Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika 1 Yohana 1 YOHANA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Neno la uzima (1-4) Kutembea katika mwangaza (5-7) Uhitaji wa kuungama zambi (8-10) 2 Yesu ni zabihu ya kufunika zambi (1, 2) Kushika amri zake (3-11) Amri mupya na ya zamani (7, 8) Sababu za kuandika (12-14) Musipende ulimwengu (15-17) Onyo juu ya mupinga-Kristo (18-29) 3 Sisi ni watoto wa Mungu (1-3) Tofauti kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi (4-12) Yesu atavunja kazi za Ibilisi (8) Mupendane (13-18) Mungu ni mukubwa kuliko mioyo yetu (19-24) 4 Kujaribu maneno yenye yaliongozwa na roho (1-6) Kumujua Mungu na kumupenda (7-21) “Mungu ni upendo” (8, 16) Hakuna woga katika upendo (18) 5 Kumuamini Yesu kunaleta ushindi juu ya ulimwengu (1-12) Maana ya kumupenda Mungu (3) Uhakika katika nguvu za sala (13-17) Kufanya angalisho katika ulimwengu muovu (18-21) Ulimwengu muzima unakaa katika nguvu za ule muovu (19)