Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Yesu ni mukubwa kuliko Musa (1-6)

        • Vitu vyote vilijengwa na Mungu (4)

      • Onyo juu ya kukosa imani (7-19)

        • “Leo kama munasikiliza sauti yake” (7, 15)

Waebrania 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mualiko.”

  • *

    Ao “tunamukiri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 3:14; 1 Tes. 2:12
  • +Ebr 8:1

Waebrania 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 8:29
  • +Hes 12:7

Waebrania 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Yesu.

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 17:1, 2

Waebrania 3:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Mfuasi Wangu’,

    uku. 115-116

    Mungu Anatujali, uku. 8

Waebrania 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “shahidi.”

Waebrania 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 17:5
  • +1 Pe. 2:5

Waebrania 3:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:2; Mdo 1:16

Waebrania 3:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:7

Waebrania 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 16:35; Hes 32:13; Zab 95:9

Waebrania 3:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 25-26

Waebrania 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:22, 23; Zab 95:7-11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 25-26

Waebrania 3:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 2:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2013, uku. 9

    15/3/2010, uku. 30-31

    “Kila Andiko,” uku. 245

Waebrania 3:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 95:7

Waebrania 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tunakuwa na ushirika pamoja na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 2:10

Waebrania 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 95:7, 8

Waebrania 3:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:1-3; Hes 14:2, 4

Waebrania 3:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:11; Kum 32:21
  • +Hes 14:22, 23, 28-30; Yud 5

Waebrania 3:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:6

Maandiko ingine

Ebr. 3:1Flp 3:14; 1 Tes. 2:12
Ebr. 3:1Ebr 8:1
Ebr. 3:2Yoh 8:29
Ebr. 3:2Hes 12:7
Ebr. 3:3Mt 17:1, 2
Ebr. 3:6Mt 17:5
Ebr. 3:61 Pe. 2:5
Ebr. 3:72 Sa. 23:2; Mdo 1:16
Ebr. 3:8Kut 17:7
Ebr. 3:9Kut 16:35; Hes 32:13; Zab 95:9
Ebr. 3:11Hes 14:22, 23; Zab 95:7-11
Ebr. 3:12Ebr 2:1
Ebr. 3:13Zab 95:7
Ebr. 3:14Ufu 2:10
Ebr. 3:15Zab 95:7, 8
Ebr. 3:16Kut 17:1-3; Hes 14:2, 4
Ebr. 3:17Hes 14:11; Kum 32:21
Ebr. 3:17Hes 14:22, 23, 28-30; Yud 5
Ebr. 3:19Ebr 4:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 3:1-19

Kwa Waebrania

3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito* wa mbinguni,+ mufikirie mutume na kuhani mukubwa mwenye tunamukubali*⁠—⁠Yesu.+ 2 Alikuwa muaminifu kwa Ule mwenye alimuweka,+ kama vile Musa alikuwa pia katika nyumba yote ya Ule.+ 3 Kwa maana huyo* anastahili utukufu zaidi+ kuliko Musa, kwa kuwa ule mwenye anajenga nyumba iko* na heshima zaidi kuliko nyumba yenyewe. 4 Kwa kweli, kila nyumba inajengwa na mutu fulani, lakini ule mwenye alijenga vitu vyote ni Mungu. 5 Sasa Musa alikuwa muaminifu akiwa mutumishi katika nyumba yote ya Ule akiwa ushuhuda* wa mambo yenye yangesemwa kisha pale, 6 lakini Kristo alikuwa muaminifu akiwa mwana+ juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba Yake,+ kama kwa kweli, tunashikilia imara uhuru wetu wa kusema na tumaini lenye tunajisifia mupaka mwisho.

7 Kwa hiyo, kama vile roho takatifu inasema,+ “Leo kama munasikiliza sauti yake, 8 musifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kuchochea kasirani kali, kama katika ile siku ya jaribu katika jangwa,+ 9 kwenye mababu zenu walinijaribu na kunipima, hata kama waliona matendo yangu kwa miaka makumi ine (40).+ 10 Ndiyo sababu nilichukizwa na kizazi hiki na nikasema: ‘Wao wanapotoka sikuzote katika mioyo yao, na hawajajua njia zangu.’ 11 Kwa hiyo niliapa katika kasirani yangu: ‘Hawataingia katika pumuziko langu.’”+

12 Mufanye angalisho, ndugu, ili moyo muovu wenye kukosa imani usikomae ndani ya mutu yeyote kati yenu kwa kujitosha kwa Mungu mwenye kuishi;+ 13 lakini muendelee kutiana moyo kila siku, wakati ingali inaitwa “Leo,”+ ili mutu yeyote kati yenu asifanywe kuwa mugumu kwa nguvu za udanganyifu za zambi. 14 Kwa maana kwa kweli tunakuwa washiriki wa* Kristo kama tu tunashikilia imara mupaka mwisho uhakika wenye tulikuwa nao pale mwanzo.+ 15 Kama vile inasemwa, “Leo kama munasikiliza sauti yake, musifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kuchochea kasirani kali.”+

16 Kwa maana ni nani wenye walisikia lakini wakamuchochea kuwa na kasirani kali? Je, kwa kweli, haiko wale wote wenye walitoka Misri chini ya uongozi wa Musa?+ 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na nani kwa miaka makumi ine (40)?+ Je, haiko na wale wenye walifanya zambi, wenye maiti zao zilianguka katika jangwa?+ 18 Na aliapa kwa nani kwamba hawangeingia katika pumuziko lake? Je, haiko kwa wale wenye walitenda kwa kukosa kutii? 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine