Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 2 Petro 2 PETRO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Salamu (1) Mufanye mwito wenu ukuwe hakika (2-15) Sifa zenye zinaongezwa kwenye imani (5-9) Neno la kiunabii linafanywa kuwa hakika zaidi (16-21) 2 Walimu wa uongo wangetokea (1-3) Hukumu juu ya walimu wa uongo ni ya hakika (4-10a) Malaika wanatupwa ndani ya Tartaro (4) Garika; Sodoma na Gomora (5-7) Tabia za walimu wa uongo (10b-22) 3 Wazihaki wanakataa kutambua uharibifu wenye unakuja (1-7) Yehova hakawie (8-10) Mufikirie munapaswa kuwa watu wa namna gani (11-16) Mbingu mupya na dunia mupya (13) Mufanye angalisho ili musipotoshwe (17, 18)