Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Wafilipi WAFILIPI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1, 2) Shukrani kwa Mungu; sala ya Paulo (3-11) Habari njema inasonga mbele hata kama kuko matatizo (12-20) Kuishi ni kwa ajili ya Kristo, kufa ni faida (21-26) Mujiendeshe kwa njia yenye inastahili habari njema (27-30) 2 Unyenyekevu wa Kikristo (1-4) Unyenyekevu wa Kristo na kuinuliwa kwake (5-11) Mufanyie kazi wokovu wenu wenyewe (12-18) Kuangaza kama vitu vya kutoa mwangaza (15) Kutuma Timoteo na Epafrodito (19-30) 3 Tumaini lisitegemee mwili (1-11) Kuona vitu vyote kuwa upotevu kwa ajili ya Kristo (7-9) Kujinyoosha mbele kuelekea muradi (12-21) Uraia mbinguni (20) 4 Umoja, kufurahi, mawazo yenye kufaa (1-9) Musihangaike juu ya jambo lolote (6, 7) Shukrani kwa zawadi za Wafilipi (10-20) Salamu za mwisho (21-23)