Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Ufunuo UFUNUO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Ufunuo kutoka kwa Mungu, kupitia Yesu (1-3) Salamu kwa yale makutaniko saba (4-8) “Mimi ndiye Alfa na Omega” (8) Yohana katika siku ya Bwana kwa muongozo wa roho (9-11) Maono ya Yesu mwenye kutukuzwa (12-20) 2 Ujumbe kwa kutaniko la Efeso (1-7), la Smirna (8-11), la Pergamamu (12-17), la Tiatira (18-29) 3 Ujumbe kwa kutaniko la Sardi (1-6), la Filadelfia (7-13), la Laodikia (14-22) 4 Maono ya kuwapo kwa Yehova mbinguni (1-11) Yehova akiwa amekaa kwenye kiti chake cha ufalme (2) Wazee makumi mbili na ine kwenye viti vya ufalme (4) Viumbe ine vyenye uzima (6) 5 Kitabu cha kukunjwa chenye mihuri saba (1-5) Mwana-Kondoo anakamata kitabu cha kukunjwa (6-8) Mwana-Kondoo anastahili kufungua mihuri (9-14) 6 Mwana-Kondoo anafungua mihuri sita ya kwanza (1-17) Mushindi akiwa kwenye farasi mweupe (1, 2) Mwenye kupanda farasi wa rangi ya moto anatosha amani (3, 4) Mwenye kupanda farasi mweusi analeta njaa (5, 6) Mwenye kupanda farasi wa rangi ya majivu anaitwa Kifo (7, 8) Wenye waliuawa wako chini ya mazabahu (9-11) Tetemeko kubwa la inchi (12-17) 7 Malaika ine wenye kuzuia pepo za uharibifu (1-3) Wale elfu mia moja makumi ine na ine wanatiwa muhuri (4-8) Kundi kubwa la watu wenye kuvaa kanzu nyeupe (9-17) 8 Muhuri wa saba unafunguliwa (1-6) Tarumbeta ine za kwanza zinapigwa (7-12) Ole tatu zinatangazwa (13) 9 Tarumbeta ya tano (1-11) Ole ya kwanza imepita, ole mbili zaidi zinakuja (12) Tarumbeta ya sita (13-21) 10 Malaika mwenye nguvu akiwa na kitabu kidogo cha kukunjwa (1-7) “Hakutakuwa tena kukawia” (6) Siri takatifu itafikishwa kwenye mwisho wake (7) Yohana anakula kile kitabu kidogo cha kukunjwa (8-11) 11 Mashahidi wawili (1-13) Wanatoa unabii kwa siku elfu moja mia mbili makumi sita wakiwa wamevaa nguo za magunia (3) Wanauawa kisha wanaachwa bila kuzikwa (7-10) Wanarudishwa kwenye uzima kisha siku tatu na nusu (11, 12) Ole ya pili inapita, ole ya tatu inakuja (14) Tarumbeta ya saba (15-19) Ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake (15) Wale wenye wanaharibu dunia wataharibiwa (18) 12 Mwanamuke, mutoto mwanaume, na nyoka mukubwa (1-6) Mikaeli anapigana na ule nyoka mukubwa (7-12) Nyoka mukubwa anatupwa katika dunia (9) Ibilisi anajua kwamba iko na kipindi kifupi (12) Nyoka mukubwa anamutesa mwanamuke (13-17) 13 Munyama wa pori mwenye vichwa saba anatoka katika bahari (1-10) Munyama wa pori mwenye pembe mbili anatoka katika dunia (11-13) Sanamu ya munyama wa pori mwenye vichwa saba (14, 15) Alama na namba ya munyama wa pori (16-18) 14 Mwana-Kondoo na wale elfu mia moja makumi ine na ine (1-5) Ujumbe kutoka kwa malaika watatu (6-12) Malaika katikati ya mbingu akiwa na habari njema (6, 7) Wenye furaha ni wale wenye wanakufa katika umoja na Kristo (13) Dunia inavunwa mara mbili (14-20) 15 Malaika saba wenye kuwa na mapigo saba (1-8) Wimbo wa Musa na wa Mwana-Kondoo (3, 4) 16 Mabakuli saba ya kasirani ya Mungu (1-21) Yanamwangwa juu ya dunia (2), bahari (3), mito na chemchemi (4-7), jua (8, 9), kiti cha ufalme cha munyama wa pori (10, 11), Efrati (12-16), na hewa (17-21) Vita ya Mungu kwenye Armagedoni (14, 16) 17 Hukumu juu ya “Babiloni Mukubwa” (1-18) Kahaba mukubwa anakaa juu ya munyama wa pori wa rangi nyekundu yenye kungaa (1-3) Munyama wa pori ‘alikuwa, haiko, lakini atapanda kutoka katika abiso’ (8) Pembe kumi zitapigana na Mwana-Kondoo (12-14) Pembe kumi zitamuchukia kahaba (16, 17) 18 Kuanguka kwa “Babiloni Mukubwa” (1-8) “Mutoke kwake, watu wangu” (4) Kuomboleza juu ya kuanguka kwa Babiloni (9-19) Kufurahi mbinguni juu ya kuanguka kwa Babiloni (20) Babiloni atatupwa katika bahari kama jiwe (21-24) 19 Mumusifu Yah kwa sababu ya hukumu zake (1-10) Ndoa ya Mwana-Kondoo (7-9) Mwenye kupanda farasi mweupe (11-16) Chakula kikubwa cha mangaribi cha Mungu (17, 18) Munyama wa pori anashindwa (19-21) 20 Shetani anafungwa kwa miaka elfu moja (1-3) Wale wenye watatawala pamoja na Kristo kwa miaka elfu moja (4-6) Shetani anafunguliwa, kisha anaharibiwa (7-10) Wafu wanahukumiwa mbele ya kiti cha mweupe cha ufalme (11-15) 21 Mbingu mupya na dunia mupya (1-8) Kifo hakitakuwa tena (4) Vitu vyote vinafanywa kuwa vipya (5) Yerusalemu mupya linafunuliwa (9-27) 22 Muto wa maji ya uzima (1-5) Umalizio (6-21) ‘Kuja! Chukua maji ya uzima bure’ (17) “Kuja, Bwana Yesu” (20)