Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Yakobo YAKOBO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1) Uvumilivu unaleta furaha (2-15) Sifa yenye imejaribiwa ya imani (3) Kuendelea kuomba kwa imani (5-8) Tamaa inaongoza kwenye zambi na kifo (14, 15) Kila zawadi ya muzuri inatoka juu (16-18) Kusikia na kutenda neno (19-25) Mutu mwenye anajiangalia katika kioo (23, 24) Ibada safi na yenye haina uchafu (26, 27) 2 Upendeleo ni zambi (1-13) Upendo ni sheria ya kifalme (8) Imani bila matendo imekufa (14-26) Pepo wachafu wanaamini na kutetemeka (19) Abrahamu aliitwa rafiki ya Yehova (23) 3 Kufuga ulimi (1-12) Wengi hawapaswe kuwa walimu (1) Hekima yenye kutoka juu (13-18) 4 Usikuwe rafiki ya ulimwengu (1-12) Mumupinge Ibilisi (7) Mumukaribie Mungu (8) Onyo juu ya kiburi (13-17) “Kama Yehova anapenda” (15) 5 Onyo kwa matajiri (1-6) Mungu anabariki uvumilivu wenye subira (7-11) “Ndiyo” yenu imaanishe ndiyo (12) Sala ya imani iko na nguvu (13-18) Kusaidia mutenda-zambi arudie (19, 20)