Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 10
  • Ulizo la 3: Ni nani aliandika Biblia?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ulizo la 3: Ni nani aliandika Biblia?
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ulizo la 3: Ni nani aliandika Biblia?

ULIZO LA 3

Ni nani aliandika Biblia?

“Musa akaandika maneno yote ya Yehova.”

Kutoka 24:4

“Danieli aliona ndoto na maono ya kichwa chake wakati alikuwa amelala katika kitanda chake. Kisha akaandika ndoto hiyo; akaandika habari yote ya mambo hayo.”

Danieli 7:1

“Wakati mulipokea neno la Mungu, lenye mulisikia kutoka kwetu, hamukulikubali kama neno la wanadamu, lakini mulilikubali kama vile liko kwa kweli, kama neno la Mungu.”

1 Watesalonike 2:13

“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu na liko na faida kwa kufundisha.”

2 Timoteo 3:16

“Unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu, lakini wanadamu walisema yenye yalitoka kwa Mungu wakiongozwa na roho takatifu.”

2 Petro 1:21

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine