba wenye nilikusudia kuleta juu yake.+ 9 Lakini wakati wowote nikisema juu ya kujenga na kupanda taifa ao ufalme, 10 na linafanya mambo ya mubaya mbele ya macho yangu na halitii sauti yangu, nitabadilisha mawazo yangu* juu ya mema yenye nilikusudia kulitendea.’

11 “Sasa, tafazali, ambia watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, ‘Yehova anasema hivi: “Angalia, ninatayarisha* musiba na kufanya mupango mubaya juu yenu. Mugeuke, tafazali, kutoka kwenye njia zenu za mubaya, na murekebishe njia zenu na mazoea yenu.”’”+

12 Lakini wakasema: “Hakuna tumaini!+ Kwa maana tutafuata mawazo yetu wenyewe, na kila mumoja wetu atatenda kulingana na ugumu wa moyo wake muovu.”+

13 Kwa hiyo Yehova anasema hivi:

“Muulize ninyi wenyewe, tafazali, kati ya mataifa.

Ni nani amesikia jambo kama hili?

Bikira wa Israeli amefanya jambo lenye kuchukiza sana.+

14 Je, teluji* ya Lebanoni inapotea kutoka kwenye miamba yenye kuwa kwenye miteremuko yake?

Ao, je, maji baridi yenye kutiririka kutoka mbali yatakauka?

15 Lakini watu wangu wamenisahau.+

Kwa maana wanatoa zabihu kwa* kitu chenye hakina mafaa yoyote,+

Na wanafanya watu wajikwae katika njia zao, njia za zamani,+

Ili wapite kwenye barabara za kidogo-kidogo zenye haziko laini na zenye hazinyooke,*

16 Ili kufanya inchi yao kuwa kitu cha kuogopesha+

Na kitu cha kupigiwa muluzi milele.+

Kila mutu mwenye anapita pembeni yake ataangalia kwa mushangao na kutikisa kichwa chake.+

17 Kama upepo wa mashariki, nitawatawanya mbele ya adui.

Nitawaonyesha mugongo wangu, hapana uso wangu, katika siku ya musiba wao.”+

18 Na wakasema: “Mukuje, tufanye mupango mubaya juu ya Yeremia,+ kwa maana sheria haitaangamia* kutoka kwa makuhani wetu ao shauri kutoka kwa watu wenye hekima ao neno kutoka kwa manabii. Mukuje tuseme juu yake,* na tusisikilize mambo yenye anasema.”

19 Unitegee sikio, Ee Yehova,

Na usikilize mambo yenye wapinzani wangu wanasema.

20 Je, wema unapaswa kulipwa kwa ubaya?

Kwa maana wamechimbia uzima wangu* shimo.+

Kumbuka namna nilisimama mbele yako ili kusema mambo ya muzuri juu yao,

Ili kugeuza kasirani yako kali kutoka kwao.

21 Basi toa wana wao wapate njaa,

Na uwatoe kwenye nguvu za upanga.+

Bibi zao wafiwe na watoto na kuwa wajane.+

Wanaume wao wauawe kwa pigo lenye kuua,

Vijana wao wapigwe na kuuawa kwa upanga katika pigano.+

22 Kilio kisikike kutoka kwenye nyumba zao

Wakati utaleta juu yao wanyanganyi kwa kushitukia.

Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamata

Na wameweka mitego kwa ajili ya miguu yangu.+

23 Lakini wewe, Ee Yehova,

Unajua muzuri mipango yao yote juu yangu ili waniue.+

Usifunike kosa lao,

Na usifute zambi yao kutoka mbele yako.

Uwaache wakwazike mbele yako+

Wakati utakamata hatua juu yao katika kasirani yako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine