Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 2 Watesalonike 2 WATESALONIKE HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1, 2) Imani ya Watesalonike inakomaa (3-5) Kisasi juu ya wenye hawatii (6-10) Sala kwa ajili ya kutaniko (11, 12) 2 Ule mutu wa uvunjaji wa sheria (1-12) Wanaombwa wakuwe imara (13-17) 3 Muendelee kusali (1-5) Onyo juu ya kujiendesha bila utaratibu (6-15) Salamu za mwisho (16-18)