Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Wakolosai WAKOLOSAI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1, 2) Shukrani kwa sababu ya imani ya Wakolosai (3-8) Sala kwa ajili ya kukomaa kiroho (9-12) Daraka la maana la Kristo (13-23) Kazi ya bidii ya Paulo kwa ajili ya kutaniko (24-29) 2 Siri takatifu ya Mungu, Kristo (1-5) Mufanye angalisho na wadanganyifu (6-15) Ukweli wa mambo ni wa Kristo (16-23) 3 Utu wa zamani na utu mupya (1-17) Muue viungo vya mwili (5) Upendo, kifungo kikamilifu cha umoja (14) Mashauri kwa familia za Kikristo (18-25) 4 Mashauri kwa mabwana (1) “Mudumu katika sala” (2-4) Kutembea kwa hekima kuelekea wenye kuwa inje (5, 6) Salamu za mwisho (7-18)