WIMBO WA SULEMANI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
KIJANA MWANAMUKE MUSHULAMI KATIKA KAMBI YA SULEMANI (1:1–3:5)
-
Wimbo wa nyimbo (1)
Kijana mwanamuke (2-7)
Mabinti wa Yerusalemu (8)
Mufalme (9-11)
“Tutakutengenezea mapambo ya zahabu” (11)
Kijana mwanamuke (12-14)
‘Mupenzi wangu ni kama mufuko wa manemane wenye harufu ya muzuri’ (13)
Muchungaji (15)
“Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu”
Kijana mwanamuke (16, 17)
“Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu” (16)
-
MUSHULAMI AKIWA YERUSALEMU (3:6–8:4)
-
Mabinti wa Sayuni (6-11)
Maelezo kuhusu musururu wa watu wenye kusafiri pamoja na Sulemani
-
MUSHULAMI ANARUDIA, ANAONYESHA USHIKAMANIFU WAKE (8:5-14)
-
Ndugu za kijana mwanamuke (5a)
‘Ni nani huyu, mwenye kuegemea mupenzi wake?’
Kijana mwanamuke (5b-7)
“Upendo uko na nguvu kama kifo” (6)
Ndugu za kijana mwanamuke (8, 9)
“Kama yeye ni ukuta, . . . lakini kama yeye ni mulango, . . .” (9)
Kijana mwanamuke (10-12)
“Mimi ni ukuta” (10)
Muchungaji (13)
‘Acha nisikie sauti yako’
Kijana mwanamuke (14)
“Ukimbie mbio kama swala”
-