Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 1 Watesalonike 1 WATESALONIKE HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1) Shukrani kwa ajili ya imani ya Watesalonike (2-10) 2 Utumishi wa Paulo katika Tesalonike (1-12) Watesalonike walikubali neno la Mungu (13-16) Paulo anatamani kuona Watesalonike (17-20) 3 Paulo anangojea kule Atene akiwa na wasiwasi (1-5) Ripoti ya Timoteo yenye kufariji (6-10) Sala kwa ajili ya Watesalonike (11-13) 4 Onyo juu ya uasherati (1-8) Kupendana kikamili zaidi (9-12) “Kuhangaikia mambo yenu wenyewe” (11) Wenye walikufa katika Kristo watafufuliwa kwanza (13-18) 5 Kuja kwa siku ya Yehova (1-5) “Amani na usalama!” (3) Mukae macho, mulinde akili zenu (6-11) Vitia-moyo (12-24) Salamu za mwisho (25-28)