Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Musa anakaribia kufa (1-8)

      • Sheria inapaswa kusomwa mbele ya watu (9-13)

      • Yoshua anawekwa katika madaraka (14, 15)

      • Uasi wa Israeli unatabiriwa (16-30)

        • Wimbo wa kufundisha Israeli (19, 22, 30)

Kumbukumbu la Torati 31:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuenda inje na kuingia ndani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 7:7; Kum 34:7; Mdo 7:23
  • +Hes 20:12; Kum 3:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2006, uku. 31

Kumbukumbu la Torati 31:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:3
  • +Hes 27:18; Kum 3:28; Yosh. 1:2

Kumbukumbu la Torati 31:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:23, 24
  • +Hes 21:33, 35
  • +Kut 23:23

Kumbukumbu la Torati 31:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:52; Kum 7:2, 24; 20:16

Kumbukumbu la Torati 31:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 1:6; Zab 27:14; 118:6
  • +Hes 14:9; Kum 7:18
  • +Kum 4:31; Yosh. 1:5; Ebr 13:5

Kumbukumbu la Torati 31:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 10:25
  • +Kum 1:38

Kumbukumbu la Torati 31:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 33:14
  • +Yosh. 1:9

Kumbukumbu la Torati 31:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:27

Kumbukumbu la Torati 31:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Makao ya Muda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:1
  • +Law. 23:34

Kumbukumbu la Torati 31:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 16:16
  • +Ne 8:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 20

Kumbukumbu la Torati 31:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “watoto wadogo.”

  • *

    Tnn., “milango yako mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:10; Ebr 10:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2010, uku. 3

    15/9/2004, uku. 27

    15/3/2000, uku. 17

Kumbukumbu la Torati 31:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:6, 7; Efe 6:4
  • +Kum 30:16

Kumbukumbu la Torati 31:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mukamate nafasi zenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 27:13
  • +Kum 3:28

Kumbukumbu la Torati 31:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 33:9; 40:38

Kumbukumbu la Torati 31:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kulala pamoja na baba zako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:17; Zab 106:37-39
  • +1 Fal. 11:33
  • +Amu 2:12, 20

Kumbukumbu la Torati 31:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 29:20
  • +1Nya 28:9; 2Nya 15:2; 24:20
  • +Kum 32:20; Zab 104:29; Eze 39:23
  • +Ne 9:27
  • +Amu 6:13

Kumbukumbu la Torati 31:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 59:2

Kumbukumbu la Torati 31:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Uutie katika vinywa vyao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:30; 32:44
  • +Kum 4:9; 11:19
  • +Kum 31:21

Kumbukumbu la Torati 31:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kunenepa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18
  • +Kut 3:8; Hes 13:26, 27
  • +Ne 9:25
  • +Kut 24:7; Kum 8:12-14; 29:1; Ne 9:26

Kumbukumbu la Torati 31:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:59
  • +Kut 16:4

Kumbukumbu la Torati 31:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni Mungu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 27:18; Kum 31:14
  • +Yosh. 1:6, 9
  • +Kum 1:38; 3:28

Kumbukumbu la Torati 31:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:27

Kumbukumbu la Torati 31:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:18; 2Nya 34:14
  • +1 Fal. 8:9

Kumbukumbu la Torati 31:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “shingo yenu ngumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:24; Ne 9:26
  • +Kut 32:9; Zab 78:8

Kumbukumbu la Torati 31:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:19

Kumbukumbu la Torati 31:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:19
  • +Kum 28:15

Kumbukumbu la Torati 31:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:44

Maandiko ingine

Kum. 31:2Kut 7:7; Kum 34:7; Mdo 7:23
Kum. 31:2Hes 20:12; Kum 3:27
Kum. 31:3Kum 9:3
Kum. 31:3Hes 27:18; Kum 3:28; Yosh. 1:2
Kum. 31:4Hes 21:23, 24
Kum. 31:4Hes 21:33, 35
Kum. 31:4Kut 23:23
Kum. 31:5Hes 33:52; Kum 7:2, 24; 20:16
Kum. 31:6Yosh. 1:6; Zab 27:14; 118:6
Kum. 31:6Hes 14:9; Kum 7:18
Kum. 31:6Kum 4:31; Yosh. 1:5; Ebr 13:5
Kum. 31:7Yosh. 10:25
Kum. 31:7Kum 1:38
Kum. 31:8Kut 33:14
Kum. 31:8Yosh. 1:9
Kum. 31:9Kut 34:27
Kum. 31:10Kum 15:1
Kum. 31:10Law. 23:34
Kum. 31:11Kum 16:16
Kum. 31:11Ne 8:7
Kum. 31:12Kum 4:10; Ebr 10:25
Kum. 31:13Kum 6:6, 7; Efe 6:4
Kum. 31:13Kum 30:16
Kum. 31:14Hes 27:13
Kum. 31:14Kum 3:28
Kum. 31:15Kut 33:9; 40:38
Kum. 31:16Amu 2:17; Zab 106:37-39
Kum. 31:161 Fal. 11:33
Kum. 31:16Amu 2:12, 20
Kum. 31:17Kum 29:20
Kum. 31:171Nya 28:9; 2Nya 15:2; 24:20
Kum. 31:17Kum 32:20; Zab 104:29; Eze 39:23
Kum. 31:17Ne 9:27
Kum. 31:17Amu 6:13
Kum. 31:18Isa 59:2
Kum. 31:19Kum 31:30; 32:44
Kum. 31:19Kum 4:9; 11:19
Kum. 31:19Kum 31:21
Kum. 31:20Mwa 15:18
Kum. 31:20Kut 3:8; Hes 13:26, 27
Kum. 31:20Ne 9:25
Kum. 31:20Kut 24:7; Kum 8:12-14; 29:1; Ne 9:26
Kum. 31:21Kum 28:59
Kum. 31:21Kut 16:4
Kum. 31:23Hes 27:18; Kum 31:14
Kum. 31:23Yosh. 1:6, 9
Kum. 31:23Kum 1:38; 3:28
Kum. 31:24Kut 34:27
Kum. 31:26Kum 17:18; 2Nya 34:14
Kum. 31:261 Fal. 8:9
Kum. 31:27Kum 9:24; Ne 9:26
Kum. 31:27Kut 32:9; Zab 78:8
Kum. 31:28Kum 30:19
Kum. 31:29Amu 2:19
Kum. 31:29Kum 28:15
Kum. 31:30Kum 32:44
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 31:1-30

Kumbukumbu la Torati

31 Kisha Musa akatoka na kuambia Israeli wote maneno haya, 2 akawaambia: Leo niko na miaka mia moja makumi mbili (120).+ Siwezi tena kuwaongoza,* kwa sababu Yehova ameniambia, ‘Hautavuka muto huu wa Yordani.’+ 3 Yehova Mungu wako ndiye anavuka mbele yako, naye mwenyewe ataharibu mataifa haya mbele yako, na utayafukuza.+ Yoshua ndiye atakuongoza kuvuka,+ kama vile Yehova amesema. 4 Yehova atayatendea kama vile alitendea Sihoni+ na Ogu,+ wafalme wa Waamori, na inchi yao wakati aliwaharibu.+ 5 Yehova atawashinda kwa ajili yako, na mutawatendea kulingana na amri yote yenye nimewapatia.+ 6 Mukuwe hodari na wenye nguvu.+ Musiogope wala musikuwe na hofu mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wako ndiye anatembea pamoja na wewe. Hatakutupa wala kukuacha.”+

7 Kisha Musa akamuita Yoshua na kumuambia mbele ya macho ya Israeli wote: “Ukuwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu ni wewe utaingiza watu hawa katika inchi yenye Yehova aliapia mababu zao kwamba atawapatia, na utawapatia inchi hiyo kuwa uriti wao.+ 8 Yehova ndiye anatembea mbele yako, na ataendelea kuwa pamoja na wewe.+ Hatakutupa wala kukuacha. Usiogope wala kuwa na hofu.”+

9 Kisha Musa akaandika Sheria hii+ na kuipatia makuhani, Walawi, wenye wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli. 10 Musa akawaamuru, na kusema: “Kwenye mwisho wa kila miaka saba (7), wakati wenye uliwekwa katika mwaka wa kuachilia,+ wakati wa Sikukuu ya Vibanda,*+ 11 Wakati Israeli wote wanakuja mbele ya Yehova+ Mungu wao mahali kwenye anachagua, unapaswa kusoma Sheria hii kwa ajili ya Israeli wote ili waisikie.+ 12 Kusanya watu pamoja,+ wanaume, wanamuke, watoto,* na mukaaji wako mugeni mwenye kuwa katika miji yako,* ili wasikilize na kujifunza juu ya Yehova Mungu wenu na kumuogopa na kuwa waangalifu kutimiza maneno yote ya Sheria hii. 13 Halafu wana wao wenye hawakujua Sheria hii watasikiliza+ na kujifunza kumuogopa Yehova Mungu wenu siku zote zenye mutaishi katika inchi yenye munavuka Yordani ili kuiriti.”+

