Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Israeli wanakosa shukrani

        • Walisahau haraka matendo ya Mungu (13)

        • Walibadilisha utukufu wa Mungu na mufano wa ngombe-dume (19, 20)

        • Hawakukuwa na imani katika ahadi ya Mungu (24)

        • Walijiunga na ibada ya Baali (28)

        • Watoto walitolewa kuwa zabihu kwa pepo wachafu (37)

Zaburi 106:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 18:19
  • +1Nya 16:34; Ezr 3:11; Zab 103:17; 107:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kitabu cha Mwaka 2015, uku. 2-3

Zaburi 106:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:5

Zaburi 106:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 15:1, 2; Isa 64:5

Zaburi 106:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nia njema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 5:19; Zab 51:18; 119:132

Zaburi 106:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nijisifie wewe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5

Zaburi 106:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:16; Zab 78:8
  • +Ezr 9:6; Da. 9:5

Zaburi 106:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hawakuelewa maana ya kazi zako za ajabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:11, 12

Zaburi 106:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 143:11; Eze 20:14
  • +Kut 9:16; Rom. 9:17

Zaburi 106:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:21, 22

Zaburi 106:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:30
  • +Isa 49:26

Zaburi 106:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alibakia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:13, 28

Zaburi 106:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:31
  • +Kut 15:1

Zaburi 106:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:24; 16:2, 3; 17:7

Zaburi 106:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 11:4; Kum 9:22; 1 Kor. 10:6
  • +Kut 17:2; Zab 78:18; 1 Kor. 10:9; Ebr 3:8, 9

Zaburi 106:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ulifanya nafsi yao kuwa zaifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 11:31, 33; Zab 78:29-31

Zaburi 106:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:3
  • +Law. 21:8; Hes 16:5-7

Zaburi 106:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:27, 32

Zaburi 106:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:35

Zaburi 106:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sanamu ya kuyeyushwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:4; Kum 9:12

Zaburi 106:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:4

Zaburi 106:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:18
  • +Kum 4:34

Zaburi 106:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:51
  • +Kut 14:25

Zaburi 106:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akasimama kwenye mupasuko huo mbele yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:10, 11; Kum 9:14, 19

Zaburi 106:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:32; Kum 8:7-9
  • +Hes 14:11

Zaburi 106:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:2; Kum 1:27
  • +Hes 14:22, 23

Zaburi 106:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:28, 29; Ebr 3:11

Zaburi 106:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:33; Kum 4:27

Zaburi 106:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakashikamana.”

  • *

    Ni kusema, zabihu zenye zilitolewa kwa watu wenye walikuwa wamekufa ao kwa miungu yenye haina uzima.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:3; Ho 9:10

Zaburi 106:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:6; Kum 32:16
  • +Hes 25:9; 1 Kor. 10:8

Zaburi 106:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:7, 8

Zaburi 106:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:11-13

Zaburi 106:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Ugomvi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:2, 12; 27:13, 14

Zaburi 106:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:10

Zaburi 106:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 16:10; 17:12; Amu 1:21
  • +Hes 33:52; Kum 7:1, 2

Zaburi 106:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kujifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:63; Amu 1:33
  • +Isa 2:6

Zaburi 106:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:11, 12; 2 Fal. 17:12
  • +Kut 23:32, 33

Zaburi 106:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:31; 2 Fal. 16:1, 3; 17:17, 18; Yer 7:30, 31; 1 Kor. 10:20

Zaburi 106:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:16
  • +Eze 16:20

Zaburi 106:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 3:9

Zaburi 106:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:30; Amu 3:8
  • +Amu 10:6-8

Zaburi 106:42

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mukono wao.”

Zaburi 106:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 10:11, 12; 1 Sa. 12:11
  • +Amu 4:1
  • +Amu 6:1-5

Zaburi 106:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:18
  • +Amu 3:9

Zaburi 106:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anasikitika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:6; Kum 32:36; Isa 63:7; Omb 3:32; Yoe 2:13

Zaburi 106:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 9:9

Zaburi 106:47

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tushangilie katika sifa yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 79:9
  • +Yer 32:37
  • +1Nya 16:35

Zaburi 106:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Tangu milele mupaka milele.”

  • *

    Ao “Ikuwe vile!”

