MATAYO
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-
MAHUBIRI KWENYE MULIMA (1-48)
-
Yesu, “Bwana wa Sabato” (1-8)
Mutu mwenye kuwa na mukono wenye kupooza anaponyeshwa (9-14)
Mutumishi mupendwa wa Mungu (15-21)
Pepo wachafu wanafukuzwa kwa kutumia roho takatifu (22-30)
Zambi yenye haiwezi kusamehewa (31, 32)
Muti unajulikana kwa matunda yake (33-37)
Alama ya Yona (38-42)
Wakati roho muchafu anarudia (43-45)
Mama na ndugu za Yesu (46-50)
-
MIFANO JUU YA UFALME (1-52)
Mupandaji (1-9)
Sababu gani Yesu alitumia mifano? (10-17)
Mufano wa mupandaji unafasiriwa (18-23)
Ngano na magugu (24-30)
Mbegu ya haradali na chachu (31-33)
Kutumia mifano kunatimiza unabii (34, 35)
Mufano wa ngano na magugu unafasiriwa (36-43)
Hazina yenye ilifichwa na lulu ya muzuri (44-46)
Wavu wa kukokota (47-50)
Hazina mupya na za zamani (51, 52)
Yesu anakataliwa katika eneo la kwao (53-58)
-
Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1-5)
Mafuta yenye marashi yanamwangwa juu ya Yesu (6-13)
Pasaka ya mwisho na kusalitiwa kwa Yesu (14-25)
Kuanzishwa kwa Chakula cha Mangaribi cha Bwana (26-30)
Yesu anatabiri kuwa Petro atamukana (31-35)
Yesu anasali kule Getsemane (36-46)
Yesu anakamatwa (47-56)
Anasamba mbele ya Sanhedrini (57-68)
Petro anamukana Yesu (69-75)