LUKA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-
Yesu ni “Bwana wa Sabato” (1-5)
Mutu mwenye mukono wenye kukauka anaponyeshwa (6-11)
Mitume kumi na mbili (12-16)
Yesu anafundisha na kuponyesha (17-19)
Furaha na ole (20-26)
Kupenda maadui (27-36)
Muache kuhukumu (37-42)
Muti unajulikana kwa matunda yake (43-45)
Nyumba yenye ilijengwa muzuri; nyumba yenye haina musingi wenye nguvu (46-49)
-
Wanamuke wenye walimufuata Yesu (1-3)
Mufano wa mupandaji (4-8)
Sababu gani Yesu alitumia mifano (9, 10)
Mufano wa mupandaji unafasiriwa (11-15)
Taa haipaswe kufunikwa (16-18)
Mama na ndugu za Yesu (19-21)
Yesu anatuliza zoruba (22-25)
Yesu anatuma pepo wachafu waingie ndani ya nguruwe (26-39)
Binti ya Yairo; mwanamuke fulani anagusa nguo za inje za Yesu (40-56)
-
Wale Kumi na Mbili wanapewa maagizo juu ya utumishi (1-6)
Herode anavurugika juu ya Yesu (7-9)
Yesu anakulisha wanaume elfu tano (10-17)
Petro anatambua Kristo (18-20)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa (21, 22)
Mambo ya kufanya ili kuwa mwanafunzi wa kweli (23-27)
Yesu anageuzwa sura (28-36)
Kijana mwanaume mwenye pepo muchafu anaponyeshwa (37-43a)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (43b-45)
Wanafunzi wanabishana juu ya ukubwa (46-48)
Kila mutu mwenye hatupinge iko upande wetu (49, 50)
Yesu anakataliwa katika kijiji kimoja cha Wasamaria (51-56)
Namna ya kumufuata Yesu (57-62)
-
Chachu ya Wafarisayo (1-3)
Mumuogope Mungu, hapana wanadamu (4-7)
Kukubali umoja na Kristo (8-12)
Mufano wa tajiri mupumbavu (13-21)
Muache kuhangaika (22-34)
Kundi ndogo (32)
Kukesha (35-40)
Musimamizi-nyumba muaminifu na musimamizi-nyumba mwenye haiko muaminifu (41-48)
Hapana amani, lakini mugawanyiko (49-53)
Ulazima wa kuchunguza wakati (54-56)
Kuelewana (57-59)
-
Kutubu ao kuharibiwa (1-5)
Mufano wa muti wa tini wenye hauzae matunda (6-9)
Mwanamuke mulemavu anaponyeshwa siku ya Sabato (10-17)
Mufano wa mbegu ya haradali na wa chachu (18-21)
Inaomba kujikaza ili kuingia kupitia mulango mwembamba (22-30)
Herode, “ule mbweha” (31-33)
Yesu anaomboleza juu ya Yerusalemu (34, 35)
-
Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1-6)
Matayarisho ya Pasaka ya mwisho (7-13)
Chakula cha Mangaribi cha Bwana kinaanzishwa (14-20)
‘Mutu mwenye kunisaliti iko pamoja na mimi kwenye meza’ (21-23)
Mabishano makali juu ya ukubwa (24-27)
Yesu anafanya agano kwa ajili ya ufalme (28-30)
Yesu anatabiri kama Petro atamukana (31-34)
Ulazima wa kuwa tayari; panga mbili (35-38)
Sala ya Yesu kwenye Mulima wa Mizeituni (39-46)
Yesu anakamatwa (47-53)
Petro anamukana Yesu (54-62)
Yesu anachekelewa (63-65)
Yesu anasamba mbele ya Sanhedrini (66-71)