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:10; Zab 41:13; Lu 1:68

Maandiko ingine

Zb. 106:1Lu 18:19
Zb. 106:11Nya 16:34; Ezr 3:11; Zab 103:17; 107:1
Zb. 106:2Zab 40:5
Zb. 106:3Zab 15:1, 2; Isa 64:5
Zb. 106:4Ne 5:19; Zab 51:18; 119:132
Zb. 106:5Kut 19:5
Zb. 106:6Ne 9:16; Zab 78:8
Zb. 106:6Ezr 9:6; Da. 9:5
Zb. 106:7Kut 14:11, 12
Zb. 106:8Zab 143:11; Eze 20:14
Zb. 106:8Kut 9:16; Rom. 9:17
Zb. 106:9Kut 14:21, 22
Zb. 106:10Kut 14:30
Zb. 106:10Isa 49:26
Zb. 106:11Kut 14:13, 28
Zb. 106:12Kut 14:31
Zb. 106:12Kut 15:1
Zb. 106:13Kut 15:24; 16:2, 3; 17:7
Zb. 106:14Hes 11:4; Kum 9:22; 1 Kor. 10:6
Zb. 106:14Kut 17:2; Zab 78:18; 1 Kor. 10:9; Ebr 3:8, 9
Zb. 106:15Hes 11:31, 33; Zab 78:29-31
Zb. 106:16Hes 16:3
Zb. 106:16Law. 21:8; Hes 16:5-7
Zb. 106:17Hes 16:27, 32
Zb. 106:18Hes 16:35
Zb. 106:19Kut 32:4; Kum 9:12
Zb. 106:20Kut 20:4
Zb. 106:21Kum 32:18
Zb. 106:21Kum 4:34
Zb. 106:22Zab 78:51
Zb. 106:22Kut 14:25
Zb. 106:23Kut 32:10, 11; Kum 9:14, 19
Zb. 106:24Hes 13:32; Kum 8:7-9
Zb. 106:24Hes 14:11
Zb. 106:25Hes 14:2; Kum 1:27
Zb. 106:25Hes 14:22, 23
Zb. 106:26Hes 14:28, 29; Ebr 3:11
Zb. 106:27Law. 26:33; Kum 4:27
Zb. 106:28Hes 25:3; Ho 9:10
Zb. 106:29Hes 25:6; Kum 32:16
Zb. 106:29Hes 25:9; 1 Kor. 10:8
Zb. 106:30Hes 25:7, 8
Zb. 106:31Hes 25:11-13
Zb. 106:32Hes 20:2, 12; 27:13, 14
Zb. 106:33Hes 20:10
Zb. 106:34Yosh. 16:10; 17:12; Amu 1:21
Zb. 106:34Hes 33:52; Kum 7:1, 2
Zb. 106:35Yosh. 15:63; Amu 1:33
Zb. 106:35Isa 2:6
Zb. 106:36Amu 2:11, 12; 2 Fal. 17:12
Zb. 106:36Kut 23:32, 33
Zb. 106:37Kum 12:31; 2 Fal. 16:1, 3; 17:17, 18; Yer 7:30, 31; 1 Kor. 10:20
Zb. 106:382 Fal. 21:16
Zb. 106:38Eze 16:20
Zb. 106:39Yer 3:9
Zb. 106:41Kum 32:30; Amu 3:8
Zb. 106:41Amu 10:6-8
Zb. 106:43Amu 10:11, 12; 1 Sa. 12:11
Zb. 106:43Amu 4:1
Zb. 106:43Amu 6:1-5
Zb. 106:44Amu 2:18
Zb. 106:44Amu 3:9
Zb. 106:45Kut 34:6; Kum 32:36; Isa 63:7; Omb 3:32; Yoe 2:13
Zb. 106:46Ezr 9:9
Zb. 106:47Zab 79:9
Zb. 106:47Yer 32:37
Zb. 106:471Nya 16:35
Zb. 106:481Nya 29:10; Zab 41:13; Lu 1:68
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 106:1-48

Zaburi

106 Mumusifu Yah!*

Mumushukuru Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

 2 Ni nani anaweza kutangaza kikamili matendo ya Yehova yenye nguvu

Ao kutangaza matendo yake yote yenye kustahili sifa?+

 3 Wenye furaha ni wale wenye wanatenda haki,

Wenye sikuzote wanatenda mambo yenye kuwa sawa.+

 4 Unikumbuke, Ee Yehova, wakati unaonyesha watu wako wema.*+

Unitunze kupitia matendo yako ya wokovu,

 5 Ili nifurahie wema wenye unaonyesha wachaguliwa wako,+

Ili nishangilie pamoja na taifa lako,

Ili nikusifu kwa majivuno* pamoja na uriti wako.

 6 Tumetenda zambi kama vile mababu zetu walifanya;+

Tumefanya kosa; tumetenda uovu.+

 7 Mababu zetu kule Misri hawakuona kazi zako za ajabu kuwa za maana.*

Hawakukumbuka upendo wako mwingi mushikamanifu,

Lakini waliasi kwenye bahari, pembeni ya Bahari Nyekundu.+

 8 Lakini aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,+

Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+

 9 Alikemea Bahari Nyekundu, na ikakauka;

Aliwaongoza katika sehemu za chini kabisa kama vile katika jangwa;+

10 Aliwaokoa kutoka katika mukono wa adui yao+

Na aliwakomboa kutoka katika mukono wa adui.+

11 Maji yalifunika wapinzani wao;

Hakuna hata mumoja wao mwenye aliokoka.*+

12 Kisha wakakuwa na imani katika ahadi yake;+

Wakaanza kuimba sifa yake.+

13 Lakini walisahau haraka mambo yenye alifanya;+

Hawakungojea shauri lake.

