Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wagalatia

      • Salamu (1-5)

      • Hakuna habari njema ingine (6-9)

      • Habari njema yenye Paulo alihubiri inatoka kwa Mungu (10-12)

      • Kugeuzwa kwa Paulo na kazi yake ya pale mwanzo (13-24)

Wagalatia 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15; 26:15, 16
  • +Mdo 22:14, 15

Wagalatia 1:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 217

Wagalatia 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mufumo muovu wa mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 2:1, 2
  • +Yoh 15:19
  • +1 Tim. 2:3, 4

Wagalatia 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “munaondolewa haraka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 11:3, 4; Gal 5:7

Wagalatia 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 5:10

Wagalatia 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 2:13

Wagalatia 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwamba mupaka kiasi chenye kupita kabisa niliendelea kutesa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:6
  • +Mdo 8:3; 9:1, 2; 22:4; 26:9-11

Wagalatia 1:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 22:3; Flp 3:4-6

Wagalatia 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:10

Wagalatia 1:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ya mwili na damu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15; Rom. 11:13

Wagalatia 1:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2008, uku. 22

    15/1/2005, uku. 28-29

Wagalatia 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Petro.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:26
  • +Yoh 1:42; 1 Kor. 15:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 12

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 15-17

Wagalatia 1:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 13:55; Mdo 12:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 112

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 16-17

Wagalatia 1:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:29, 30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 26

Wagalatia 1:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 1:13
  • +Mdo 8:3

Maandiko ingine

Gal. 1:1Mdo 9:15; 26:15, 16
Gal. 1:1Mdo 22:14, 15
Gal. 1:41 Yo. 2:1, 2
Gal. 1:4Yoh 15:19
Gal. 1:41 Tim. 2:3, 4
Gal. 1:62 Kor. 11:3, 4; Gal 5:7
Gal. 1:7Gal 5:10
Gal. 1:111 Tes. 2:13
Gal. 1:13Mdo 23:6
Gal. 1:13Mdo 8:3; 9:1, 2; 22:4; 26:9-11
Gal. 1:14Mdo 22:3; Flp 3:4-6
Gal. 1:151 Kor. 15:10
Gal. 1:16Mdo 9:15; Rom. 11:13
Gal. 1:17Mdo 9:19
Gal. 1:18Mdo 9:26
Gal. 1:18Yoh 1:42; 1 Kor. 15:5
Gal. 1:19Mt 13:55; Mdo 12:17
Gal. 1:21Mdo 9:29, 30
Gal. 1:23Gal 1:13
Gal. 1:23Mdo 8:3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wagalatia 1:1-24

Kwa Wagalatia

1 Paulo, mutume, haiko kutokana na wanadamu wala kupitia mwanadamu, lakini kupitia Yesu Kristo+ na Mungu Baba,+ mwenye alimufufua kutoka kwa wafu, 2 na ndugu wote wenye kuwa pamoja na mimi, kwa makutaniko ya Galatia:

3 Mukuwe na fazili zenye hazistahiliwe na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo. 4 Alijitoa mwenyewe kwa ajili ya zambi zetu+ ili atuokoe kutoka katika mupangilio muovu wa mambo* wa sasa,+ kulingana na mapenzi ya Mungu na Baba yetu,+ 5 kwake yeye kukuwe utukufu milele na milele. Amina.

6 Ninashangaa kwamba munageuka haraka* kutoka kwa Ule mwenye aliwaita kwa fazili zenye hazistahiliwe za Kristo na kuenda kwenye habari njema ya namna ingine.+ 7 Haiko kusema kwamba kuko habari njema ingine; lakini kuko watu fulani wenye wanawaletea ninyi taabu+ na wanataka kupotosha habari njema juu ya Kristo. 8 Lakini, hata kama mutu fulani kati yetu ao malaika kutoka mbinguni angewatangazia ninyi kuwa habari njema jambo fulani tofauti na habari njema yenye tuliwatangazia, huyo alaaniwe. 9 Kama vile tumekwisha kusema, ninasema tena sasa, Mutu yeyote mwenye anawatangazia ninyi kuwa habari njema jambo fulani tofauti na lile lenye mulikubali, mutu huyo alaaniwe.

10 Kwa kweli, je, sasa ninajaribu kushawishi wanadamu ao Mungu? Ao je, ninajaribu kupendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado ninapendeza wanadamu, singekuwa mutumwa wa Kristo. 11 Kwa maana, ndugu, ninapenda mujue kwamba habari njema yenye niliwatangazia ninyi haitokane na wanadamu;+ 12 kwa maana sikuipokea kutoka kwa mwanadamu, na sikufundishwa hiyo, lakini ilikuwa kupitia ufunuo wa Yesu Kristo.

13 Kwa kweli, mulisikia juu ya mwenendo wangu wa zamani katika dini ya Kiyahudi,+ kwamba niliendelea kulitesa sana* kutaniko la Mungu na kuliharibu;+ 14 na nilikuwa ninafanya maendeleo makubwa katika dini ya Kiyahudi kuliko watu wengi wa miaka yangu katika taifa langu, kwa maana nilikuwa na bidii zaidi kwa ajili ya desturi za baba zangu.+ 15 Lakini wakati Mungu, mwenye alinitenganisha na tumbo la uzazi la mama yangu na kuniita kupitia fazili zake zenye hazistahiliwe,+ aliona kuwa ni muzuri 16 kumufunua Mwana wake kupitia mimi ili nitangaze habari njema juu yake kwa mataifa,+ sikuenda mara moja kuuliza mawazo ya mwanadamu yeyote;* 17 na sikupanda kuenda Yerusalemu kwa wale wenye walikuwa mitume mbele yangu, lakini nilienda Arabia, na kisha nikarudia Damasko.+

18 Halafu, miaka tatu (3) kisha pale, nilipanda kuenda Yerusalemu+ kumutembelea Kefa,*+ na nikakaa pamoja naye siku kumi na tano (15). 19 Lakini sikumuona mutu yeyote kati ya wale mitume wengine, isipokuwa Yakobo+ ndugu ya Bwana. 20 Sasa juu ya mambo yenye ninawaandikia ninyi, ninawahakikishia mbele ya Mungu kwamba siseme uongo.

21 Kisha nikaenda katika maeneo ya Siria na Kilikia.+ 22 Lakini mimi mwenyewe sikujulikana kwa makutaniko ya Yudea yenye yalikuwa katika umoja na Kristo. 23 Yalikuwa tu yanasikia: “Ule mutu mwenye alitutesa zamani+ sasa anatangaza habari njema juu ya imani yenye zamani aliharibu.”+ 24 Basi wakaanza kumutukuza Mungu kwa sababu yangu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine