Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Waroma WAROMA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1-7) Paulo anatamani kutembelea Roma (8-15) Mwenye haki ataishi kwa imani (16, 17) Watu wenye hawamuogope Mungu hawana sababu ya kujitetea (18-32) Sifa za Mungu zinaonekana kupitia uumbaji (20) 2 Hukumu ya Mungu juu ya Wayahudi na Wagiriki (1-16) Namna zamiri inafanya kazi (14, 15) Wayahudi na Sheria (17-24) Kutahiriwa kwa moyo (25-29) 3 “Mungu aonekane kuwa wa kweli” (1-8) Wayahudi na Wagiriki pia wako chini ya zambi (9-20) Watu wanatangazwa kuwa wenye haki kupitia imani (21-31) Wote wamepungukiwa na utukufu wa Mungu (23) 4 Abrahamu alitangazwa kuwa mwenye haki kupitia imani (1-12) Abrahamu, baba ya wale wenye kuwa na imani (11) Ahadi inapatikana kupitia imani (13-25) 5 Kupatanishwa na Mungu kupitia Kristo (1-11) Kifo kupitia Adamu, uzima kupitia Kristo (12-21) Zambi na kifo vilienea kwa wote (12) Tendo moja la kutetewa kuwa wenye haki (18) 6 Uzima mupya kupitia ubatizo katika Kristo (1-11) Musiache zambi itawale katika miili yenu (12-14) Kuacha utumwa wa zambi na kuwa watumwa wa Mungu (15-23) Mushahara wa zambi—kifo; zawadi ya Mungu—uzima (23) 7 Kuwekwa huru kutoka katika Sheria kunaelezwa kupitia mufano (1-6) Zambi inajulikana kupitia Sheria (7-12) Kupambana na zambi (13-25) 8 Uzima na uhuru kupitia roho (1-11) Roho ya kuwa wana inatoa ushahidi (12-17) Uumbaji unangojea uhuru wa wana wa Mungu (18-25) ‘Roho inatuombea’ (26, 27) Kuchaguliwa na Mungu mbele ya wakati (28-30) Kupata ushindi kupitia upendo wa Mungu (31-39) 9 Huzuni ya Paulo juu ya Israeli wa kimwili (1-5) Uzao wa kweli wa Abrahamu (6-13) Mungu akichagua mutu hakuna mwenye anaweza kupinga (14-26) Vyombo vya kasirani kali na vya rehema (22, 23) Ni mabaki tu ndio wataokolewa (27-29) Waisraeli wanajikwaa (30-33) 10 Namna ya kufikia haki ya Mungu (1-15) Tangazo la mbele ya watu wote (10) Kuitia jina la Yehova kunamaanisha wokovu (13) Miguu ya wahubiri inapendeza (15) Habari njema inakataliwa (16-21) 11 Waisraeli hawakukataliwa wote (1-16) Mufano wa muzeituni (17-32) Hekima ya Mungu ni kubwa sana (33-36) 12 Mutoe miili yenu ikuwe zabihu yenye uzima (1, 2) Zawadi mbalimbali lakini mwili mumoja (3-8) Mashauri juu ya maisha ya Wakristo wa kweli (9-21) 13 Kujitiisha chini ya mamlaka (1-7) Kulipa kodi (6, 7) Upendo unatimiza Sheria (8-10) Mutembee kama wakati wa muchana (11-14) 14 Musihukumu wengine (1-12) Musikwaze wengine (13-18) Mujikaze kupata amani na umoja (19-23) 15 Mukaribishane kama vile Kristo alifanya (1-13) Paulo, mutumishi kwa watu wa mataifa (14-21) Mipango ya safari za Paulo (22-33) 16 Paulo anamujulisha mutumishi Fibi kwa Wakristo wa Roma (1, 2) Salamu kwa Wakristo wa Roma (3-16) Maonyo juu ya migawanyiko (17-20) Salamu kutoka kwa wenye kufanya kazi pamoja na Paulo (21-24) Siri takatifu inafunuliwa sasa (25-27)