Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Yona YONA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Yona anajaribu kumukimbia Yehova (1-3) Yehova analeta zoruba kali (4-6) Taabu inatokea kwa sababu ya Yona (7-13) Yona anatupwa katika bahari yenye zoruba (14-16) Samaki mukubwa anamumeza Yona (17) 2 Yona anasali akiwa katika tumbo la samaki (1-9) Yona anatapikwa kwenye inchi kavu (10) 3 Yona anamutii Mungu na anaenda Ninawi (1-4) Waninawi wanatubu kisha kusikia ujumbe wa Yona (5-9) Mungu anaamua kwamba hataharibu Ninawi (10) 4 Yona anakasirika na anatamani kufa (1-3) Yehova anamufundisha Yona kuwa na rehema (4-11) “Je, uko na sababu ya kukasirika vile?” (4) Mumea wa mutango unatumiwa kufundisha somo (6-10)