Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Malaki MALAKI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Yehova anapenda watu wake (1-5) Makuhani wanatoa zabihu zenye hazifae (6-14) Jina la Mungu litatukuzwa kati ya mataifa (11) 2 Makuhani wanashindwa kufundisha watu (1-9) Midomo ya makuhani inapaswa kuchunga ujuzi (7) Watu wanavunja ndoa bila sababu (10-17) “‘Ninachukia kuvunja ndoa,’ ni vile Yehova anasema” (16) 3 Bwana wa kweli anakuja kusafisha hekalu lake (1-5) Mujumbe wa agano (1) Waisraeli wanatiwa moyo wamurudilie Yehova (6-12) Yehova habadilike (6) “Munirudilie, na mimi nitawarudilia” (7) ‘Mulete zaka yote, na Yehova atawamwangia baraka’ (10) Mwenye haki na muovu (13-18) Majina yanaandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Mungu (16) Tofauti kati ya mwenye haki na muovu (18) 4 Kuja kwa Eliya mbele ya siku ya Yehova kufika (1-6) “Jua la haki litaangaza” (2)