Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto 2 WAKORINTO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1, 2) Faraja kutoka kwa Mungu katika taabu yote (3-11) Mabadiliko katika mipango ya safari za Paulo (12-24) 2 Paulo anakusudia kuleta furaha (1-4) Mutenda-zambi anasamehewa na kurudishwa (5-11) Paulo katika Troa na Makedonia (12, 13) Utumishi, maandamano ya ushindi (14-17) Hatuko wachuruzi wa neno la Mungu (17) 3 Barua za mapendekezo (1-3) Watumishi wa agano jipya (4-6) Utukufu wa muzuri zaidi wa agano jipya (7-18) 4 Mwangaza wa habari njema (1-6) Akili za wenye hawaamini zimepofushwa (4) Hazina katika vyombo vya udongo (7-18) 5 Kuvaa makao ya kimbingu (1-10) Utumishi wa upatanisho (11-21) Kiumbe kipya (17) Mabalozi wa Kristo (20) 6 Fazili za Mungu hazipaswe kutumiwa mubaya (1, 2) Utumishi wa Paulo unaelezwa (3-13) Musifungwe nira yenye haiko sawa (14-18) 7 Tujisafishe uchafu (1) Furaha ya Paulo juu ya Wakorinto (2-4) Tito analeta habari ya muzuri (5-7) Huzuni yenye kupatana na mapenzi ya Mungu, na toba (8-16) 8 Muchango kwa ajili ya Wakristo wa Yudea (1-15) Tito anapaswa kutumwa Korinto (16-24) 9 Kitia-moyo cha kutoa (1-15) Mungu anapenda mutu mwenye anatoa kwa furaha (7) 10 Paulo anatetea utumishi wake (1-18) Silaha zetu haziko za kimwili (4, 5) 11 Paulo na mitume wenye kujiona kuwa wazuri zaidi (1-15) Shida zenye Paulo alipambana nazo akiwa mutume (16-33) 12 Maono ya Paulo (1-7a) “Mwiba katika mwili” wa Paulo (7b-10) Paulo haiko mudogo kuliko mitume wenye kujiona kuwa wazuri zaidi (11-13) Hangaiko la Paulo juu ya Wakorinto (14-21) 13 Maonyo na mashauri ya mwisho (1-14) “Muendelee kujijaribu ili kuona kama muko katika imani” (5) Murekebishwe upya; mufikiri kwa upatano (11)