Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Waefeso WAEFESO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1, 2) Baraka za kiroho (3-7) Kukusanya vitu vyote katika Kristo (8-14) “Usimamizi” katika nyakati zenye ziliwekwa (10) Kutiwa muhuri kwa roho kama “alama yenye kuhakikisha mbele ya wakati” (13, 14) Paulo anamushukuru Mungu kwa sababu ya imani ya Waefeso na anasali kwa ajili yao (15-23) 2 Wanafanywa kuwa wazima pamoja na Kristo (1-10) Ukuta wenye kutenganisha unaharibiwa (11-22) 3 Siri takatifu ingetia ndani Watu wa Mataifa (1-13) Watu wa Mataifa ni wariti pamoja na Kristo (6) Kusudi la milele la Mungu (11) Sala kwa ajili ya Waefeso ili wapate ufahamu (14-21) 4 Umoja katika mwili wa Kristo (1-16) Zawadi katika wanadamu (8) Utu wa zamani na utu mupya (17-32) 5 Usemi na mwenendo safi (1-5) Mutembee kama watoto wa mwangaza (6-14) Mujazwe roho (15-20) Mutumie muzuri zaidi wakati wenu (16) Mashauri kwa bwana na bibi (21-33) 6 Mashauri kwa watoto na wazazi (1-4) Mashauri kwa watumwa na mabwana (5-9) Silaha zote kutoka kwa Mungu (10-20) Salamu za mwisho (21-24)