Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 1 Timoteo 1 TIMOTEO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1, 2) Onyo juu ya walimu wa uongo (3-11) Paulo alionyeshwa fazili zenye hazistahiliwe (12-16) Mufalme wa umilele (17) ‘Pigana vita ya muzuri’ (18-20) 2 Sala kwa ajili ya watu wa namna zote (1-7) Mungu mumoja, mupatanishi mumoja (5) Bei ya ukombozi yenye kulingana kwa ajili ya wote (6) Maagizo kwa wanaume na wanamuke (8-15) Kuvaa kwa kiasi (9, 10) 3 Sifa za kustahili kuwa mwangalizi (1-7) Sifa za kustahili kuwa mutumishi wa huduma (8-13) Siri takatifu ya ushikamanifu kwa Mungu (14-16) 4 Onyo juu ya mafundisho ya pepo wachafu (1-5) Namna ya kuwa mutumishi muzuri wa Kristo (6-10) Tofauti kati ya mazoezi ya mwili na ushikamanifu kwa Mungu (8) Ukuwe muangalifu kuhusu kufundisha kwako (11-16) 5 Namna ya kutendea vijana na wazee (1, 2) Kusaidia wajane (3-16) Kutimiza mahitaji ya watu wa nyumba yako mwenyewe (8) Kuheshimia wazee wenye wanafanya kazi kwa bidii (17-25) ‘Divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako’ (23) 6 Watumwa waheshimie mabwana wao (1, 2) Walimu wa uongo na kupenda feza (3-10) Maagizo kwa ajili ya mutu wa Mungu (11-16) Kuwa tajiri katika matendo ya muzuri (17-19) Linda mambo yenye ulipewa (20, 21)