Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Yoeli YOELI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Shambulio kali la vidudu (1-14) “Siku ya Yehova iko karibu” (15-20) Nabii anamulilia Yehova (19, 20) 2 Siku ya Yehova na jeshi lake kubwa (1-11) Waisraeli wanaombwa wamurudilie Yehova (12-17) “Mupasue mioyo yenu” (13) Yehova anajibu watu wake (18-32) “Nitamwanga roho yangu” (28) Mambo ya ajabu katika mbingu na katika dunia (30) Wenye kuitia jina la Yehova wataokolewa (32) 3 Yehova anahukumu mataifa yote (1-17) Bonde la Yehoshafati (2, 12) Bonde la uamuzi (14) Yehova ni ngome kwa Israeli (16) Yehova anabariki watu wake (18-21)