14 Kisha Yehova akamuambia Musa, “Angalia! Wakati wako wa kufa umekaribia.+ Ita Yoshua, na muende* kwenye hema ya mukutano, ili nimuweke katika madaraka yake.”+ Kwa hiyo Musa na Yoshua wakaenda na kusimama kwenye hema ya mukutano. 15 Kisha Yehova akatokea pale kwenye hema katika nguzo ya wingu, na nguzo hiyo ya wingu ikasimama karibu na muingilio wa hema.+

16 Sasa Yehova akamuambia Musa: “Angalia! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho na miungu ya kigeni yenye kuwazunguka katika inchi kwenye wanaenda.+ Wataniacha+ na kuvunja agano langu lenye nimefanya pamoja nao.+ 17 Wakati huo kasirani yangu itawaka juu yao,+ na nitawaacha+ na kuficha uso wangu ili wasiuone+ mupaka wakati watateketezwa. Halafu kisha kupatwa na misiba na taabu nyingi,+ watasema, ‘Je, haiko kwa sababu Mungu haiko katikati yetu ndiyo maana misiba hii imekuja juu yetu?’+ 18 Lakini nitaendelea kuficha uso wangu siku hiyo kwa sababu ya uovu wote wenye wametenda kwa kugeuka kuelekea miungu mingine.+

19 “Sasa mujiandikie wimbo huu+ na uufundishe Waisraeli.+ Ufanye wajifunze wimbo huu* ili ukuwe ushahidi wangu juu ya watu wa Israeli.+ 20 Wakati nitawaleta katika inchi yenye niliapia mababu zao+⁠—​inchi yenye kutiririka maziwa na asali+⁠—​na wakule na kushiba na kufanikiwa,*+ watageukia miungu mingine na kuitumikia na kunikosea heshima na kuvunja agano langu.+ 21 Wakati misiba na taabu nyingi zitakuja juu yao,+ wimbo huu utakuwa ushahidi kwao (kwa sababu wazao wao hawapaswe kuusahau), kwa sababu tayari ninajua muelekeo wenye+ wamekomalisha hata mbele sijawaingiza katika inchi yenye nimewaapia.”

22 Kwa hiyo Musa akaandika wimbo huu siku hiyo na kuufundisha Waisraeli.

23 Kisha akamuweka* Yoshua+ mwana wa Nuni katika madaraka yake na kusema: “Ukuwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu ni wewe utaingiza Waisraeli katika inchi yenye nimewaapia,+ na nitaendelea kuwa pamoja na wewe.”

24 Wakati tu Musa alimaliza kuandika maneno yote ya Sheria hii katika kitabu,+ 25 Musa akaamuru Walawi wenye wanabeba sanduku la agano la Yehova, na kusema: 26 “Mukamate kitabu hiki cha Sheria+ na mukiweke pembeni ya sanduku la agano+ la Yehova Mungu wenu, na kitakuwa ushahidi juu yako mahali pale. 27 Kwa maana mimi mwenyewe ninajua muzuri uasi wenu+ na ugumu wa moyo wenu.*+ Kama mumekuwa munamuasi sana Yehova wakati ningali muzima pamoja na ninyi, basi itakuwa namna gani kisha kifo changu! 28 Munikusanyie wazee wote wa makabila yenu na maofisa wenu, na niwaambie maneno haya katika masikio yao, na nikamate mbingu na dunia kuwa mashahidi juu yao.+ 29 Kwa maana ninajua muzuri kwamba kisha kifo changu hakika mutatenda uovu+ na kuacha njia yenye nimewaamuru ninyi. Na hakika musiba utawafikia+ kwenye mwisho wa siku hizo, kwa sababu mutatenda mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova na mutamukasirisha kupitia kazi za mikono yenu.”

30 Kisha katika masikio ya kutaniko lote la Israeli, Musa akarudilia-rudilia maneno ya wimbo huu kuanzia mwanzo mupaka mwisho:+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine