Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Habari Zenye Kuwa Katika Wagalatia

WAGALATIA

HABARI ZENYE KUWA NDANI

  • 1

    • Salamu (1-5)

    • Hakuna habari njema ingine (6-9)

    • Habari njema yenye Paulo alihubiri inatoka kwa Mungu (10-12)

    • Kugeuzwa kwa Paulo na kazi yake ya pale mwanzo (13-24)

  • 2

    • Paulo anakutana na mitume Yerusalemu (1-10)

    • Paulo anamurekebisha Petro (Kefa) (11-14)

    • Kutangazwa kuwa wenye haki kupitia tu imani (15-21)

  • 3

    • Tofauti kati ya matendo ya Sheria na imani (1-14)

      • Mwenye haki ataishi kwa imani (11)

    • Ahadi kwa Abrahamu haikukuwa kupitia Sheria (15-18)

      • Kristo, uzao wa Abrahamu (16)

    • Chanzo na kusudi la Sheria (19-25)

    • Wana wa Mungu kupitia imani (26-29)

      • Wazao wa Abrahamu, wale wenye kuwa wa Kristo (29)

  • 4

    • Hatuko watumwa tena, lakini tuko wana (1-7)

    • Hangaiko la Paulo juu ya Wagalatia (8-20)

    • Hagari na Sara: maagano mbili (21-31)

      • Yerusalemu la juu, mama yetu, liko huru (26)

  • 5

    • Uhuru wa Kikristo (1-15)

    • Kutembea kwa roho (16-26)

      • Matendo ya mwili (19-21)

      • Tunda la roho (22, 23)

  • 6

    • Mubebeane mizigo mizito (1-10)

      • Kuvuna kile chenye kilipandwa (7, 8)

    • Kutahiriwa hakuna maana (11-16)

      • Kiumbe kipya (15)

    • Maneno ya kumalizia (17, 18)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine