Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Hagai HAGAI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Wanakemewa kwa sababu hawakujenga upya hekalu (1-11) ‘Je, huu ni wakati wa kukaa katika nyumba zenye kufunikwa kwa mbao?’ (4) “Muweke moyo wenu juu ya matendo yenu” (5) Kupanda mbegu nyingi lakini kuvuna kidogo (6) Watu wanasikiliza sauti ya Yehova (12-15) 2 Hekalu la pili litajaa utukufu (1-9) Mataifa yote yatatikiswa (7) Vitu vyenye samani vya mataifa vitaingia (7) Kujenga upya hekalu kunaleta baraka (10-19) Utakatifu hauwezi kupitishwa kwa kitu kingine (10-14) Ujumbe kwa Zerubabeli (20-23) “Nitakufanya kuwa kama pete ya muhuri” (23)