Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto 1 WAKORINTO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1-3) Paulo anamushukuru Mungu kwa sababu ya Wakorinto (4-9) Wanatiwa moyo kuwa na umoja (10-17) Kristo, nguvu na hekima ya Mungu (18-25) Kujisifu tu katika Yehova (26-31) 2 Mahubiri ya Paulo katika Korinto (1-5) Uzuri zaidi wa hekima ya Mungu (6-10) Mutu wa kiroho na mutu wa kimwili (11-16) 3 Wakorinto wangali watu wa kimwili (1-4) Mungu anaikomalisha (5-9) Wafanyakazi pamoja na Mungu (9) Mujenge kwa vifaa vyenye haviwezi kuteketea kwa moto (10-15) Ninyi ni hekalu la Mungu (16, 17) Hekima ya ulimwengu ni upumbavu kwa Mungu (18-23) 4 Wasimamizi-nyumba wanapaswa kuwa waaminifu (1-5) Unyenyekevu wa watumishi Wakristo (6-13) “Musipite mambo yenye yaliandikwa” (6) Wakristo ni tamasha (9) Paulo anahangaikia watoto wake wa kiroho (14-21) 5 Kisa cha uasherati (1-5) Chachu kidogo inachachisha donge lote (6-8) Mutu muovu aondolewe (9-13) 6 Mashitaka ya kisheria kati ya ndugu Wakristo (1-8) Wale wenye hawatariti Ufalme (9-11) Mumutukuze Mungu katika mwili wenu (12-20) “Mukimbie uasherati!” (18) 7 Shauri kwa wenye hawajaoa ao kuolewa (1-16) Bakia katika hali yenye uliitwa ndani (17-24) Wenye hawajaoa ao kuolewa, na wajane (25-40) Faida za kubakia bila kuoa ao kuolewa (32-35) Kuoa ao kuolewa “katika Bwana tu” (39) 8 Kuhusu chakula chenye kinatolewa kwa sanamu (1-13) Kwetu sisi kuko Mungu mumoja tu (5, 6) 9 Mufano wa Paulo akiwa mutume (1-27) “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume” (9) ‘Ole wangu kama sihubiri!’ (16) Kuwa vitu vyote kwa watu wote (19-23) Kujizuia katika mbio ya uzima (24-27) 10 Mifano ya kuonya kutokana na historia ya Israeli (1-13) Onyo juu ya ibada ya sanamu (14-22) Meza ya Yehova, meza ya pepo wachafu (21) Uhuru na kufikiria wengine (23-33) “Mufanye mambo yote kwa utukufu wa Mungu” (31) 11 “Mukuwe waigaji wangu” (1) Ukichwa na kufunika kichwa (2-16) Kukumbuka Chakula cha Mangaribi cha Bwana (17-34) 12 Zawadi za roho (1-11) Mwili mumoja, viungo vingi (12-31) 13 Upendo—njia ya muzuri zaidi (1-13) 14 Zawadi za unabii na luga (1-25) Mikutano ya Kikristo yenye utaratibu (26-40) Sehemu ya wanamuke katika kutaniko (34, 35) 15 Ufufuo wa Kristo (1-11) Ufufuo, musingi wa imani (12-19) Ufufuo wa Kristo unatoa uhakikisho (20-34) Mwili wa nyama, mwili wa roho (35-49) Kutokufa na kutokuharibika (50-57) Kuwa na mambo mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana (58) 16 Muchango kwa ajili ya Wakristo wa Yerusalemu (1-4) Mipango ya safari ya Paulo (5-9) Mipango ya Timoteo na Apolo ili kutembelea kutaniko (10-12) Mashauri na salamu (13-24)