14 Walifuata tamaa zao za uchoyo katika jangwa;+

Walimujaribu Mungu katika jangwa.+

15 Aliwapatia kile waliomba,

Lakini akawapiga kwa ugonjwa wenye uliwafanya kuwa wazaifu.*+

16 Walimusikilia Musa wivu katika kambi

Na pia Haruni,+ mutakatifu wa Yehova.+

17 Kisha dunia ikafunguka na kumumeza Datani

Na kufunika wale wenye walikusanyika pamoja na Abiramu.+

18 Moto uliwaka kati ya kikundi chao;

Mwali wa moto uliteketeza waovu.+

19 Walitengeneza kitoto-dume cha ngombe kule Horebu

Na kuinamia sanamu ya metali;*+

20 Pa nafasi ya utukufu wangu

Walitia mufano wa ngombe-dume mwenye kula majani.+

21 Walimusahau Mungu+ Mwokozi wao,

Mwenye alifanya mambo makubwa katika Misri,+

22 Kazi za ajabu katika inchi ya Hamu,+

Matendo yenye kuogopesha sana kwenye Bahari Nyekundu.+

23 Alikuwa karibu kuagiza waharibiwe,

Lakini Musa, muchaguliwa wake, akamulilia*

Ili kuzuia kasirani yake yenye kuharibu.+

24 Kisha wakazarau ile inchi yenye kutamanika;+

Hawakukuwa na imani katika ahadi yake.+

25 Waliendelea kunungunika katika mahema yao;+

Hawakusikiliza sauti ya Yehova.+

26 Kwa hiyo akainua mukono wake na kuapa kuwahusu

Kwamba angefanya waanguke katika jangwa;+

27 Angefanya wazao wao waanguke kati ya mataifa,

Na angewasambaza katika inchi mbalimbali.+

28 Kisha wakajiunga* na ibada ya Baali wa Peori,+

Na wakakula zabihu zenye zilitolewa kwa wafu.*

29 Walimukasirisha Yeye kupitia matendo yao,+

Na pigo likatokea kati yao.+

30 Lakini wakati Finehasi alisimama na kuingilia kati,

Pigo hilo likasimamishwa.+

31 Na jambo hilo likahesabiwa kwake kuwa haki

Katika vizazi vyote milele.+

32 Walimukasirisha kwenye maji ya Meriba,*

Na mambo yakamuendea Musa mubaya kwa sababu yao.+

33 Walitia uchungu roho yake,

Naye akaongea bila kufikiri kupitia midomo yake.+

34 Hawakuharibu vikundi vya watu,+

Kama vile Yehova alikuwa amewaamuru.+

35 Lakini walichangamana na mataifa hayo+

Na kukubali* njia zao.+

36 Waliendelea kutumikia sanamu zao,+

Na hizo zikakuwa mutego kwao.+

37 Walikuwa wanatoa watoto wao wanaume kuwa zabihu

Na watoto wao wanamuke kwa pepo wachafu.+

38 Waliendelea kumwanga damu yenye haina kosa,+

Damu ya watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke

Wenye walitoa kuwa zabihu kwa sanamu za Kanaani;+

Na inchi ikachafuliwa kupitia umwangaji wa damu.

39 Wakakuwa wachafu kwa sababu ya kazi zao;

Walifanya ukahaba wa kiroho kupitia matendo yao.+

40 Kwa hiyo kasirani ya Yehova ikawaka juu ya watu wake,

Na akachukia sana uriti wake.

41 Aliwatia tena na tena katika mukono wa mataifa,+

Ili wale wenye waliwachukia watawale juu yao.+

42 Maadui wao waliwakandamiza,

Na wakatiishwa chini ya nguvu zao.*

43 Aliwaokoa mara nyingi,+

Lakini walikuwa wanaasi na kukosa kutii,+

Na walikuwa wanashushwa chini kwa sababu ya kosa lao.+

44 Lakini alikuwa anaona taabu yao+

Na kusikia kilio chao cha kuomba musaada.+

45 Kwa ajili yao alikuwa anakumbuka agano lake,

Na alikuwa anasikia huruma,* akichochewa na upendo wake mwingi mushikamanifu.+

46 Alikuwa anawafanya wasikiliwe huruma

Na wale wote wenye waliwakamata mateka.+

47 Utuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+

Na kutukusanya kutoka katika mataifa+

Ili tushukuru jina lako takatifu

Na tukusifu kwa shangwe.*+

48 Yehova, Mungu wa Israeli, asifiwe

Kwa umilele wote.*+

Na acha watu wote waseme, “Amina!”*

Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine