Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 20-uku. 21
  • Ulizo la 10: Biblia inaahidi nini kuhusu wakati wenye kuja?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ulizo la 10: Biblia inaahidi nini kuhusu wakati wenye kuja?
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ulizo la 10: Biblia inaahidi nini kuhusu wakati wenye kuja?

ULIZO LA 10

Biblia inaahidi nini kuhusu wakati wenye kuja?

Katika paradiso duniani yenye Mungu ameahidi, baba anapanda muti pamoja na mutoto

“Wenye haki watariti dunia, na wataishi milele juu yake.”

Zaburi 37:29

“Dunia inadumu milele.”

Muhubiri 1:4

“Atameza kifo milele, na Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova atapanguza machozi kwenye nyuso zote.”

Isaya 25:8

“Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa, na masikio ya viziwi yatafunguliwa. Wakati huo kilema wa miguu ataruka-ruka kama paa, na ulimi wa bubu utapiga vigelegele vya shangwe. Kwa maana maji yatabubujika katika jangwa, na mito midogo katika jangwa tambarare.”

Isaya 35:5, 6

“Atapanguza kila chozi katika macho yao, na kifo hakitakuwa tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu havitakuwa tena. Mambo ya zamani yamepita kabisa.”

Ufunuo 21:4

“Watajenga nyumba na kuishi ndani, na watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake. Hawatajenga ili mutu mwingine akae ndani, wala hawatapanda ili wengine wakule. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za muti, na wachaguliwa wangu watafurahia kwa ukamili kazi ya mikono yao.”

Isaya 65:21, 22

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine