KUMBUKUMBU LA TORATI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-
Namna ya kutendea waasi-imani (1-18)
-
Kuheshimia wanyama wa majirani (1-4)
Mwanaume kuvaa nguo za mwanamuke na mwanamuke kuvaa nguo za mwanaume (5)
Kutendea wanyama muzuri (6, 7)
Ukuta mufupi kwa ajili ya sehemu ya juu ya nyumba (8)
Michanganyiko yenye haifae (9-11)
Mafundo kwenye nguo (12)
Sheria kuhusu kuvunja kanuni katika mambo ya ngono (13-30)
-
Sheria kuhusu kumupiga mutu viboko (1-3)
Usimufunge kinywa ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka (4)
Ndoa ya mutu na shemeki yake (5-10)
Kumukamata mutu sehemu zenye haifae kukamata wakati anapigana (11, 12)
Majiwe ya kupimia na vipimo vyenye kuwa sawa (13-16)
Waamaleki wanapaswa kuharibiwa (17-19)