Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 2 Timoteo 2 TIMOTEO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1, 2) Paulo anamushukuru Mungu kwa sababu ya imani ya Timoteo (3-5) Endelea kuchochea kama moto zawadi ya Mungu (6-11) Endelea kushika maneno yenye faida (12-14) Maadui na marafiki wa Paulo (15-18) 2 Uwapatie ujumbe wanaume wenye wanastahili (1-7) Kuvumilia mateso kwa ajili ya habari njema (8-13) Tumia sawasawa neno la Mungu (14-19) Kimbia tamaa za ujana (20-22) Namna ya kushugulika na wapinzani (23-26) 3 Nyakati za hatari katika siku za mwisho (1-7) Fuata mufano wa Paulo kwa ukaribu (8-13) “Endelea kufuata mambo yenye ulijifunza” (14-17) Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu (16) 4 “Timiza kwa ukamili utumishi wako” (1-5) Hubiri neno kwa bidii (2) “Nimepigana pigano la muzuri” (6-8) Maelezo ya kipekee (9-18) Salamu za mwisho (19-22)